Nawasalimu wadau
Jamani nimecheki event ya wema ni noma sijui pesa anapata wapi ila ni noma.
Wolper na muuza unga wake hana lolote, kakalia hicho kigari, jpkate kuvaa miguo myeusi, na sintah hana hata la kumsema.
Wema kweli nilikuwa nakuona ***** bt management ya Kadinda imekubadili, fanya mambo ya maendeleo hii migubegube ya mjini iache iendelee.

Reply With Quote



Follow Us Here