Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Diamond, Bob Junior wajibizana viobaya!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,580
      Rep Power : 3330
      Likes Received
      1218
      Likes Given
      458

      Default Diamond, Bob Junior wajibizana viobaya!

      diamondi amwambia bob kwamba anafaa kuwa mcheza shoo wake, bob amwambia diamondi anafaa kwa udalali sio mziki.! Habari zaidi Shafii dauda blog.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!

    4. #3
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,580
      Rep Power : 3330
      Likes Received
      1218
      Likes Given
      458

      Default

      Quote By Purple
      Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!
      hawa jamaa wajinga sana,watambiana mademu kuvaa vizuri.wanahitaji washauri kwa faida yao.

    5. #4
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Diamond aache kiburi cha hela, mbona kuna matajiri kibao Bongo hawana tabia za kujishaushau hovyo, ni utoto au ndio maskini akipata...!

    6. #5
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Doreen22
      Diamond aache kiburi cha hela, mbona kuna matajiri kibao Bongo hawana tabia za kujishaushau hovyo, ni utoto au ndio maskini akipata...!
      Maskini akipata.
      anders batta likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Topetope's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 413
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default

      Dogo diamondi ndiyo anaaga gemu ya bongo flv

    9. #7
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,769
      Rep Power : 841
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      lakini ni kweli Bob Junior anafaa kuwa mcheza shoo wa Diamond, maana anakatika na zile skin jeans zake za kike!
      Yo Yo likes this.

    10. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Mtu wa kwanza mjinga ni blogger,,,,hamna la maana pale
      anders batta likes this.

    11. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Pendael laizer
      Maskini akipata.
      m/\t@k¤ hulia mbwata

    12. #10
      mbumbumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Nyasamba, Shinyanga vijijini
      Posts : 471
      Rep Power : 523
      Likes Received
      75
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Judi wa Kishua
      Diamond mchizi wa ukweli sana uyu dogo,ajiskiii kabisa,hana dharau...tofauti kabisa na mnavyomchukulia....au labda kama unamchukulia kama unavyomuona kwenye TV....Ila uyo Bob Junior ana mambo ya kidemu sana,yani jamaa ana mambo ya kike kabisa...anafosi kinoma kushain sema ndio ivo ana damu ya kukubalika,so mwenzie anapong'aa inamuuma sana....

      Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume??? Hebu jichungulie kwanza, labda pia huna jinsia.. Mi nimeshindwa kukujua.. Kutokana na ID yako nlitaka ntupie maneno ila ulichoandika kimeni'step back!
      anders batta likes this.

    13. #11
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 378
      Rep Power : 397
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Diamond wa kweli,ajiskii wala hana dharau.....ila uyo Bob Junior ana mambo ya kike sana,na ndio maana ana tumia nguvu nyingi sana kung'aa lakini hashain..

    14. #12
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 378
      Rep Power : 397
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By mbumbumbu
      Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume??? Hebu jichungulie kwanza, labda pia huna jinsia.. Mi nimeshindwa kukujua.. Kutokana na ID yako nlitaka ntupie maneno ila ulichoandika kimeni'step back!
      we unachoshangaa nini ***** wewe,kama umeshindwa kujadili Bob Junor mwenzio...kama una shida ya mwanaume ata mimi naweza kukutafutia...

    15. #13
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 378
      Rep Power : 397
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Topetope
      Dogo diamondi ndiyo anaaga gemu ya bongo flv
      acha wivu wewe....kwa hiyo unakaa unaombea mwenzio apotee kwenye game ili ufaidike nini....

    16. #14
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Diamond is right.

    17. #15
      Topetope's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 413
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default

      Mimi naona blog iko vyema unafiki itaandika baya endapo upo ubaya jema km kunajema diamond hatakiwi kufokiria malumbano hata km tu dalili hizo zipo

    18. #16
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,564
      Rep Power : 5615
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default

      Quote By Purple
      Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!
      . . . . Na lipgloss
      anders batta likes this.

    19. #17
      lycan's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 103
      Rep Power : 376
      Likes Received
      11
      Likes Given
      22

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      diamond lazima atapotea kwenye game!
      anders batta likes this.

    20. #18
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 455
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Acheni umbea!Sh**zi!

    21. #19
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,532
      Rep Power : 6988
      Likes Received
      1159
      Likes Given
      579

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      kijana ni mkaliiiiiiiiiiii i mean daidomo
      anders batta likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    22. #20
      changman's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 191
      Rep Power : 434
      Likes Received
      65
      Likes Given
      70

      Default Re: DIAMONDI BOB JUNIOR wajibizana vabaya.!

      Shule muhimu sana kwa wasanii wetu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...