KUFUATIA mafanikio alinayoyapata hivi sasa kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya Bongo, staa wa muziki huo Naseeb Abdul ‘Diamond’ ndiye mkali aneingiza mkwanja mrefu zaidi kuliko nyota wote wanaotamba hivi sasa hapa nchini.
Uchunguzi uliofanywa na Teentz.com umebaini kuwa Diamond anaingiza kiasi cha shilingi za kibongo Milioni 16 kwa kila shoo mbili anazofanya akiwa ndani na nje ya jiji la Bongo.
Katika kuhakikisha kuwa ukweli unapatikana Teentz ilimsaka Diamond na baada ya kufanikiwa kumpata alikiri kufikia kiwango hicho .
“Nashukuru Mungu kwa kufika hapa na ukweli ni kuwa nalipwa mkwanja huo na hii imekuja kufuatia kuweka nguvu zangu katika muziki na kufanya vitu vizuri kwa kuwa gemu ndiyo maisha yangu” alisema Diamond.
Akiendelea zaidi nyota huyo wa ‘Songi’ la ‘Mawazo’ alianika kuwa mafanikko haya yanakuja pia kutokana na sapoti anayoipata kutoka kwa watu wake wa karibu akiwemo Mama yake mzazi na wengine kibao.
Hapa chini ni mkataba ambao amelamba kutoka kampuni ya Emilates Hall kupiga shoo huko pande za Mtwara
re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...
mbaya sana kutaka kumshindanisha mtoto wa kiume na wa kike!!!!!kushindana na binti kama wema kimafanikio ni kushindana na wafanyabiashara wa kiarabu na baadhi yaviongozi wa serikali indirectly!........platinumz hashindani na wema ila watu wanapamba!hawa watu wanapendana na haya mambo yote wema anayafanya kwa kupanic halafu mnyamwezi Almasi hana habari!
re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...
sasa hapa wema kaingia vipi wewe mtoa mada?na unaposema wasanii wabongo hamnazo unamaanisha nini ndugu???mwenzako shoo mbili tu kumi na sita mfukoni.....au unataka kusema ni ujinga kuingiza hela yote hiyo???
sasa hapa wema kaingia vipi wewe mtoa mada?na unaposema wasanii wabongo hamnazo unamaanisha nini ndugu???mwenzako shoo mbili tu kumi na sita mfukoni.....au unataka kusema ni ujinga kuingiza hela yote hiyo???
re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...
By Dena Amsi
Nauliza Wema anahusikaje na huu mkataba..........Hujanijibu swali langu bado..........
Mkataba aingie Almasi kumwagana na Wema kunatoka wapi sasa????
Upo machakani Mkuu, hujaelewa mada, sio kumwagana ni "kumwaga". Wema amemwaga mali nazomiliki, magari na nyumba na kueleza uatajiri wake ni about 400M. Siku chache baada ya tukio hilo, Daimond nae ameibuka na hii ya kumwaga mkataba hadharani ili watanzania wajue kipato chake kwenye show moja haipungui 8M. Mantiki ya yeye kufanya hivi ni kana kwamba anajibu mapigo ya Wema.
Hii ndiyo msingi wa hoja. Mambo ya kuacahana etc hayatuhusu...ila kujitangaza vipato kama hivi ambavyo havilipiwi kodi inatuhusu...
"Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.
mbaya sana kutaka kumshindanisha mtoto wa kiume na wa kike!!!!!kushindana na binti kama wema kimafanikio ni kushindana na wafanyabiashara wa kiarabu na baadhi yaviongozi wa serikali indirectly!........platinumz hashindani na wema ila watu wanapamba!hawa watu wanapendana na haya mambo yote wema anayafanya kwa kupanic halafu mnyamwezi Almasi hana habari!
Haaaa sure wema kapanic kweli,nashangaa wema katoa hela wapi ya kununua markX acha mjengo ambao hata zile peva na kigae hawezi hata kununua,mapedeshee wekezeni hela kwenye familia(elimu,vitega uchumi,mashamba na plots) na sio kuwekeza kwa hawa ma**ya wa mjini
Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...
Milioni 16 kwa show zote hadi za lindi na songe huko? Sio kweli. Kwa kiingikio cha 5000 mkoani wakiingia watu 5000 ni 25000000, then stage, gharama ingine na ukumbi kulipia huyo promoter atapata faida ipi? Kwanza show ya watu 5000 labda sijui ni hizi fiesta ndo watu wengi kama 15000 na zaidi. Na hapo wanakuwa na list ya wanamuziki wengi sana na wengine toka marekani. Hebu waache kujishaua, bila mashabiki kulipa kiingilio wangekata viuno kwenye disco vumbi.
Re: Baada ya Wema kumwaga, Diamond nae amwaga haya...
safi sana dimond .... Wenyewe wivu wasage chupa wanywe ....
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26) My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Follow Us Here