dua za watanzania zimekubaliwa
dua za watanzania zimekubaliwa
Mbuzi kafia kwa mwuza supu.
Kwa Style hii wamekufa watu wengi sana kwa kukosa. Pesa/huduma bora
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
kweli tuishi kwa kumshukuru mungu kwa kila jambo,kwa jinsi afya ya jamaa ilivyokuwa mmh!
Jamaa kapata nafuu Mungu mkubwa.
uzalendo ulioonyeshwa na watanzania kusaidia watu uendelee hivo hivo
Kweli kabadilika ndo maana Rais mstaafu wa Afrika Kusini alisema ukimwi ni umasikini
Yes, really. It was and with me.
Follow Us Here