Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,691
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      570
      Likes Given
      770

      Default Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      kweli Wasanii wa Bongo hamnazo:



      KUFUATIA mafanikio alinayoyapata hivi sasa kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya Bongo, staa wa muziki huo Naseeb Abdul ‘Diamond’ ndiye mkali aneingiza mkwanja mrefu zaidi kuliko nyota wote wanaotamba hivi sasa hapa nchini.
      Uchunguzi uliofanywa na Teentz.com umebaini kuwa Diamond anaingiza kiasi cha shilingi za kibongo Milioni 16 kwa kila shoo mbili anazofanya akiwa ndani na nje ya jiji la Bongo.


      Katika kuhakikisha kuwa ukweli unapatikana Teentz ilimsaka Diamond na baada ya kufanikiwa kumpata alikiri kufikia kiwango hicho .
      “Nashukuru Mungu kwa kufika hapa na ukweli ni kuwa nalipwa mkwanja huo na hii imekuja kufuatia kuweka nguvu zangu katika muziki na kufanya vitu vizuri kwa kuwa gemu ndiyo maisha yangu” alisema Diamond.


      Akiendelea zaidi nyota huyo wa ‘Songi’ la ‘Mawazo’ alianika kuwa mafanikko haya yanakuja pia kutokana na sapoti anayoipata kutoka kwa watu wake wa karibu akiwemo Mama yake mzazi na wengine kibao.


      Hapa chini ni mkataba ambao amelamba kutoka kampuni ya Emilates Hall kupiga shoo huko pande za Mtwara



      http://kapingaz.blogspot.com/2012/06/hakuna-kama-diamond-cheki-na-moja-ya.html?spref=fb
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      mbaya sana kutaka kumshindanisha mtoto wa kiume na wa kike!!!!!kushindana na binti kama wema kimafanikio ni kushindana na wafanyabiashara wa kiarabu na baadhi yaviongozi wa serikali indirectly!........platinumz hashindani na wema ila watu wanapamba!hawa watu wanapendana na haya mambo yote wema anayafanya kwa kupanic halafu mnyamwezi Almasi hana habari!
      shosti likes this.
      a.k.a mnyama!!!!

    4. #22
      TheChoji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th April 2009
      Location : Kilimanjaro
      Posts : 368
      Rep Power : 648
      Likes Received
      111
      Likes Given
      39

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Huo ni mkataba........ au? Kumbe ndio maana wasanii huwa wanalizwa.

    5. #23
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      sasa hapa wema kaingia vipi wewe mtoa mada?na unaposema wasanii wabongo hamnazo unamaanisha nini ndugu???mwenzako shoo mbili tu kumi na sita mfukoni.....au unataka kusema ni ujinga kuingiza hela yote hiyo???
      Dena Amsi likes this.

    6. #24
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,841
      Rep Power : 911
      Likes Received
      293
      Likes Given
      0

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Mkataba wenyewe mbona unamapungufu mengi?umekaa kihunihuni zaidi!

    7. Lis
      #25
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 130
      Rep Power : 378
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By tara
      sasa hapa wema kaingia vipi wewe mtoa mada?na unaposema wasanii wabongo hamnazo unamaanisha nini ndugu???mwenzako shoo mbili tu kumi na sita mfukoni.....au unataka kusema ni ujinga kuingiza hela yote hiyo???
      hahahaha,yan
      umenifurahsha
      sana,coz
      ata,mie,cjaona
      wema
      anahusika,vp
      apa,au
      ndo,ile,
      uwezi,mtaja
      diamond
      bila
      ya,wema.
      Dena Amsi likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,609
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2299

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      huo mkataba waliuandika wenyewe nini? Hawajui wanasheria walipo?

    10. #27
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,691
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      570
      Likes Given
      770

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Quote By Dena Amsi
      Nauliza Wema anahusikaje na huu mkataba..........Hujanijibu swali langu bado..........

      Mkataba aingie Almasi kumwagana na Wema kunatoka wapi sasa????
      Upo machakani Mkuu, hujaelewa mada, sio kumwagana ni "kumwaga". Wema amemwaga mali nazomiliki, magari na nyumba na kueleza uatajiri wake ni about 400M. Siku chache baada ya tukio hilo, Daimond nae ameibuka na hii ya kumwaga mkataba hadharani ili watanzania wajue kipato chake kwenye show moja haipungui 8M. Mantiki ya yeye kufanya hivi ni kana kwamba anajibu mapigo ya Wema.

      Hii ndiyo msingi wa hoja. Mambo ya kuacahana etc hayatuhusu...ila kujitangaza vipato kama hivi ambavyo havilipiwi kodi inatuhusu...
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    11. #28
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,730
      Rep Power : 714
      Likes Received
      560
      Likes Given
      265

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Wema amehusikaje we mtoa udaku wa dayamonda?
      Dena Amsi likes this.

    12. #29
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      918
      Likes Given
      459

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Upuuuzi mtupu!
      Dena Amsi likes this.
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    13. #30
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,929
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By Muuza Sura
      mbaya sana kutaka kumshindanisha mtoto wa kiume na wa kike!!!!!kushindana na binti kama wema kimafanikio ni kushindana na wafanyabiashara wa kiarabu na baadhi yaviongozi wa serikali indirectly!........platinumz hashindani na wema ila watu wanapamba!hawa watu wanapendana na haya mambo yote wema anayafanya kwa kupanic halafu mnyamwezi Almasi hana habari!
      Haaaa sure wema kapanic kweli,nashangaa wema katoa hela wapi ya kununua markX acha mjengo ambao hata zile peva na kigae hawezi hata kununua,mapedeshee wekezeni hela kwenye familia(elimu,vitega uchumi,mashamba na plots) na sio kuwekeza kwa hawa ma**ya wa mjini

    14. #31
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,146
      Rep Power : 6368
      Likes Received
      1489
      Likes Given
      423

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Ukitaka kujua huu mkataba ni fake, angalia hapo chini Dimond kasaini wapi?? Tutoleeni Ushuzi hapa!
      Dena Amsi likes this.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    15. #32
      Gugwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th July 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 418
      Likes Received
      47
      Likes Given
      46

      Default re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Sharti namba 2 mbavu sina hadi INSHAALLAH! zinakuwepo kwenye mkataba!!!
      Jogoo Halei Vifaranga

    16. #33
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      Milioni 16 kwa show zote hadi za lindi na songe huko? Sio kweli. Kwa kiingikio cha 5000 mkoani wakiingia watu 5000 ni 25000000, then stage, gharama ingine na ukumbi kulipia huyo promoter atapata faida ipi? Kwanza show ya watu 5000 labda sijui ni hizi fiesta ndo watu wengi kama 15000 na zaidi. Na hapo wanakuwa na list ya wanamuziki wengi sana na wengine toka marekani. Hebu waache kujishaua, bila mashabiki kulipa kiingilio wangekata viuno kwenye disco vumbi.

    17. #34
      colisian's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 353
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      muda wake ngoja alee maiisha

    18. #35
      upendo meshack's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      teeeh . mungu amempa msione wivu

    19. #36
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,971
      Rep Power : 2372
      Likes Received
      962
      Likes Given
      172

      Default Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      safi sana dimond .... Wenyewe wivu wasage chupa wanywe ....
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    20. #37
      stineriga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Location : On My Way
      Posts : 782
      Rep Power : 687
      Likes Received
      189
      Likes Given
      130

      Default Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...

      makataba umekaa kieneyeji enyeji, lakini kama ni kweli, hongera zake..!!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...