Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 34 of 34
    1. #1
      Fraddle b's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 226
      Rep Power : 424
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
      SOURCE;CLOUDS FM

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 685
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      huyu chid ana kwashakoo ya fikra maana kuna kipindi alipoona jina lake liko juu alijitangazia no ml 1 no collabo leo dunia imemshnda anatafuta ea time kwa vita !
      C atafute jina kwa kina matumla !
      Tatizo lake ni kile kitobo alichojiongeza baada ya kuona biashara inafanya vizuri.........!

    4. #22
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,667
      Rep Power : 765
      Likes Received
      322
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Fraddle b
      Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
      SOURCE;CLOUDS FM
      Prof. J is a talented singer.... na hakuna shaka kwa hili...
      Chid si mwimbaji ni sharobaro, hajui hata kuoga.... ananuka... kazi kutoboa pua....sikiliza nyimbo za Prof J hata ukiwa mgeni kivipi huwezi linganisha nyimbo zake wala video zake na huyu choko Chid.... chid sura ka msukuma mkokoteni... hana kipaji...

    5. #23
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 471
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Quote By Brown ad
      sasa we unavyohsi kwamba prof jay anaweza kumuombea chidy benzy ruhusa au anataka sifa kisa watu wanavyosema yeye ndo kaleta mapinduzi ya huu muziki na ruhusa kwa wazazi anaweza kuwaombea wenzako ruhusa chidy kaanza muziki kwa mapenzi yake na si kwa ajili ya prof jay na kama kuna ukweli kwanini aliomba msamaha mpaka anataka kupiga magoti!?
      wabongo hatujastaarabika kiasi cha kukubali ukweli hata kama uko wazi kisa umaarufu wa kijinga. sidhani kama kuna hoja ya kusababisha ugomvi hapo ni ushamba uliotukuka...

    6. #24
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,637
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      722
      Likes Given
      585

      Default

      Quote By Shine
      Kama ni kweli ni vibaya kusema?
      angekuwa chini ki usanii angeona anapaishwa ila kwa kuwa yupo juu anaona kuwa anashushwa

    7. #25
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Upambaf Mtupu!

      Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 471
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Quote By New Nytemare
      prof jay **** tu mbona ye anakula arv si hatuongei...
      We ndo chizi na Dhaifu wa fikra. Suala la ARVs linakujaje hapa. ARVs ni chakula ya watu wengi hata mimi natumia. Mbona TANZANIA inatumia ARVs au hujui? Kama unabisha nenda kapime kama hutashangaa kuambiwa nawewe uanze dozi mara moja.

    10. #27
      testa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Posts : 248
      Rep Power : 420
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By New Nytemare
      prof jay **** tu mbona ye anakula arv si hatuongei...
      hata yule mwanamke aliezaa nae mtoto wa kike maeneo ya kimara nae anakula vilevile

    11. #28
      The Infamous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 653
      Rep Power : 641
      Likes Received
      80
      Likes Given
      112

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      J mshamba tu, kila mtu anafanya game kwa mapenzi yake, hako kamsemo anakapenda sana, hiphop is world wide, labda kama alimuombea kwenye bongo fleva, manake ndio muziki wa J. but when it comes to HIPHOP...J is just a chick.

    12. #29
      kiddy adams's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 349
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Acheni ushamba na mueleimike na nyie waandishi ama blogers ndo mnapotosha umma,j na chidi ni stor ndefu. Miaka ya nyuma waliokuwa wakifanya music walifahamika toka chidi anatoka kamasi na boxing zake za Ilala boma kwa ticha kinyogoli..msiropoke tuu Kisa upenzi na mtu flani!Jay akusema vibaya wala kutafuta sifa, tatizo wabongo mmezoea kudanganywa.pumbafuu..!!
      funzadume likes this.

    13. #30
      funzadume's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2010
      Location : Kwenye Uchafu/Uozo
      Posts : 3,466
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      547
      Likes Given
      591

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Quote By Brown ad
      sasa we unavyohsi kwamba prof jay anaweza kumuombea chidy benzy ruhusa au anataka sifa kisa watu wanavyosema yeye ndo kaleta mapinduzi ya huu muziki na ruhusa kwa wazazi anaweza kuwaombea wenzako ruhusa chidy kaanza muziki kwa mapenzi yake na si kwa ajili ya prof jay na kama kuna ukweli kwanini aliomba msamaha mpaka anataka kupiga magoti!?
      kwa asilimia kubwa inaweza ikawa kweli kuwa Prof. Jay alikuwa anamuombea ruhusa Chidi kama anavyosema kwani ktk hali halisi Prof. Jay ndie aliyemtoa Chidi kama mnafuatilia siku za nyuma kabla Chidi hajatoka alikuwa anaimba kumpa support Jay kama msanii mwenza akiitikia wakati Jay anaimba na alikuwa anazunguka nae kwenye matamasha mpk mikoani akiwa kama background artist wa Jay.

      Tuwe tunawakubali watu waliotutoa kwani bila wao kukufanya uonekane na kukukubali kwa kukushirikisha uenda usingejurikana Jay ni legendary wa Bongo Fleva huwezi kumfananisha na Chid Benz mtoto wa juzi ambaye kwa sasa ameshatoweka kwenye fani

      Ukitaka kunielewa chukua albam za Jay toka anaanza ufananishe na za Chid ndio utaelewa na maana gani. Pia Jay ni mkongwe na Chid ni kizazi kipya ambacho kinakuzwa na air time sio talent kama ya Jay ambaye alileta mapinduzi makubwa katika mziki huu na kuupandisha chat mpk level hii uliyofikia, ingawa anaweza asiwe na mafanikio kama vijana wa sasa lakini lazima tumpe heshima yake.
      Excellent and matumbo like this.
      All good things in the World are not things

    14. #31
      New Nytemare's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Location : Njombe Tanzania
      Posts : 172
      Rep Power : 409
      Likes Received
      30
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mnyampaa
      We ndo chizi na Dhaifu wa fikra. Suala la ARVs linakujaje hapa. ARVs ni chakula ya watu wengi hata mimi natumia. Mbona TANZANIA inatumia ARVs au hujui? Kama unabisha nenda kapime kama hutashangaa kuambiwa nawewe uanze dozi mara moja.
      mie nko safi homie sijui wewe

    15. #32
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2279

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Jay na Chidi Benzi akili zinafanana tu...
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    16. #33
      Wakuti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 164
      Rep Power : 456
      Likes Received
      13
      Likes Given
      29

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Mi napita tu huku si uwanja wangu huu

    17. #34
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 832
      Rep Power : 685
      Likes Received
      160
      Likes Given
      51

      Default Re: Chid Benz amtukana Prof. Jay?

      Quote By idawa
      huyo chidi toka atoboe pua akili yake haijakaa vizuri!
      ......unataka kusema akili ya mtu hukaa puani...sijakuelelwa mkuu!!!
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...