http://m.youtube.com/watch?desktop_uri=%2Fwatch%3Fv %3DCIFEfCmxqlA%26feature%3Dyou tu.be&feature=youtu.be&v=CIFEf CmxqlA&gl=US
http://m.youtube.com/watch?desktop_uri=%2Fwatch%3Fv %3DCIFEfCmxqlA%26feature%3Dyou tu.be&feature=youtu.be&v=CIFEf CmxqlA&gl=US
Sasa hiyo video iko wapi mkuu.
bado nina tatizo kwenye hili..............
video nzuri na aghali lakini kwa nyimbo za kawaidaaaaaaaaaaa saaaaana,kinyume chake na enzi zile wanatoa nyimbo kali alafu video za bei chee.....dah
Ay hana jipya kashapotea....na amshukuru sana Hermy B kwa kumrudisha maskioni mwa watu tungeshamsahau kama rafiki yake Snare..promo kubwa kiwango kidogo ndio maana nyimbo zake hazikai.
Juzi pale Millenium Tower alikuwa anajitapa kuwa amespend 33 Million for this Music Video! Kumbe Bongo watu wenye tabia kama Wema Sepetu wapo wengi enhee?
video kali sana ila lyrics ni ovyo kabisa hauna mvuto kabisa. sijui nani mtunzi wa huo wimbo.
Video ya kawaida sana! Hakuna jipya hapo!
Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.
used to think so highly of AY,but that is no more
Dont frown while GOD is smilling
Follow Us Here