Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
SOURCE;CLOUDS FM
Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
SOURCE;CLOUDS FM
huyu chid ana kwashakoo ya fikra maana kuna kipindi alipoona jina lake liko juu alijitangazia no ml 1 no collabo leo dunia imemshnda anatafuta ea time kwa vita !
C atafute jina kwa kina matumla !
Tatizo lake ni kile kitobo alichojiongeza baada ya kuona biashara inafanya vizuri.........!
Prof. J is a talented singer.... na hakuna shaka kwa hili...
Chid si mwimbaji ni sharobaro, hajui hata kuoga.... ananuka... kazi kutoboa pua....sikiliza nyimbo za Prof J hata ukiwa mgeni kivipi huwezi linganisha nyimbo zake wala video zake na huyu choko Chid.... chid sura ka msukuma mkokoteni... hana kipaji...
Upambaf Mtupu!
Bazazi!
Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.
J mshamba tu, kila mtu anafanya game kwa mapenzi yake, hako kamsemo anakapenda sana, hiphop is world wide, labda kama alimuombea kwenye bongo fleva, manake ndio muziki wa J. but when it comes to HIPHOP...J is just a chick.
Acheni ushamba na mueleimike na nyie waandishi ama blogers ndo mnapotosha umma,j na chidi ni stor ndefu. Miaka ya nyuma waliokuwa wakifanya music walifahamika toka chidi anatoka kamasi na boxing zake za Ilala boma kwa ticha kinyogoli..msiropoke tuu Kisa upenzi na mtu flani!Jay akusema vibaya wala kutafuta sifa, tatizo wabongo mmezoea kudanganywa.pumbafuu..!!
kwa asilimia kubwa inaweza ikawa kweli kuwa Prof. Jay alikuwa anamuombea ruhusa Chidi kama anavyosema kwani ktk hali halisi Prof. Jay ndie aliyemtoa Chidi kama mnafuatilia siku za nyuma kabla Chidi hajatoka alikuwa anaimba kumpa support Jay kama msanii mwenza akiitikia wakati Jay anaimba na alikuwa anazunguka nae kwenye matamasha mpk mikoani akiwa kama background artist wa Jay.
Tuwe tunawakubali watu waliotutoa kwani bila wao kukufanya uonekane na kukukubali kwa kukushirikisha uenda usingejurikana Jay ni legendary wa Bongo Fleva huwezi kumfananisha na Chid Benz mtoto wa juzi ambaye kwa sasa ameshatoweka kwenye fani
Ukitaka kunielewa chukua albam za Jay toka anaanza ufananishe na za Chid ndio utaelewa na maana gani. Pia Jay ni mkongwe na Chid ni kizazi kipya ambacho kinakuzwa na air time sio talent kama ya Jay ambaye alileta mapinduzi makubwa katika mziki huu na kuupandisha chat mpk level hii uliyofikia, ingawa anaweza asiwe na mafanikio kama vijana wa sasa lakini lazima tumpe heshima yake.
All good things in the World are not things
Jay na Chidi Benzi akili zinafanana tu...
" You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam
Mi napita tu huku si uwanja wangu huu
...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.
Follow Us Here