dua za watanzania zimekubaliwa
dua za watanzania zimekubaliwa
Amesharudi??????
No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria
Sifa zote njema ni za mwenyezimungu mola mlezi wa viumbe vyote, yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu tunamuomba msaada na alitakalo ni kun fayakun. inawezekana kwani asichokiuwa mungu binadamu hawezi kukiua kabisa. inshallah twakutakia kila la kheri uzidi kupata nafuu na urudi kwenye kazi zako. ila nakupa ushauri mmoja tu usiache kumshukuru Allah na kumsujudia kila wakati. na pongezi sana zimuendee mkewe wastara juma kwa kuwa na subra na mumewe na kumuuguza kwa dhati, mwenyezimungu awajaalie maskizano na upendo katika ndoa yao. Amin
Mungu ni mwema, tunashukuru kwa yote.
....ukubwa AKILI...NDEVU uchafu...
Kila wakati mungu ni mwema
jamaa ana mke mkali.
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU
Allah kariiiim..!
Mungu mkubwa!
Life without problems never make a strong and good person!
Mungu amsaidie!
hongera sajuki.
Kweli hakuna kama Mungu!!
Huyu ndo yule alikua anaomba msaada wa pesa za matibabu au?
in God's we trust....
Lolote lililo zito kwa mwanadamu KWA MUNGU NI JEPESI
Follow Us Here