Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Uwoya amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e H-baba kwamba hafai katika mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6. Flora Mvungi naye akaja juu na kudai kwamba maneno ya Uwoya ni maneno ya mkosaji na akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika mapenzi na yuko fiti ile mbaya.Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-baba si lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      mhhh makubwa!

    4. #3
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,992
      Rep Power : 8272
      Likes Received
      2694
      Likes Given
      3667

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Ujinga of so called our superstars
      last man standing likes this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    5. #4
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,577
      Rep Power : 2537
      Likes Received
      606
      Likes Given
      762

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Quote By platozoom
      Ujinga of so called our superstars
      Halafu wakiandikwa kwenye magazeti mama zao wanalalamika!
      platozoom likes this.
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    6. #5
      cmoney's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 365
      Rep Power : 458
      Likes Received
      74
      Likes Given
      52

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha?

    7. Miaka 50

    8. #6
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 601
      Likes Received
      140
      Likes Given
      121

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      hao ni mastaa vicheche.

    9. #7
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,730
      Rep Power : 714
      Likes Received
      560
      Likes Given
      265

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Wakajambe vumbi kule, vocha wakubwa

    10. #8
      Mwanahisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 1,160
      Rep Power : 580
      Likes Received
      314
      Likes Given
      130

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Shule muhimu jamani, hakuna QT ya primary hawa wakaanza shule.

    11. #9
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Ushuzi mtupu
      Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!...
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #10
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By cmoney
      ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha?
      Hata mi nilihisi hivyo,why uwoya atoe povu namna ile kisa H-baba yuko na na dada flora mvungi?

    13. #11
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Tatizo la hawa mastar wetu wa bongo elimu ni 0, hata elimu ya maisha nayo imewapitia pembeni..hivi hakuna NGO's zinazoweza kujitolea kuwafundisha at least na wao wapate kitu kichwani??yani wanajibishana ujinga kwenye media na wanaona sawa tu!what a shame?kha!
      nyumba kubwa likes this.

    14. #12
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,040
      Rep Power : 1725
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By cmoney
      ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha?

      Kwa hiyo Irene Uwoya akicheka anajamba?...
      Hebu mwenye namba zake za Simu na anitupie kwa Inbox...

    15. #13
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Ndo waimba kwaya wa kanisa gani hao jaman?
      BAGAH and Nawai like this.

    16. #14
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Sioni sababu ya Uwoya kumkashif H baba jee yeye ni hodari kiasi gani kwenye mapenzi? unyago gani alipitia mpaka amuone mwenzie hajui? vyovyote itakavyo kua H baba ni mwanamme yeye ni mwanamke anaonyesha nini jamii kua anaorodha ya wanaume alolalanao na yupi anajua yupi hajui mapenzi? mshenzi wa maadili na anawatukanisha wazazi wake....
      nyumba kubwa likes this.

    17. #15
      Qixima mQiqa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 385
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Redio imejaa mashoga na wanamegwa kama mboga. Upuuzi huo ndio wa kuongea ktk radio?
      matumbo likes this.

    18. #16
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,158
      Rep Power : 6555
      Likes Received
      2695
      Likes Given
      1304

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      I said it and and will say it again louder 'TANZANIA CELEBRITIES ARE DAMN CHEAP AND IMMATURE' luckly not all of them.
      last man standing likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    19. #17
      Tuliwonda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 367
      Likes Received
      22
      Likes Given
      24

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Macelebrities wabongo bwana!hadi huruma.

    20. #18
      Nasolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Posts : 982
      Rep Power : 842
      Likes Received
      90
      Likes Given
      36

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Huwa nawaonea huruma sana wazazi wa hawa wanaojiita eti Star. Sijui huwa wanajisikiaje watoto wao wanapotoa upuuzi wao wanaoufanya hadharani. Poleni sana wazazi wa wanaojiita CELEBRITIES wa bongo kwa aibu mnayopewa na vizazi vyenu.

    21. #19
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,336
      Rep Power : 12592
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      775

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Wasanii wa bogo vituko vingi.

    22. #20
      gbrother's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 318
      Rep Power : 477
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

      Xxl mnapenda sana umbea na kupalilia bifu za wasanii, then after mnajifanya wasuruhishi, shame on u
      matumbo likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...