Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.
Hawa nahisi kuna vihela kidogo wamepewa ili kuwarusha roho tip top we ukiwaangalia hao unafikiri wote ni wapenzi wa huyo dogo janja! Upuuzi mtupu
Anayetaka kuwa Rais wa nchi hii namuonea huruma sana, maana kazi ya kuongoza Taifa lililojaa mazezeta ni kazi ngumu.
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
njaa izi !
Dah..kazi kweli kweli.. During daytime?
Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.
Khaah!hovyooo
Mbona msafara wa kikwete unabeba watu zaidi 50 kumsindikiza tu kwenda shambani kwake kucheki mahindi...kwani na hao hawana makwao au kazi za maana za kufanya?
Hii nchi ndo tulivyo, vitu visivyo vya maana tunavipa muda na vya maana tunapiga domo kazi hatafanyi
Follow Us Here