Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 46
    1. #1
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 2,003
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      482
      Likes Given
      589

      Post Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.

      1. Mzee Yusuf
      2. Lady Jay dee
      3. Kanumba
      4. Ray
      5. Rose mhando
      6. Professa Jay
      7. AY
      8. Diamond
      9. JB
      10. Ali kiba

      Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
      Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba

      Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
      i am sure the creator of the universe is the perfect mathematician


    2. #21
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,398
      Rep Power : 5161
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By kamau ngilisho View Post
      mwingine ni Matonya ana yadi ya magari na bonge la hotel mjini Tanga.
      Mapooda aka bwimbwi aka ngada hayamtupi mtu.

    3. #22
      dkims's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th March 2010
      Posts : 145
      Rep Power : 498
      Likes Received
      11
      Likes Given
      25

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      jamani ivi kuwa na nyumba ni utajiri, hiyo si basic needs??? lol basi na mie tajiri na kibanda changu chanikaaaaa

    4. #23
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By mathematics View Post
      Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.

      1. Mzee Yusuf
      2. Lady Jay dee
      3. Kanumba
      4. Ray
      5. Rose mhando
      6. Professa Jay
      7. AY
      8. Diamond
      9. JB
      10. Ali kiba

      Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
      Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba

      Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
      Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
      I need my head examined???

    5. #24
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 2,003
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      482
      Likes Given
      589

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By Okada View Post
      Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
      I need my head examined???
      tetesi zinadai wolper sio pesa zake alizotoa, zile ni pesa za mchumba aliyempata, ambaye huyo mchumba inasemekana ana pesa ile saana,
      In short nabaki suprise wametumia vigezo gani , hivyo vigezo vilivyomuweka mzee yusuff kuwa no. 1 !!!

    6. #25
      mama-lokatare's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 372
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Okada View Post
      Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
      I need my head examined???
      kutoa ni moyo ndg.


    7. #26
      lycan's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 112
      Rep Power : 382
      Likes Received
      11
      Likes Given
      22

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      jamani eh huyo mzee yusuf anastahili namba moja nakaa nyumbani huku ana scania kama uchafu!nyumba ndo ucseme!maduka kibao!hotel 3 star mbili!ila huwa apendi kujisifia

    8. #27
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,263
      Rep Power : 1029
      Likes Received
      409
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By mathematics View Post
      tetesi zinadai wolper sio pesa zake alizotoa, zile ni pesa za mchumba aliyempata, ambaye huyo mchumba inasemekana ana pesa ile saana,
      In short nabaki suprise wametumia vigezo gani , hivyo vigezo vilivyomuweka mzee yusuff kuwa no. 1 !!!
      Huyu jamaa hata kama ni mafanikio ya hela alitakiwa kuwa nayo maana ana vitu vingi sana vinavyohusiana na mziki, anapiga vyombo vya mziki takribani vyote, anatunga nyimbo, anaghani, anaimba na bado anamiliki bendi, kwa hiyo kama kawa wa kwanza mimi sishangai. Kwa kifupi Mzee Yusuf ni full vipaji acha awe na mafanikio.

    9. #28
      Edward Teller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Area 51
      Posts : 3,431
      Rep Power : 1124
      Likes Received
      570
      Likes Given
      612

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By Mamndenyi View Post
      Walisema amejenga nyumba kumi
      na anamiliki duka la kifahari.
      inategemea hizo nyumba zake ni za gharama ya kiasi gani-kama wangetoa na picha za mijengo yao ingekuwa jambo la maana-maana kuna nyumba na vibanda
      Mamndenyi likes this.
      “Talk slowly but think quickly”

    10. #29
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By mama-lokatare View Post
      kutoa ni moyo ndg.
      Kwa hiyo criterion ya mafanikio hapa ni nini???

    11. #30
      nover's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 378
      Likes Received
      4
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By mathematics View Post
      tetesi zinadai wolper sio pesa zake alizotoa, zile ni pesa za mchumba aliyempata, ambaye huyo mchumba inasemekana ana pesa ile saana,
      In short nabaki suprise wametumia vigezo gani , hivyo vigezo vilivyomuweka mzee yusuff kuwa no. 1 !!!
      wapo watu wanadai wolper yupo fremason

    12. #31
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 608
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Kama ni hivyo kweli, kweli Mzee Yusuph Zanzibar kaaga, hajatoroka!, eeh, si wa juzi juzi tu au?!
      Quote By Okada View Post
      Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
      I need my head examined???

    13. #32
      Mwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2010
      Location : dsm
      Posts : 374
      Rep Power : 550
      Likes Received
      76
      Likes Given
      61

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Ushauri wangu, twende tra tukaangalie nani anaongoza, otherwise tutakuwa tunazinguana tu, wengine wana za unga wengine za kuongwa wengi za kuazima!

    14. #33
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 2,003
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      482
      Likes Given
      589

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By nover View Post
      wapo watu wanadai wolper yupo fremason
      UTAJIRI WA HARAKA WATAJWA
      Kwa mujibu wa chanzo hicho, tangu Wolper amejiunga na imani hiyo inayosambaa kwa kasi nchini Tanzania amekuwa akipata mafanikio makubwa tena kwa haraka.
      “Wee kama unataka kuamini, angalia tangu mwaka huu (2012) umeanza, Wolper mambo yanamyookea tu. Awali alikuwa akiishi eneo ambalo halimfai kama staa, sasa amehamia Mbezi, tena kwenye jumba zuri sana,” alisema mtoa habari huyo.
      Aliendelea kuweka wazi kuwa, magari na miradi mingine aliyonayo si ofa kutoka kwa mchumba wake aitwaye Abdallah Mtoro ‘Dallas’ kama anavyodai mwenyewe Wolper bali ni ‘baraka’ ya Freemason.
      Akasema: “Mmekuwa mkiandika eti kanunuliwa magari na mchumba wake, nani kasema? Ile ni kama njia ya kukwepea tu, lakini ukweli ni kwamba Freemason ndiyo wanambeba kwa sasa.”
      Akaongeza: “Wazazi wa Wolper wapo katika wakati mgumu, mama yake amepata fununu za mwanaye kujiunga na Freemason na ndugu wakamweka chini kumwonya kama ni kweli ajitoe mara moja.”

      source: FREEMASON... - Global Publishers

      UHALALI WA YUPI KUWEPO TOP 10

    15. #34
      leloch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 317
      Rep Power : 458
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mathematics View Post
      Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.

      1. Mzee Yusuf
      2. Lady Jay dee
      3. Kanumba
      4. Ray
      5. Rose mhando
      6. Professa Jay
      7. AY
      8. Diamond
      9. JB
      10. Ali kiba

      Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
      Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba

      Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
      marehemu bado ana ht

    16. #35
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 380
      Rep Power : 402
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      kwa Diamond hapo nakubali,coz uyu dogo ana ingiza pesa ndefu sana kwa wiki....fikiria show yake moja haipungui mil tatu,kwa wiki anapiga show zisizopungua tatu na kila siku anapokea offer ya show.....je kwa mwezi anaingiza kiasi gani?

    17. #36
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 2,003
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      482
      Likes Given
      589

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By leloch View Post
      marehemu bado ana ht
      KANUMBA THE GREAT, huyu mimi naona Anastahili kuwepo top10 hiYO..

    18. #37
      mathematics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : MY PLACE
      Posts : 2,003
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      482
      Likes Given
      589

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Quote By Judi wa Kishua View Post
      kwa Diamond hapo nakubali,coz uyu dogo ana ingiza pesa ndefu sana kwa wiki....fikiria show yake moja haipungui mil tatu,kwa wiki anapiga show zisizopungua tatu na kila siku anapokea offer ya show.....je kwa mwezi anaingiza kiasi gani?
      Anapiga hela nyingi sana za show, but hana muda mrefu kwa game, ni miaka takribani mitatu tu toka atoke kisanii. hatuwezi jua atadumu kwa miaka mingapi kwenye peak. huyu angepewa miaka 5 labda ndio awekwe kwa list ya wasanii wenye mafanikio, kama kweli ataendelea kuwa kwenye peak ndio ingekuwa kweli anastahili.

    19. #38
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,514
      Rep Power : 35831
      Likes Received
      6910
      Likes Given
      21146

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      Inawezekana wapo wanaozijua kuna siku watatuwekea picha,
      lakini hata kama ni vibanda bado kajitahidi mkuu.

      Quote By Edward Teller View Post
      inategemea hizo nyumba zake ni za gharama ya kiasi gani-kama wangetoa na picha za mijengo yao ingekuwa jambo la maana-maana kuna nyumba na vibanda
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    20. #39
      Radhia Sweety's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      691
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By mama-lokatare View Post
      kutoa ni moyo ndg.
      Kutoa ni maini tu.

    21. #40
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,162
      Rep Power : 1270
      Likes Received
      511
      Likes Given
      373

      Default Re: Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

      mi mwenyewe nilivyoona jina lake akili yangu ilihamia kwenye nyumba ileile
      Quote By Mzinga View Post
      Hivi lile Tangazo la la uzazi wa mpango ile nyumba ndo ya mzee Yusuph kweli wasanii wa bongo wana maendeleo

      Never hate people who are jealous of you,
      Instead love them because they're the ones,
      who think you are better than them…

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...