Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Mama yake Wema Sepetu, Bi Mariam Sepetu afunguka kwa ghadhabu akiwatakia wale wote ambao wamekuwa wakifuatilia maisha ya mwanae hasa waandishi wa habari za Udaku waache mara moja vinginevyo atakula nao sahani moja.

      Akieleza kwenye Kipindi cha "Take One" kinachorushwa na Clouds TV, amejigamba kuwa mwanae alikuwa na "tabia nzuri" lakini baadhi ya marafiki wamemharibu japo bado anakubalika na watanzania wote.

      Amesema wengi wa marafiki walifikia hata kumpeleka kwa waganga wa Kienyeji, na kuna wengine amefikia kuwafukuza kabisa wasikanyage nyumbani kwake kutokana na tabia zao.

      Akifunguka kwa maneno tata mama huyo amesema kuwa ana mchukia sana Diamond kutokana na "kumtumia mwanae" kwa ajili ya mafanikio yake ya kimuziki (hakufafanua kimtumia mwanae kivipi?) ila alisema kuwa ameyajua hayo baada ya kuzunguka.

      Alieleza pia kuwa amehangaika sana kumrudisha Wema hapa alipofikia sasa. Aalisema kuwa amegundua mengi sana ambayo marafiki zake walikuwa wakimfanyia (hakuwataja zaidi ya Jackline Whopper) ambae anasema aliwahi kumtusi mwanae wakati fulani kuhusu maangaiko yake na kusema hana pa kuishi.. "Huyo Whopper aelewe Wema hapa ndio nyumbani kwao alipozaliwa" aling'aka mama huyo.

      Kuhusu mahusiano ya Wema na Diamond alisema, alimchukia sana Diamond tokea walipoanza mahusiano na Wema kwani Diamond alilenga kumtumia tu mwanane kufika pale alipo lakini atashuka muda si mrefu. "Diamond hana adabu hata kidogo, kijana huwezi kumchukua binti wa watu ukaenda kumvisha pete ukumbini hata wazazi wake hawajui wala hujaenda kujitambulisha kwa wazazi wake...hii ni dharau kubwa sana aliyoifanya na mimi nilisema, kamwe asingeweweza kuishi na mwanagu kama mimi mzazi wake sijapenda".

      Alionya kuwa kwa sasa mwanae WEMA amemtengeneza na hakuna atakaweza tena kumvuruga kama mwanzo.... Hata hivyo, Mzazi huyu aliyeonekana akiongea kwa machungu hakuweza kufafanua mwanae amemtengeneza namna gani....

      Pata Majigambo mazima ya mama huyo hapa:



    2. Miaka 50

    3. #2
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Diamond anaonekana mshirikina sana huyo dogo,

    4. #3
      Adrian Stepp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 1,573
      Rep Power : 713
      Likes Received
      438
      Likes Given
      2560

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Like Mom Like Daughter..huyu mama hana busara na hata shule nina mashaka nayo..mswahili na mshirikina sana anaonekana..yani una ropoka kumtengeneza kwa mganga binti..what a shame..? ngoja aje zamaradi mketema na ID yake ya Mrembo By Nature aanze kumwaga mitusi!
      Watu wakimya wamejaliwa busara, ufahamu na midomo inayonuka!

    5. #4
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      lol! some moms are amazing! kutetea upumbavu, eti marafiki walimharibu, kwani walimfunga kamba kumvuta na kumharibu! pathetic eish!
      Nawai likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    6. #5
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Anamchukia diamond kisa? Au alitaka apewe ile pete yeye? Maana kwa ile tabia yake anaweza kuwa anataka dogodogo! Hata kama wanasema mama is the best, then kwa mama wa aina ile nimegundua ina ukweli. Malezi ya mama saa nyingine bana, angalia lulu, wema, diamond hewa kabisa.
      ngoshwe likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Quote By Bondpost
      Anamchukia diamond kisa? Au alitaka apewe ile pete yeye? Maana kwa ile tabia yake anaweza kuwa anataka dogodogo! Hata kama wanasema mama is the best, then kwa mama wa aina ile nimegundua ina ukweli. Malezi ya mama saa nyingine bana, angalia lulu, wema, diamond hewa kabisa.
      Pengine akina mama ndio wanaoharibu watoto kwa kile wanacho dhani ni mapenzi ya dhati..hakuna mama ambae anapenda mwanae aonekane kakosea, akina mama wanapenda zaidi watoto wao kuliko watoto wa wanawake wenzao..kwa kuona kuwa wao ndio walioumia kuzaa mtoto pengine wanapoteza mwelekeo na kusababisha watoto wasimheshimu wengine hata Baba zao...Tuangalie malezi ya watoto wetu, tutawaharibu!!
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    9. #7
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,559
      Rep Power : 3325
      Likes Received
      1213
      Likes Given
      458

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      huyu mama analaumu magazeti ya udaku wakati akina wema wanalipa pesa ili waandikwe.!
      TUMY likes this.

    10. #8
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,328
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      647
      Likes Given
      491

      Default

      Quote By idawa
      huyu mama analaumu magazeti ya udaku wakati akina wema wanalipa pesa ili waandikwe.!
      ye mwenyewe anapenda kuandikwa.
      TUMY likes this.

    11. #9
      mullay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 80
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Wema si anapeleka habari zake mwenyewe kwenye magazeti. Na kipindi cha Jumbe huyu Diamond alikuwepo? amuache mtoto wa watu, mtoto wake amechafuka kitambo.
      TUMY likes this.

    12. #10
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,157
      Rep Power : 28896
      Likes Received
      11638
      Likes Given
      4804

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Uswahili mzigo!

    13. #11
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,194
      Rep Power : 31379
      Likes Received
      9590
      Likes Given
      683

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Quote By King'asti
      Uswahili mzigo!
      Acha ujinga wewe. Uswahili ndiyo kitu gani?
      Mrembo by Nature likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    14. #12
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1523
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      hii familia ni washirikina hata kwa jumbe walidai hivihivi ptyuu!

    15. #13
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      mama Wemal anaonekana ni Mshirikina kabisa, sasa huyo Wemma anarogwa na kuchezewa nani? Wakati tabia zake ndio zinazo mfanya aonekane kama Mwehu fulani? Kwanini sio Nancy Sumari? Awe yeye? Mama na mwanae wote washirikina tu...
      Nawai likes this.

    16. #14
      Mimi.'s Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 177
      Rep Power : 424
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Duh mama ake ni mchawi sana na mswahili mno,ptuuuuuu naisi hata la saba hakufika yule mama kaishia chekechea maneno gani yale ya kuongea mbela ya camera

    17. #15
      waleoleo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 356
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mimi.
      Duh mama ake ni mchawi sana na mswahili mno,ptuuuuuu naisi hata la saba hakufika yule mama kaishia chekechea maneno gani yale ya kuongea mbela ya camera
      wote washirikina hao mama na mwana

    18. #16
      TUMY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2009
      Posts : 706
      Rep Power : 654
      Likes Received
      90
      Likes Given
      200

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu.Huyu mama anaonekana hamjui mwanae vizuri, ataaibika.
      Nawai likes this.

    19. #17
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,225
      Rep Power : 12570
      Likes Received
      5783
      Likes Given
      754

      Default

      Quote By King'asti
      Uswahili mzigo!
      Hakuna kitu kibaya kama utumwa wa kifikra...sasa wewe unaona Uzungu ndio wenye thamani, subiri ndoa za jinsia moja.
      Nyani Ngabu likes this.

    20. #18
      colisian's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 352
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      wema anapendwa sana sema sijui kama akili uake inafanya kazi vizur

    21. #19
      Solita's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 39
      Rep Power : 437
      Likes Received
      2
      Likes Given
      9

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      "Nani kama mama? wahenga nao hawakufafanua mama wa aina gani maana kama mama anajigamba kumtengeneza mwanae hapo kuna nini tena!

    22. #20
      Emilia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 245
      Rep Power : 432
      Likes Received
      74
      Likes Given
      33

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Jamani kumtukana Wema inatosha,mama yake mngemwacha tu hata kama yukoje ni mtu mzima
      ni sawa na mama yako.

      Halafu hii dhana ya kila mtu akikosea kusema Elimu,Elimu,Elimu...sio kweli, hakuna watu waliokua na hekima, busara na wastaarabu kama bibi na babu zetu huko nyuma na hawakusoma hata darasa moja.
      Ila muafrika akiwa tu na degree, kila kitu mtu akikosea utasikia ni kwa vile hana elimu
      yaani anakua Limbukeni kupitiliza.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...