Kuna taarifa nmeckia kuhusu mwanamuziki huyu kutoka Nigeria but not confirmed, ni kweli amefariki?
Kuna taarifa nmeckia kuhusu mwanamuziki huyu kutoka Nigeria but not confirmed, ni kweli amefariki?
Na we nawe unajisikia Ku-post ama Niajee ?..kama umeweza ingia humu umeshindwaje ingia Google ukapata Habari unazotaka.
Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
Kweli nimeona google, amepigwa risasi nchini Marekani na unknown person, bado nitaifuatilia vizuri later ili nielewe why
Good, amekataa, ameibuka some minutes ago na kusema yuko ok, na hizo rumours ni nonsense, teh, teh, teh
Wacha nimhurumie tu , maana alivyonikeraga!, ni good sana kwa wale mashabiki wake wa sana sio Mimi
Guys hiyo taarifa siyo ya kweli,hiyo taarifa ilikuwa ya april 1 siku ya wajinga,na siyo habari mpya
Follow Us Here