Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!



      Mwanamuziki Diamond anayevuma kwa sasa hapa nchini kifanya onyesho zito na la kukata na shoka mbele ya mashabiki wake kwenye ukumbi wa Dar Live, onyesho hilo lililofanyika jana siku ya jumapili na kuvuta hisia za mashabiki wake lukuki waliojitokeza kumshuhudia akishuka na helikopta kama ilivyokuwa imetangazwa na waandaji wa onyesho hilo.

      Mwanamuziki Diamond akijiandaa kwenda kupanda helikopta tayari kwa kuelekea katika ukumbi wa Dar Live

      Mwanamuziki Diamond akiwa kwenye helikopta tayari kuelekea Dar Live.

      Hapa akionyesha ishara ya kuwasalimia mashabiki wake kwa heshima.

      Akiuangalia umati mkubwa uliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live ili kushuhudia wakati akishuka na helikopta.

      Wacheza shoo wake wakifanya vitu vyao jukwaani.

      Wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao

      Timbulo akifanya vitu na dancers wake

      Katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,640
      Rep Power : 2010
      Likes Received
      1656
      Likes Given
      1634

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Si walisema atashuka kwa kuning'inia kwenye kamba kama comando!! kumbe ameshuka kama abiria wa kawaida tuu!!
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    4. #3
      TZ boy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 437
      Likes Received
      36
      Likes Given
      2

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Haya soon mshumaa utazima tu!

    5. #4
      Chilli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2011
      Location : Nowhere
      Posts : 1,344
      Rep Power : 7597
      Likes Received
      583
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By TZ boy
      Haya soon mshumaa utazima tu!
      Vp una wasiwasi na yeye ni kundi la kina Chande nini?

    6. #5
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Naona ameanza kuvaa makofia na magwanda kama ya kina Wako J...


    7. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4318
      Likes Given
      1306

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      sasa na huyu ni watamuita freemason

    8. #7
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,686
      Rep Power : 3352
      Likes Received
      1248
      Likes Given
      474

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      dogo nyota imewaka vibaya.

    9. #8
      Pinokyo Jujuman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 511
      Rep Power : 471
      Likes Received
      64
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Ndibalema
      Si walisema atashuka kwa kuning'inia kwenye kamba kama comando!! kumbe ameshuka kama abiria wa kawaida tuu!!
      Inasemekana ni kwasababu viwanja husika vya Dar Live vilijaa sana hivyo waliona itakua si salama kwa Diamond na wananchi(wapenzi wake) walokua hapo.

    10. #9
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,530
      Rep Power : 1799
      Likes Received
      657
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Ajipange kushuka kwa helikopta atakumbuka akichokwa!!apige mambo ya maendeleo kuwekeza kwenye mambo ya maana!!mlio karibu nae mshaurini dogo awekeze!!

    11. #10
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,770
      Rep Power : 843
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Ndibalema
      Si walisema atashuka kwa kuning'inia kwenye kamba kama comando!! kumbe ameshuka kama abiria wa kawaida tuu!!
      wapo wa kushuka kwa kuning'inia siyo huyu mrembo anaepaka wanja

    12. #11
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,770
      Rep Power : 843
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By idawa
      dogo nyota imewaka vibaya.
      ndivyo tunavyoamini ila hatujui nyuma ya pazia kinachoendelea

    13. #12
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Iking'aa hamna wa kuizuia!

    14. #13
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,935
      Rep Power : 2545
      Likes Received
      540
      Likes Given
      36

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      kuna kitu kimoja nimejifunza toka kwa watanzania wenzangu. Siku zote mtu akifanikiwa uwa watu wanakaa wakisubiri aanguke yani maombi yao na furaha yao ni pale atakapo anguka sijui nini uwa kinawauma.
      Dogo hana shobo kivile na anajituma jukwaani so mimi naona poa tu anavyo shine anawapa challenge wasanii wengine wanaopga shoo kwa kushka sehemu nyeti na kutembea tembea toka kona moja ya stage mpaka nyinge yani show ya juzi leo na mwaka jana hazitofautiani.
      I am sure ukiudhuria show ya diamond utakuwa unajiuliza leo atakuja vipi kwasababu anabadirika badirika.
      La msingi na yeye awekeze asibweteke sana maana mziki hautabiliki.
      Mtu mwingine ambaye nahisi atakuja fanya poa ni timbulo maana anaona naye kaamua kuwa na team yake ya madancer pia.
      Helicopter ilitumika kama business technic ya kujaza watu wengi maana wabongo wengi wanapenda kushangaa helicopter si waona hata wanasiasa wanatumia hiyo technic kwenye kampeni zao.

    15. #14
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      321
      Likes Given
      221

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      elmagnifico...umeongea point!!!!nakazia!simtetei diamond ila kama ni mshkaji wako au mmekutana mkakaa dakika kadhaa!huwezi ukamkandia!ana heshima,hana kuvimbia wana kama wakali wengine!mistake yake ni kuweka mahusiano yake hadharani!hapi ndo raia wanamind kwani wanaona kama hastahiki kung'oa hao madem!kiufupi raia wengi roho inawauma ila wakichukulia kama ni weakness yake kujitangazia naamini hawatochukia!platinumz kung'oa hivi vifaa kama ndoto wamwache ajivunie!wangapi wanakumbuka FNL moja diamond hajatoka fresh kimziki halafu wema sepetu yupo juu wapo kipindi kimoja?diamond kapauka mbaya hapo hata hajui kama atakuja kutoka kimziki wala kuja kumpiga ndizi wema!diamond alikuwa anarap haimbi kama siku hizi!full mapowder anatia huruma

    16. #15
      Ahmada umelewa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 366
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Naomba nikupinge hawapendi ashuke, ila wanampa tahadhari mana Wengi hushuka na wanakuwa choka mbaya.


      Quote By elmagnifico
      kuna kitu kimoja nimejifunza
      toka kwa watanzania wenzangu. Siku zote mtu akifanikiwa uwa watu wanakaa wakisubiri aanguke yani maombi yao na furaha yao ni pale atakapo anguka sijui nini uwa kinawauma.
      Dogo hana shobo kivile na anajituma jukwaani so mimi naona poa tu anavyo shine anawapa challenge wasanii wengine wanaopga shoo kwa kushka sehemu nyeti na kutembea tembea toka kona moja ya stage mpaka nyinge yani show ya juzi leo na mwaka jana hazitofautiani.
      I am sure ukiudhuria show ya diamond utakuwa unajiuliza leo atakuja vipi kwasababu anabadirika badirika.
      La msingi na yeye awekeze asibweteke sana maana mziki hautabiliki.
      Mtu mwingine ambaye nahisi atakuja fanya poa ni timbulo maana anaona naye kaamua kuwa na team yake ya madancer pia.
      Helicopter ilitumika kama business technic ya kujaza watu wengi maana wabongo wengi wanapenda kushangaa helicopter si waona hata wanasiasa wanatumia hiyo technic kwenye kampeni zao.

    17. #16
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Wapi mr nice,prof j,mnyalu,crazy gk.Ferouz.Wacha dogo atumbue siku nyota ikishuka chini mabinti aliokuwa sasa hata waona tena piga mpaka no3 sijui ni nani.

    18. #17
      andate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 641
      Likes Received
      403
      Likes Given
      2187

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      nadhani dogo ni creative. anajaribu kubuni na kufanya vitu ambavyo siku za nyuma havikuwahi kufanyika. hii ina msaidia kutangaza biashara yake vizuri hivyo ku-make money zaidi. aendelee na ubunifu atafika mbali.

    19. #18
      Goodrich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 622
      Likes Received
      217
      Likes Given
      29

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      Tukubaliane kuwa hakuna aliyewahi kupata umaarufu kama Diamond. Na pia kijana anajituma, na show zake huwa anajipanga haswa. Yaani huwa anafanya maandalizi ikiwamo mazoezi na rehearsals.
      Tunajua hao waliomtangulia walikuwa na tatizo la kuharibu kwenye live shows.
      Diamond ni mkali kwa kila nyanja na hata live shows huwa anabamba sana.
      Sidhani kama kuna msanii Tz aliyewahi kujaza watu kwa kiingilio cha 50,000TZS
      Big up Diamond !
      ... our Conflict has never been about the establishment of a Palestinian state, it's always been about the existence of the Jewish state. - Benjamin Netanyahu.

    20. #19
      mzee wa wau's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 21
      Rep Power : 442
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Diamond afunika Dar- LIVE!

      True Diamond ni moto wa kuotea mbali.
      Ushauri wa bure kwa walio karibu yake wamwambie awekeze sasa hayo mafao kwenye assets ( fixed au hata kwenye mashares).Siju kama ana meneja wa kuangalia shughuli zake,mapato yake.ni vizuri akamwajiri atamsaidia sana.

    21. #20
      kamau ngilisho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 366
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mzinga
      Wapi mr nice,prof j,mnyalu,crazy gk.Ferouz.Wacha dogo atumbue siku nyota ikishuka chini mabinti aliokuwa sasa hata waona tena piga mpaka no3 sijui ni nani.
      hahahahahaaa no3 ni Lissa Jensen yuko nae kwenye video yake ya mawazo.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...