Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      916
      Likes Given
      457

      Default Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      - Safari ya kurudi Dar from Dom...
      SOURCE FACEBOOK
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Babuu blessed
      mbona mzee kabisa huyo wabongo bwana kama mwanaume utasikia anaitwa mzee mzee kafika mpe kiti.mwanamke ataiwa mtoto bdo mbich wakati kashafunga mzunguko wa mwez.alitakiwa kuwa na mtoto age yangu kabisa huyu mama.
      Ulimshikia mama yake kadi la kliniki? Udogo wako wewe uko wapi? Tuondolee stress zako hapa
      Josephine03 likes this.

    4. #22
      Tonny's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th September 2010
      Posts : 205
      Rep Power : 482
      Likes Received
      30
      Likes Given
      20

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Ritz
      Tatizo sisi Watanzania wengi wao hatuna kitu ndio maana tunashangaa hata vitu vidogo mbona kawaida tu kukodi Jet, wala sio bei kubwa.
      hiyo sio jet
      Matola likes this.
      I don't agree with a word you say, but i will defend to death your right to say it; Voltaire

    5. #23
      One Man Army's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th December 2011
      Posts : 223
      Rep Power : 418
      Likes Received
      24
      Likes Given
      11

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      hahaha..yani matumbo na suzie kazi kwel kwel
      Josephine03 likes this.

    6. #24
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Tonny
      hiyo sio jet
      Tonny.

      Hiyo inaitwa Private Jet Charter...tuambie wewe inaitwaje!

    7. #25
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Josephine03
      Kumbe gharama ni sawa na basi au Treni. Do you know definition of saving? Au unaanza kusevu zikifika mamilioni na wala sio mamoja? Mtabakia kusema wachagga bajeti kumbe hujijui kuwa wewe ndo limbukeni

      Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
      Wewe vipi kwani Wachagga wana nini? Ebu nitajie Wachagga watano wanaomiliki viwanda au makampuni makubwa! Siku hizi hakuna kabila ambalo lipo nyuma wote wana pesa..limbukeni kweli wewe kuwa na Vitara au Naoh na kibanda Kimara basi unajiona tajiri.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default

      Safi sana bibiye tumbua tu kama zipo wenye wivu wajinyonge maisha yenyewe mafupi tu haya

    10. #27
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By Suzie
      Ulimshikia mama yake kadi la kliniki? Udogo wako wewe uko wapi? Tuondolee stress zako hapa
      Makunyazi katika uso wake hayahitaji cheti cha clinic kuthibitisha ukongwe wake duniani!
      Matola likes this.

    11. #28
      M-bongotz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : Kwa Mtogole
      Posts : 1,521
      Rep Power : 781
      Likes Received
      245
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Babuu blessed
      mbona mzee kabisa huyo wabongo bwana kama mwanaume utasikia anaitwa mzee mzee kafika mpe kiti.mwanamke ataiwa mtoto bdo mbich wakati kashafunga mzunguko wa mwez.alitakiwa kuwa na mtoto age yangu kabisa huyu mama.
      Hushangai babu anaitwa baby

    12. #29
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,479
      Rep Power : 9581
      Likes Received
      682
      Likes Given
      575

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      chakura

    13. #30
      Mrembo by Nature's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Location : Ullentoppen
      Posts : 2,404
      Rep Power : 8910
      Likes Received
      1251
      Likes Given
      1413

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Muuza Sura
      Makunyazi katika uso wake hayahitaji cheti cha clinic kuthibitisha ukongwe wake duniani!
      Kwenye swala la umri uso siku zote unasema ukweli, kamwe haudanganyiiiii

    14. #31
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 614
      Rep Power : 687
      Likes Received
      145
      Likes Given
      1

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      MImi simu ones wivu shyeose lakini Nakubaliana na wale wanaoona hiki kitendo sio sahih, jina compromise integrity yake Kama kiongozi. Si semi asili charter, nasema hiyo sio news ya Kutulisha. Lazima ajue sisi sio wakina jafarai tunataka kuona uwakilishi uliokua professionally accepted kwenye vigezo vinavyokubalika. Hawa wote wa nahitaji serious leadership orientation

    15. #32
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,515
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Kwa upeo wangu mdongo kwenye Aviation Industry huo ndio usafiri bei chee kuliko kusafiri na Presicion Air, na siyo lazima awe peke yake amekodi hiyo cherter, anaweza kuwa alikuwa ni abiria wa kawaida tu kama wengine na mkumbuke Dodoma hakuna rout za ndege kubwa.

      Ila tukirudi kwenye aina ya ndege hiyo inaitwa Caravan, Jet ni kama ile ya Rais ambayo ni Gulf stream. am stand to be collected/corrected .
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    16. #33
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,964
      Rep Power : 1078
      Likes Received
      464
      Likes Given
      574

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Muacheni ajilie vya kwake, msioweza kukodi p8 jet, shauri yenu...!! Raha ya pesa ni kuitumia unavyojisikia....!!!
      malimamalima and Josephine03 like this.

    17. #34
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 1,964
      Rep Power : 1078
      Likes Received
      464
      Likes Given
      574

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Josephine03
      Kumbe gharama ni sawa na basi au Treni. Do you know definition of saving? Au unaanza kusevu zikifika mamilioni na wala sio mamoja? Mtabakia kusema wachagga bajeti kumbe hujijui kuwa wewe ndo limbukeni
      Amekwambia hajasave pesa kadhaa banks??!! Unaongea kauli za kuhurumia hizo pesa utafikiri umemuazima!! RAHA ya pesa kuitumia bhabu, sio kuiweka ije iliwe na wengine..!!

    18. #35
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Matola
      Kwa upeo wangu mdongo kwenye Aviation Industry huo ndio usafiri bei chee kuliko kusafiri na Presicion Air, na siyo lazima awe peke yake amekodi hiyo cherter, anaweza kuwa alikuwa ni abiria wa kawaida tu kama wengine na mkumbuke Dodoma hakuna rout za ndege kubwa.

      Ila tukirudi kwenye aina ya ndege hiyo inaitwa Caravan, Jet ni kama ile ya Rais ambayo ni Gulf stream. am stand to be collected/corrected .
      Hivi wewe hunajua Caravan ni nini au unakurupuka tu kuandika kama hujui uliza.

      Caravan ni gari linalotumiwa kama nyumba, linalo safiri..

      Jet ni Air Craft/Air Liner/ Fighter..

      Halafu sio Presicion Air...ni Precision Air.

    19. #36
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,515
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Ritz
      Hivi wewe hunajua Caravan ni nini au unakurupuka tu kuandika kama hujui uliza.

      Caravan ni gari linalotumiwa kama nyumba, linalo safiri..

      Jet ni Air Craft/Air Liner/ Fighter..
      Ritz wewe ni Kilaza usibishane na mimi kitu ambacho huna hata chembe ya ufahamu wake.
      HOME > AIRCRAFT > CESSNA GRAND CARAVAN

      Photos
      Video
      Cessna Grand Caravan






      CESSNA GRAND CARAVAN

      The Grand Caravan is Cessna’s top of the line turbo prop. With a single engine and three blade propeller, the Grand Caravan reaches an average speed of 180 mph and is a short range aircraft reaching up to 960 miles. The Grand Caravan seats up to eight passengers with an interior cabin of 5.2W x 16.7L x 4.3H. Specifications

      Seating: 9 (Std/Max)
      Lavatory: N
      Maximum Speed: 186 kph
      Maximum Range: 898 sm
      Cessna Grand Caravan Aircraft Available for Charter

      Select Aircraft to Quote Aircraft Rate Location Charter Operator

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 12
      Tail # 5Y-MJA
      3 Photos
      $1191/hr KNW Phoenix Aviation +2546004048 / +254733632769

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N159AK
      1 Photos
      Call FRG Talon Air Inc 1-914-482-2705

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N707EM
      6 Photos
      $1200/hr FXE Sky Limo Air Charter 954-776-9004
      Josephine03 likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    20. #37
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,515
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Ritz
      Hivi wewe hunajua Caravan ni nini au unakurupuka tu kuandika kama hujui uliza.

      Caravan ni gari linalotumiwa kama nyumba, linalo safiri..

      Jet ni Air Craft/Air Liner/ Fighter..
      Ritz wewe ni Kilaza usibishane na mimi kitu ambacho huna hata chembe ya ufahamu wake.

      HOME > AIRCRAFT > CESSNA GRAND CARAVAN

      Photos
      Video
      Cessna Grand Caravan





      CESSNA GRAND CARAVAN

      The Grand Caravan is Cessna’s top of the line turbo prop. With a single engine and three blade propeller, the Grand Caravan reaches an average speed of 180 mph and is a short range aircraft reaching up to 960 miles. The Grand Caravan seats up to eight passengers with an interior cabin of 5.2W x 16.7L x 4.3H. Specifications


      Seating: 9 (Std/Max)
      Lavatory: N
      Maximum Speed: 186 kph
      Maximum Range: 898 sm
      Cessna Grand Caravan Aircraft Available for Charter

      Select Aircraft to Quote Aircraft Rate Location Charter Operator

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 12
      Tail # 5Y-MJA
      3 Photos
      $1191/hr KNW Phoenix Aviation +2546004048 / +254733632769

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N159AK
      1 Photos
      Call FRG Talon Air Inc 1-914-482-2705

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N707EM
      6 Photos
      $1200/hr FXE Sky Limo Air Charter 954-776-9004
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    21. #38
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Haya nenda tena kwenye Google andika Jet, Halafu ulete hapa..

    22. #39
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5841
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Matola
      Ritz wewe ni Kilaza usibishane na mimi kitu ambacho huna hata chembe ya ufahamu wake.

      HOME > AIRCRAFT > CESSNA GRAND CARAVAN

      Photos
      Video
      Cessna Grand Caravan





      CESSNA GRAND CARAVAN

      The Grand Caravan is Cessnas top of the line turbo prop. With a single engine and three blade propeller, the Grand Caravan reaches an average speed of 180 mph and is a short range aircraft reaching up to 960 miles. The Grand Caravan seats up to eight passengers with an interior cabin of 5.2W x 16.7L x 4.3H. Specifications


      Seating: 9 (Std/Max)
      Lavatory: N
      Maximum Speed: 186 kph
      Maximum Range: 898 sm
      Cessna Grand Caravan Aircraft Available for Charter

      Select Aircraft to Quote Aircraft Rate Location Charter Operator

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 12
      Tail # 5Y-MJA
      3 Photos
      $1191/hr KNW Phoenix Aviation +2546004048 / +254733632769

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N159AK
      1 Photos
      Call FRG Talon Air Inc 1-914-482-2705

      Cessna Grand Caravan
      (Turbo prop)
      Seats 9
      Tail # N707EM
      6 Photos
      $1200/hr FXE Sky Limo Air Charter 954-776-9004
      Kauzu zaidi ya dagaa! Hizo zote ni JET

    23. #40
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,515
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Shyrose na Ndege PRIVATE kutoka DOM kwenda DAR!

      Quote By Ritz
      Kauzu zaidi ya dagaa! Hizo zote ni JET
      Hayo yote ni magari yanayosafiri kama nyumba Caravan, hatimaye sasa magari yanapaa angani!!....
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...