Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vengu alejea kimya kimya

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      ERIC JOSEPH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Location : MBEYA TANZANIA
      Posts : 340
      Rep Power : 466
      Likes Received
      34
      Likes Given
      2

      Default Vengu alejea kimya kimya

      Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika gazeti la amani.jaman vp afya yake mwenye kujua zaid atujuze hali ya Vengu.sorce gazeti la amani


    2. #2
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Quote By ERIC JOSEPH View Post
      Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika gazeti la amani.jaman vp afya yake mwenye kujua zaid atujuze hali ya Vengu.sorce gazeti la amani
      Sasa wewe taarifa zaidi umeshindwa nini kusoma kwenye hilo gazeti la amani?
      engmtolera likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    3. #3
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Walitaka Vengu arud kwa vigeregere????kwani aliondoka kwa mbwembwe?????

    4. #4
      ERIC JOSEPH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Location : MBEYA TANZANIA
      Posts : 340
      Rep Power : 466
      Likes Received
      34
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Sasa wewe taarifa zaidi umeshindwa nini kusoma kwenye hilo gazeti la amani?
      -ndugu yangu huku nilipo nipo kijijini hakuna cha magazeti redio lenyewe mpaka majila ya usiku so mi huku nautegemea mtandao huu kwa hbr za kina
      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	Aman.jpg 
Views:	0 
Size:	46.8 KB 
ID:	57138  

    5. #5
      gati's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 76
      Rep Power : 507
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Ulitaka arudi na matarumbeta na buruji la jeshi, au?!, wewe mbona ulienda huko uliko kimyakimya bila kuagwa na kwaya ya kijiji ama kupokelewa na kwaya ya kijiji cha mtakuja?!, karagabaho we!.


    6. #6
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Quote By ERIC JOSEPH View Post
      -ndugu yangu huku nilipo nipo kijijini hakuna cha magazeti redio lenyewe mpaka majila ya usiku so mi huku nautegemea mtandao huu kwa hbr za kina
      Haya ndugu yangu.....subiri wenye kujua waje wakujuze.
      Life without problems never make a strong and good person!

    7. #7
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Quote By gati View Post
      Ulitaka arudi na matarumbeta na buruji la jeshi, au?!, wewe mbona ulienda huko uliko kimyakimya bila kuagwa na kwaya ya kijiji ama kupokelewa na kwaya ya kijiji cha mtakuja?!, karagabaho we!.
      Hahahahaha we gati mbona una hasira hivyo?....lol
      Life without problems never make a strong and good person!

    8. #8
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,049
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2099

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Quote By ERIC JOSEPH View Post
      Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika gazeti la amani.jaman vp afya yake mwenye kujua zaid atujuze hali ya Vengu.sorce gazeti la amani
      Andika vizuri.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #9
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6322
      Likes Given
      2418

      Default

      Asante kwa kunisaidia kuuliza hili swali.....


      Quote By Bajabiri View Post
      Walitaka Vengu arud kwa vigeregere????kwani aliondoka kwa mbwembwe?????

    10. #10
      Rubesha Kipesha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      29

      Default Re: Vengu alejea kimya kimya

      Mada imekaa kiudaku udaku lol! Ulitarajia mapokezi ya kishindo ili iweje.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...