Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Mama yake Wema Sepetu, Bi Mariam Sepetu afunguka kwa ghadhabu akiwatakia wale wote ambao wamekuwa wakifuatilia maisha ya mwanae hasa waandishi wa habari za Udaku waache mara moja vinginevyo atakula nao sahani moja.

      Akieleza kwenye Kipindi cha "Take One" kinachorushwa na Clouds TV, amejigamba kuwa mwanae alikuwa na "tabia nzuri" lakini baadhi ya marafiki wamemharibu japo bado anakubalika na watanzania wote.

      Amesema wengi wa marafiki walifikia hata kumpeleka kwa waganga wa Kienyeji, na kuna wengine amefikia kuwafukuza kabisa wasikanyage nyumbani kwake kutokana na tabia zao.

      Akifunguka kwa maneno tata mama huyo amesema kuwa ana mchukia sana Diamond kutokana na "kumtumia mwanae" kwa ajili ya mafanikio yake ya kimuziki (hakufafanua kimtumia mwanae kivipi?) ila alisema kuwa ameyajua hayo baada ya kuzunguka.

      Alieleza pia kuwa amehangaika sana kumrudisha Wema hapa alipofikia sasa. Aalisema kuwa amegundua mengi sana ambayo marafiki zake walikuwa wakimfanyia (hakuwataja zaidi ya Jackline Whopper) ambae anasema aliwahi kumtusi mwanae wakati fulani kuhusu maangaiko yake na kusema hana pa kuishi.. "Huyo Whopper aelewe Wema hapa ndio nyumbani kwao alipozaliwa" aling'aka mama huyo.

      Kuhusu mahusiano ya Wema na Diamond alisema, alimchukia sana Diamond tokea walipoanza mahusiano na Wema kwani Diamond alilenga kumtumia tu mwanane kufika pale alipo lakini atashuka muda si mrefu. "Diamond hana adabu hata kidogo, kijana huwezi kumchukua binti wa watu ukaenda kumvisha pete ukumbini hata wazazi wake hawajui wala hujaenda kujitambulisha kwa wazazi wake...hii ni dharau kubwa sana aliyoifanya na mimi nilisema, kamwe asingeweweza kuishi na mwanagu kama mimi mzazi wake sijapenda".

      Alionya kuwa kwa sasa mwanae WEMA amemtengeneza na hakuna atakaweza tena kumvuruga kama mwanzo.... Hata hivyo, Mzazi huyu aliyeonekana akiongea kwa machungu hakuweza kufafanua mwanae amemtengeneza namna gani....

      Pata Majigambo mazima ya mama huyo hapa:



    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,970
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Acha ujinga wewe. Uswahili ndiyo kitu gani?
      Nimependa. Ume attack vizuri.

    4. #22
      petrinamwana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 52
      Rep Power : 386
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Hizi tabia za wakina mama kuona mtoto wake bora kuliko mtoto wa mwenzie ni upumbavu akumbuke alipotoa wema ndipo mama dimond alipomtoa dimondi wakina mama jifunzeni kupitia mama huyu anaonekana kumulea mtoto wake vibaya asitafute sababu aisee mshirikina sana hana hata chembe ya utu namkumbuka sana mama angu kunilea hivi niliposfikia nisingekufananisha hata kidogo na mama huyu

    5. #23
      Mrembo by Nature's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Location : Ullentoppen
      Posts : 2,383
      Rep Power : 8906
      Likes Received
      1235
      Likes Given
      1410

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Quote By anders batta
      Like Mom Like Daughter..huyu mama hana busara na hata shule nina mashaka nayo..mswahili na mshirikina sana anaonekana..yani una ropoka kumtengeneza kwa mganga binti..what a shame..? ngoja aje zamaradi mketema na ID yake ya Mrembo By Nature aanze kumwaga mitusi!
      Teh teh teh nipo nimejaa tele mwaya, wasemaje nimeona umentaja hapa

    6. #24
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,027
      Rep Power : 1721
      Likes Received
      967
      Likes Given
      0

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      wanasema wazazi wako ndio Mungu wako wa Duniani...
      Asa huyo Mama nae Mungu?
      Mungu anaenda kumtengeneza mwanawe?

      Kwangu mimi piga ua, funga kamba buruza kwenye lami lakini end of the day Miss Tanzania kwangu atabakia kuwa Hoyce Temu.

    7. RR
      #25
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,602
      Rep Power : 1743
      Likes Received
      1018
      Likes Given
      481

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Wema got her beauty from her mom....
      What a combination...
      Bunge: Upuuzi unaolindwa na sheria...kwa kutumia hela za Watz!

    8. Miaka 50

    9. #26
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      huyu mama wema nae ni roporopo.anamaanisha nini pale anapomsakama diamond?na hata kufikia hatua ya kusema atashuka muda si mrefu?kwani diamond ni wa kwanza kumpenda wema na kumuacha?.....huyu mama nae anasaka mabwana kwenye media tu

    10. #27
      Kalulu Metusela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 78
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      53

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Ameongea point moja tu huyu mama., kuchukizwa na dharau za diamond kumvisha pete wema bila ridhaa yake. Siku hizi naona imekuwa fashion watu hasa wasanii kuvishana pete za uchumba bila kushirikisha wazazi., watanzania tunasahau mila na desturi zetu., kwa mila zetu huwezi kumchumbia binti bila ruksa ya wazazi. Tumekuwa wajinga na kuiga lyf style ya mbele... Ukimvisha pete demu nakumchumbia inamaanisha mnaweka malengo ya kuoana., sasa unapochumbia bila makubaliano na wazazi., posa utapeleka kwa nani wakati wao hawakutambui?

    11. #28
      salito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 971
      Rep Power : 567
      Likes Received
      215
      Likes Given
      138

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      mhhh mhhhh....

    12. #29
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 389
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      hakuna kazi ngumu duniani kama "parenthood" Mungu atunusuru tu na watoto wetu
      nemic4u likes this.

    13. #30
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,951
      Rep Power : 31788
      Likes Received
      5900
      Likes Given
      19267

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Nilimwona mwanzo mwisho. mama anatetea kuwa wema ni mtu mwenye tabia nzuri mama anaonekana mshamba na mshirikina wa ukweli. mama amdisqualify diamond na marafiki wa bintiye. wamama tunahitaji ushauri wa makuzi ya binti zetu.

    14. #31
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 615
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Elimu inahusu my sister hivyo we ukimwangalia mama wema huoni elimu inahuu ndugu
      I'm Successiful, Powerful, Handsome and Happy

    15. #32
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 615
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Hamnaga kitu kinaitwa mungu wa duniani futa hizo kauli dhaifu, mungu ni mmoja tu naye si binadamu wala hana udhaifu wa kibinadamu wala hana wa kufananishwa naye. Dingi naye aliwahi kuropoka one day nikamwambia mzee tulia ikibidi kaungame we ni binadamu usijifananishe na mungu akatulia kimyaa mzee mzima
      I'm Successiful, Powerful, Handsome and Happy

    16. #33
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Nikishikwa na butwaa na maongezi ya huyu mama, mke wa balozi, mswahili kiasi hiki? Kweli Wema kaharibiwa na mammake na wala si marafiki. Mama kakosa hekima kabisaaaaaaaa, nashukuru Mungu kwa hekima kidogo alonipa kwani nawezaa kuchagua la kuongea mbele za watu.

    17. #34
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,450
      Rep Power : 19778
      Likes Received
      4289
      Likes Given
      1187

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Kwani wema alilazimishwa kuvishwa pete?

    18. #35
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Kwani wema alilazimishwa kuvishwa pete?
      Hakunaga!

    19. #36
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,954
      Rep Power : 3698
      Likes Received
      3574
      Likes Given
      5748

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Napita tu hapa ..
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    20. #37
      sister's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2011
      Location : MBEZI YA KIMARA, DSM
      Posts : 1,443
      Rep Power : 958
      Likes Received
      450
      Likes Given
      470

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      na huyo editor wa hicho kipindi anafanya kazi gani?........akuona kama hayo maneno hayapaswi kuongelewa mbele ya camera na hayana funzo lolote kwa jamii bali kumdhalilisha mama kama kashindwa kumlea mtoto wake ipasavvyo.

    21. #38
      Kiziza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 541
      Likes Received
      73
      Likes Given
      0

      Default Re: Wema nimemtengeneza, hawatamuweza tena - Mama Wema

      Wanaume wanaochangiaga threads za Wema au Lulu naona kama ni wale wanaume wambea wambea...

    22. #39
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,328
      Rep Power : 1443
      Likes Received
      647
      Likes Given
      491

      Default

      Quote By Kiziza
      Wanaume wanaochangiaga threads za Wema au Lulu naona kama ni wale wanaume wambea wambea...
      na wewe umechangia tayari lakini...!!

    23. #40
      Kiziza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 541
      Likes Received
      73
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By matumbo
      na wewe umechangia tayari lakini...!!
      Yah ila sio wa jinsia hiyo,unajua kuna mambo mengine wanaume hayawapendezei ila wanaume wa siku hizi wamebadilika sana..

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...