Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 76
    1. #1
      Kalulu Metusela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 78
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      53

      Default Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Sijui kwanini wasanii wa bongo wanapenda kudanganya umri wao., hilo tumeliona kwa wasanii wachache na mmoja wapo "lulu" ambaye amefunza jamii juu ya adhari za kudanganya umri., turudi kwa faiza mtangazaji wa channel 5 kipindi cha 5 select., kama wiki mbili zilizopita tuliona exclusive session yakr ndani ya skonga ambapo alihojiwa shule anaposoma na kwa mdomo wake nakumbuka alisema ana miaka 15.. Sasa leo kaniacha kwenye butwaa kugundua na yeye ni kama wasanii wengine baada ya kuongea juu ya topic ya MV bukoba katika kipindi cha leo cha 5 select akisema anakumbuka alimpoteza bibi yake na ilibidi wasafiri na mama yake kwenda kutambua mwili wa huyo bibi yake.. MV bukoba ni miaka 16 sasa imepita, skonga kasema anamiaka 15 halafu 5 select anahadithia jinsi ajali ilivyotokea na alivyojisikia vibaya baada ya mama yake kumpa taarifa., tena ameongea hivi " i was young but i still remember everything coz nilimpenda sana bibi yangu"... Sasa nawauliza jamii, kudanganya umri kwa wasanii imekuwa fashion au...?

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 455
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Ile sura ni ya mtoto wa miaka10 + 5?

    4. #42
      Qixima mQiqa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 384
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By King Kong III
      Ebu mcheck hapo!!
      Attachment 54319
      nakata rufaa hili kwekwerekwe halina miaka 15/16. Mbona anasura ngumu kama jabali?

    5. #43
      Qixima mQiqa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 384
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Batta Hb Boy
      This is not fair guys..huyu ana miaka 15..JF ikiamua kumchafua mtu..dahh!!!
      jaribu kushirikisha ubongo wewe, hata kama akiwa na miaka 15 na ajali ya Mv.BUKOBA ni miaka 16 sasa na yeye anadai anakumbuka tukio zima na alikuwa na akili timamu, Use your Mind

    6. #44
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Huyu anapenda utoto wakati ni kakubwa.
      Kalulu Metusela likes this.

    7. #45
      salito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 971
      Rep Power : 567
      Likes Received
      215
      Likes Given
      138

      Default

      Quote By Qixima mQiqa
      nakata rufaa hili kwekwerekwe halina miaka 15/16. Mbona anasura ngumu kama jabali?
      mhhh...naunga mkono..

    8. Miaka 50

    9. #46
      Kalulu Metusela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 78
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      53

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Watu wanaongea kwa fact pera., prove me wrong kwa hizo statement zake mbili alizozizungumza mwenyewe

    10. #47
      pera's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 422
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      jamani huyu mtoto ana miaka 16 ni vyakula 2navyokula siku hizi kama kwenu wanauwezo we unafikiri chakula anachokula huyu unaweza kulinganisha na unachokula we

    11. #48
      pera's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 422
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      mi naamini ana miaka 16 coz sisi 2liobahatika kufanya biashara maeneo wanapokaa matajiri au walionaza 2nafahamu zaidi jinsi watoto wao wanavyokula

    12. #49
      pera's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 422
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      kwa mfano kuna mtoto namfahamu ana miaka 13 but ukimuona unaweza sema ana 18-20 kwahiyo mi nimemjaji kwa ninavyomfahamu

    13. #50
      MWENDAKULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2009
      Location : Partout
      Posts : 478
      Rep Power : 596
      Likes Received
      98
      Likes Given
      92

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Quote By pera
      jamani huyu mtoto ana miaka 16 ni vyakula 2navyokula siku hizi kama kwenu wanauwezo we unafikiri chakula anachokula huyu unaweza kulinganisha na unachokula we
      Quote By pera
      mi naamini ana miaka 16 coz sisi 2liobahatika kufanya biashara maeneo wanapokaa matajiri au walionaza 2nafahamu zaidi jinsi watoto wao wanavyokula
      Quote By pera
      kwa mfano kuna mtoto namfahamu ana miaka 13 but ukimuona unaweza sema ana 18-20 kwahiyo mi nimemjaji kwa ninavyomfahamu

      Mkuu,soma post ya Kalulu vizuri kaweka facts kwa nini anahisi ni uongo na hajazungumzia muonekano wake.Wewe unakwepa hoja ya msingi unadwell kwenye muonekano.BTW wewe unaweza kukumbuka mambo yaliyotekea mbele ya macho yako ukiwa chini ya mwaka mmoja? Nijuavyo unaweza kukumbuka mambo uliyoyaona ukiwa 3+ years na si chini ya hapo mkuu.Do your homework!!
      Kalulu Metusela likes this.

    14. #51
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Ndio faiza foxy nini?

    15. #52
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,230
      Rep Power : 1253
      Likes Received
      375
      Likes Given
      51

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Juventus huyu.

    16. #53
      Mjanja Wa Town's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Location : Anywhere
      Posts : 79
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Kwani kanasoma kidato cha ngapi?

    17. #54
      Jewel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2008
      Posts : 123
      Rep Power : 588
      Likes Received
      29
      Likes Given
      16

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      huyu faiza ni mnyamapori gani?

    18. #55
      nover's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Mjanja Wa Town
      Kwani kanasoma kidato cha ngapi?
      yupo kidato cha tatu mkuu

    19. #56
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Eeh, kaazi kwelikweli

    20. #57
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 1,710
      Rep Power : 710
      Likes Received
      554
      Likes Given
      265

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Wanajimix,but ipo siku ukwel utajulikana..wamulize Lulu..njia ya mwongo,fupi sana..teh mwacheni na life lake,nex'year anaturn 14! Happy coming birthday kiddo
      Kalulu Metusela likes this.

    21. #58
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 455
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By nover
      yupo kidato cha tatu mkuu
      Ndio maana kana upeo mdogo,halafa kiaina kama kana b*k*a vile!

    22. #59
      The_Emperor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 455
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Jewel
      huyu faiza ni mnyamapori gani?
      Kama wewe!

    23. #60
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,254
      Rep Power : 26193
      Likes Received
      2938
      Likes Given
      3788

      Default Re: Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

      Duh......kuna watu wanachangia kwa maneno ya dharau!!! Yaani utadhani wana malice na hako katoto!!
      Money only impress lazy girls.
      When a woman works hard, a man with money is just a bonus.


    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...