Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22551

      Default Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Wanabodi,
      Mwanamke kutoka Zanzibar kwa jina la Bi Nasra, aliyejitambulisha kama mke wa kwanza wa president wa kwanza wa Zanzibar, anashiriki shindano la Bibi Bomba la Clouds FM!.

      Mwanamke huyo emedai kufanikiwa kupata mtoto mmoja na rais huyo wa kwanza na kusema yupo na mtoto yupo!.

      Kwa wale wajuzi wa mambo ya Zanzibar, jee ni kweli president wa kwanza wa Zanzibar alikuwa na mke mkubwa?. Kama ni kweli, is it proper kwa mke wa president kushiriki shindano na kujiexpose kuwa yeye alikuwa ndiye mke wa kwanza wa president wa kwanza?!.

      Namfahamu huko Zanzibar kuna mtoto wa nje wa Sultan aliyezaa na mjakazi wa mkewe na baada ya kupata ujauzito ikafanywa siri kubwa kumuozesha huyo mjakazi haraka haraka kabla siri haijafichuka!. Mwana mfalme huyo yupo na amejinyamazia kimya!.

      Kama ni kweli rais wa kwanza wa Zanzibar atakuwa alikuwa na mke mkubwa, basi urais Zanzibar haushi vibwanga!.

      Kimbwanga kingine ni kuna watoto wawili wa kiume wa rais, kaka mkubwa akawa rais kwa kipindi cha miaka 10, alipokaribia kumaliza mdogo mtu nae akautaka urais, akashauriwa yeye asigombee kwa sababu aliyemaliza ni kaka yake wa damu, hivyo urais wa Zanzibar ungeonekana kama usultani!. Mdogo mtu aligoma kujitoa kwa hoja kuwa mtoto halali wa rais aliyepaswa kuchukua urais ni yeye!, eti kakaye ni mtoto wa kufikia!

      Visa vya marais wa Zanzibar havikuishia hapo. Kuna rais mmoja mpenda warembo, ila alikuwa akioa na kuacha, alipoa mke wa 5, aliporwa huyo mke na rafiki yake ambaye alikuwa ni rais wa nchi nyingine hapa hapa barani Afrika. Sasa ana mke wa 6 na ndio katulia kutokana na umri!.
      Last edited by Pasco; 12th June 2012 at 14:16.


    2. #2
      Zion Train's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 506
      Rep Power : 664
      Likes Received
      72
      Likes Given
      155

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      pasco unajuwa mengi, unaweza kuanzisha kipindi ukakiita 'najuwa usichokijuwa,
      Pasco likes this.
      Love is my Religion

    3. #3
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,574
      Rep Power : 12091
      Likes Received
      2814
      Likes Given
      1608

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      kwani ukiangalia ndevu za hao marais ndugu unaona zina fanana?
      Watu siku hizi ni aibu tu ndo maana wanakaa miaka kumi lakini siku aibu ikiwaisha utasikia mimi ntatawala hadi zanzibar itakapo jenga daraja la kutuunganisha na bara. hamna Kiongozi africa anaye tamani kutoka madarakani. Na akisha ingia madarakani familia yake yote inajiona ni familia ya kifalme na kuongoza nchi ni haki yao wote. Mfano Mzuri angalia rais wa sasa, hadi mke wake ana escort kama rais. Hata mtoto anataka salute akipita. Mia
      Pasco likes this.

    4. #4
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,822
      Rep Power : 1797
      Likes Received
      742
      Likes Given
      393

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Mzee wa Mia umesomeka vizuri.
      Pasco likes this.

    5. #5
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13813
      Likes Given
      18061

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Quote By Zion Train View Post
      pasco unajuwa mengi, unaweza kuanzisha kipindi ukakiita 'najuwa usichokijuwa,
      very true
      Pasco likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!


    6. #6
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      aaah ndio maana hata wenzake wanamsema anajidai na anajiona ye ni msomi kuliko wenzake kumbe alikuwa ni mke prezdar
      Pasco likes this.

    7. #7
      Al Zagawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Location : Tabora
      Posts : 836
      Rep Power : 690
      Likes Received
      161
      Likes Given
      54

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Quote By Pasco View Post
      Wanabodi,
      Mwanamke kutoka Zanzibar kwa jina la Bi Nasra, aliyejitambulisha kama mke wa kwanza wa president wa kwanza wa Zanzibar, anashiriki shindano la Bibi Bomba la Clouds FM!.

      Mwanamke huyo emedai kufanikiwa kupata mtoto mmoja na rais huyo wa kwanza na kusema yupo na mtoto yupo!.

      Kwa wale wajuzi wa mambo ya Zanzibar, jee ni kweli president wa kwanza wa Zanzibar alikuwa na mke mkubwa?. Kama ni kweli, is it proper kwa mke wa president kushiriki shindano na kujiexpose kuwa yeye alikuwa ndiye mke wa kwanza wa president wa kwanza?!.

      Namfahamu huko Zanzibar kuna mtoto wa nje wa Sultan aliyezaa na mjakazi wa mkewe na baada ya kupata ujauzito ikafanywa siri kubwa kumuozesha huyo mjakazi haraka haraka kabla siri haijafichuka!. Mwana mfalme huyo yupo na amejinyamazia kimya!.

      Kama ni kweli rais wa kwanza wa Zanzibar atakuwa alikuwa na mke mkubwa, basi urais Zanzibar haushi vibwanga!.

      Kimbwanga kingine ni kuna watoto wawili wa kiume wa rais, kaka mkubwa akawa rais kwa kipindi cha miaka 10, alipokaribia kumaliza mdogo mtu nae akautaka urais, akashauriwa yeye asigombee kwa sababu aliyemaliza ni kaka yake wa damu, hivyo urais wa Zanzibar ungeonekana kama usultani!. Mdogo mtu aligoma kujitoa kwa hoja kuwa mtoto halali wa rais aliyepaswa kuchukua urais ni yeye!, eti kakaye ni mtoto wa kufikia!

      Visa vya marais wa Zanzibar havikuishia hapo. Kuna rais mmoja mpenda warembo, ila alikuwa akioa na kuacha, alipoa mke wa 5, aliporwa huyo mke na rafiki yake ambaye alikuwa ni rais wa nchi nyingine hapa hapa barani Afrika. Sasa ana mke wa 6 na ndio katulia kutokana na umri!.
      kwenye bold...katulia kwa sababu ya umri tu au ni huo upofu wa macho???!!!!
      Pasco likes this.
      ...........Uwanja wa siasa katika nchi karibu zote za Kiafrika, ni uwanja uliotekwa na majambazi ambao wanafanya wanachotaka, vile wanavyotaka..........Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema Namba 278.

    8. #8
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Yakhe miye sisemi lolote kwanza nilikuwa napita tu hapa.
      Pasco likes this.

    9. #9
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22551

      Default Re: Mke wa "President"Ashiriki Shindano Clouds!.

      Quote By Zion Train View Post
      pasco unajuwa mengi, unaweza kuanzisha kipindi ukakiita 'najuwa usichokijuwa,
      Zion, kipindi nitaanzisha, ila ni cha serious matters!.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...