Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      917
      Likes Given
      457

      Default Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      dogo janja atua jijini dar, ajiunga mtanashati entertainment:

      .........
      Hivi hawa watu wanapata wapi huu muda? Yaani unafunga safari all the way kuja kumpokea mtu mmoja, tena muda wa kazi? Bado tuna safari ndefu sana!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Brown ad's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 130
      Rep Power : 394
      Likes Received
      33
      Likes Given
      2

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      Hawa nahisi kuna vihela kidogo wamepewa ili kuwarusha roho tip top we ukiwaangalia hao unafikiri wote ni wapenzi wa huyo dogo janja! Upuuzi mtupu

    4. #3
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5445
      Likes Given
      3641

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      Anayetaka kuwa Rais wa nchi hii namuonea huruma sana, maana kazi ya kuongoza Taifa lililojaa mazezeta ni kazi ngumu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    5. #4
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      njaa izi !

    6. #5
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      917
      Likes Given
      457

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      Dah..kazi kweli kweli.. During daytime?
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      DullyJr's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 200
      Rep Power : 0
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Matola
      Anayetaka kuwa Rais wa nchi hii namuonea huruma sana, maana kazi ya kuongoza Taifa lililojaa mazezeta ni kazi ngumu.
      ni dhahiri!
      Imenifurahisha mkuu

    9. #7
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 365
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      Khaah!hovyooo

    10. #8
      Leornado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Papua New Guinea
      Posts : 1,382
      Rep Power : 716
      Likes Received
      106
      Likes Given
      134

      Default Re: Ma- JOBLESS NI WENGI JAMANI! SERIKALI ITAZAME HILI SUALA!

      Mbona msafara wa kikwete unabeba watu zaidi 50 kumsindikiza tu kwenda shambani kwake kucheki mahindi...kwani na hao hawana makwao au kazi za maana za kufanya?

      Hii nchi ndo tulivyo, vitu visivyo vya maana tunavipa muda na vya maana tunapiga domo kazi hatafanyi

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...