Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,714
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      kweli Wasanii wa Bongo hamnazo:



      KUFUATIA mafanikio alinayoyapata hivi sasa kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya Bongo, staa wa muziki huo Naseeb Abdul ‘Diamond’ ndiye mkali aneingiza mkwanja mrefu zaidi kuliko nyota wote wanaotamba hivi sasa hapa nchini.
      Uchunguzi uliofanywa na Teentz.com umebaini kuwa Diamond anaingiza kiasi cha shilingi za kibongo Milioni 16 kwa kila shoo mbili anazofanya akiwa ndani na nje ya jiji la Bongo.


      Katika kuhakikisha kuwa ukweli unapatikana Teentz ilimsaka Diamond na baada ya kufanikiwa kumpata alikiri kufikia kiwango hicho .
      “Nashukuru Mungu kwa kufika hapa na ukweli ni kuwa nalipwa mkwanja huo na hii imekuja kufuatia kuweka nguvu zangu katika muziki na kufanya vitu vizuri kwa kuwa gemu ndiyo maisha yangu” alisema Diamond.


      Akiendelea zaidi nyota huyo wa ‘Songi’ la ‘Mawazo’ alianika kuwa mafanikko haya yanakuja pia kutokana na sapoti anayoipata kutoka kwa watu wake wa karibu akiwemo Mama yake mzazi na wengine kibao.


      Hapa chini ni mkataba ambao amelamba kutoka kampuni ya Emilates Hall kupiga shoo huko pande za Mtwara



      http://kapingaz.blogspot.com/2012/06/hakuna-kama-diamond-cheki-na-moja-ya.html?spref=fb
      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	DIAMOND.jpg 
Views:	0 
Size:	123.6 KB 
ID:	56358  
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.


    2. #2
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1414
      Likes Received
      520
      Likes Given
      48

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      So what?

    3. #3
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 797
      Rep Power : 772
      Likes Received
      157
      Likes Given
      21

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      We uliyeleta mada unaingiza shilingi ngapi kwa siku kwaajili ya familia yako na we binafsi.?
      Bigboy74 and Matola like this.

    4. #4
      TUMY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2009
      Posts : 709
      Rep Power : 659
      Likes Received
      90
      Likes Given
      200

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      good deal.

    5. #5
      TUMY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2009
      Posts : 709
      Rep Power : 659
      Likes Received
      90
      Likes Given
      200

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      good deal.


    6. #6
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,062
      Rep Power : 600
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Kwani kulikuwa na ulazima wa kumuandika WEMA katika habari yako au na wewe nawe ndio walewale gazeti haliwezi uzika mpaka liwe na kichwa cha kinoko noko??

    7. #7
      asrams's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th September 2011
      Posts : 626
      Rep Power : 519
      Likes Received
      112
      Likes Given
      66

      Default

      Quote By denoo49 View Post
      We uliyeleta mada unaingiza shilingi ngapi kwa siku kwaajili ya familia yako na we binafsi.?
      Swali zuri sana

    8. #8
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,339
      Rep Power : 6595
      Likes Received
      2775
      Likes Given
      1324

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Why not in official letterhead.
      Yo Yo likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    9. #9
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,981
      Rep Power : 3414
      Likes Received
      1345
      Likes Given
      498

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      sawa anaingiza pesa nyingi anafanyia nini?

    10. #10
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Hongera zake

    11. #11
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Sasa watu wengine bana jamani Wema anahusikanaje hapa???
      ngoshwe, Amanda and mama D like this.
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    12. #12
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,176
      Rep Power : 787
      Likes Received
      255
      Likes Given
      689

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Na kodi analipa Sh. ngapi?
      Mwakalinga Y. R likes this.
      I'm teaching fools some basic rules...

    13. #13
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,180
      Rep Power : 980
      Likes Received
      931
      Likes Given
      2307

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Kama kuna mtu wa TRA humu na ni mzalendo afuatilie tupate chetu kwa njia ya kodi tafadhali.Si sahihi kuvuna pesa za wananchi bila kulipa kodi.Moja ya mambo yanayowasumbua TRA kwenye kukusanya kodi ni watu/taasisi/makampuni kuficha mapato yao halisi .Sasa huyu amekuwa muwazi kuweka kipato chake ,TRA mpo wapi ?ama mnasubiri mkusanye kodi kwenye beer na sigara!!!?
      Mwalimu likes this.
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel


    14. #14
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : beacon hills
      Posts : 1,572
      Rep Power : 3798
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      413

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Quote By LEGE View Post
      Kwani kulikuwa na ulazima wa kumuandika WEMA katika habari yako au na wewe nawe ndio walewale gazeti haliwezi uzika mpaka liwe na kichwa cha kinoko noko??
      huwezi jua, labda yeye ni intern wa gl0bal publ1shers,

      Quote By idawa View Post
      sawa anaingiza pesa nyingi anafanyia nini?
      anamhonga jokate
      the worst is yet to come

    15. #15
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,859
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5657
      Likes Given
      3878

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Jamani mimi naomba kuuliza tu, hivi na nchi nyingine kuna majitu majinga na mazembe kama hapa kwetu au ni sisi labda tumelaaniwa?
      What is this!?....
      Yo Yo likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    16. #16
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,714
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Quote By denoo49 View Post
      We uliyeleta mada unaingiza shilingi ngapi kwa siku kwaajili ya familia yako na we binafsi.?
      Kila mzalendo amwage humu anaingiza kiasi gani yeye na familia yake??

      Diamond na Wema wamemwaga kwenye vyombo vya habari kuwajulisha watanzania wenzao kuwa wanaingiza/wameingiza ngapi..

      A wise, grown-up and responsible person can not do that my friend!!!,

      who cares kama si ulimbukeni!!?
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    17. #17
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,714
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      576
      Likes Given
      782

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Quote By Dena Amsi View Post
      Sasa watu wengine bana jamani Wema anahusikanaje hapa???
      soma vizuri uhusika wake humu ndani...
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    18. #18
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 407
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Apime kbs na VVU
      ngoshwe likes this.

    19. #19
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,424
      Rep Power : 718
      Likes Received
      358
      Likes Given
      23

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      mkataba mbovu ajabu, hivi tuhela take huto hanaga wanasheria wa kumsaidia kuingia mikataba, au anasubiri hadi apate tatizo kubwa ndo awe nao....manake mkataba huo umeeandikwa na mtu lay man mno....
      Tanzania ni tajiri,tena tajiri sanaaaa, lakini dah we acha tu! sijui kwanini watu wake masikini?

    20. #20
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Nauliza Wema anahusikaje na huu mkataba..........Hujanijibu swali langu bado..........

      Mkataba aingie Almasi kumwagana na Wema kunatoka wapi sasa????
      ngoshwe likes this.
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...