Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 229
      Rep Power : 412
      Likes Received
      90
      Likes Given
      185

      Default Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Hao watu wamefariki, safari yao ya duniani imeisha mengine anayajua Mungu huko mbele ya safari. Lakini huku bado tuna vimbelembele mara maaskofu mara wachungaji wanaotaka kutudanganya kuwa hawa walikuwa wakristo sana, wa kuigwa! Ya kweli haya jamani au ni unafiki tu? Mtu aliyekufa katika mazingira ya ulevi na ugomvi na mtu anayedaiwa ni mpenzi (si mke) wake, ameishi ukristo gani? Au mwenye wake wawili anafuata ukristo gani? Au mtu akishakuwa maarufu ndiyo basi maaskofu wanamwona ni 'kete' ya kujipandishia chati? Tukubaliane kuwa hawa watu walikuwa maarufu na wazuri kwa vigezo vya mambo yaliyowapa umaarufu, ambayo hayawafutii mifano ya kupinga ukristo waliyoonesha. Tuwasifu kwa waliyotufurahisha nayo na si kwa kutumia ukristo maana hawakuwa mabalozi wa ukristo hawa. Nimemwona Kardinali Pengo akimsifia Sokoine kuhusu uimara na umakini wa imani ya kikristo, nikashangaa sana. Najua marehemu Sokoine alizingatia imani yake ya kimasai na hata akawa na wake wawili kwa mujibu wa mila zake, hilo ni sawa na ni sahihi sana kwa mujibu wa mila zake, lakini ni tofauti na imani ya kikristo. Tumpongeze kwa msimamo wake wa kisiasa, wa dini tuuache maana hakuifuata hivyo. La marehemu Kanumba nililiona na kulisikia siku ya ibada ya mazishi iliyoongozwa na yule askofu wa AIC. Jamani sifa za uongo hazimpeleki mtu mbinguni. Kanumba anazo sifa zake za kutosha zinazotokana na kazi zake za usanii, hizo nyingine za kumtungia baada ya kifo acheni jamani zitawapotosha wakristo wengine wanaojitahidi kufuata imani ya kikristo.
      Kiduku, Mzee, Wazo Langu and 2 others like this.


    2. #2
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,704
      Rep Power : 940
      Likes Received
      601
      Likes Given
      155

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      amini Mungu yupo na uendane na yale anayoyataka ila usiwe mshabiki wa dini. Utapotea hapa duniani na umaskini ukikuandama. Kuna wengine wamechagua moja, bora wale raha duniani na wakateseke mbinguni. Kuna wengine wamechagua mateso ya kote kote. Waliochagua raha ya mbinguni tu ni wachache sana! Ukiwa mshabiki wa dini utafuata kila mchungaji analokwambia hata kama ni kudhulumu mali za wasiojiweza.

    3. #3
      Type's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 384
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Setuba Noel View Post
      Hao watu wamefariki, safari yao ya duniani imeisha mengine anayajua Mungu huko mbele ya safari. Lakini huku bado tuna vimbelembele mara maaskofu mara wachungaji wanaotaka kutudanganya kuwa hawa walikuwa wakristo sana, wa kuigwa! Ya kweli haya jamani au ni unafiki tu? Mtu aliyekufa katika mazingira ya ulevi na ugomvi na mtu anayedaiwa ni mpenzi (si mke) wake, ameishi ukristo gani? Au mwenye wake wawili anafuata ukristo gani? Au mtu akishakuwa maarufu ndiyo basi maaskofu wanamwona ni 'kete' ya kujipandishia chati? Tukubaliane kuwa hawa watu walikuwa maarufu na wazuri kwa vigezo vya mambo yaliyowapa umaarufu, ambayo hayawafutii mifano ya kupinga ukristo waliyoonesha. Tuwasifu kwa waliyotufurahisha nayo na si kwa kutumia ukristo maana hawakuwa mabalozi wa ukristo hawa. Nimemwona Kardinali Pengo akimsifia Sokoine kuhusu uimara na umakini wa imani ya kikristo, nikashangaa sana. Najua marehemu Sokoine alizingatia imani yake ya kimasai na hata akawa na wake wawili kwa mujibu wa mila zake, hilo ni sawa na ni sahihi sana kwa mujibu wa mila zake, lakini ni tofauti na imani ya kikristo. Tumpongeze kwa msimamo wake wa kisiasa, wa dini tuuache maana hakuifuata hivyo. La marehemu Kanumba nililiona na kulisikia siku ya ibada ya mazishi iliyoongozwa na yule askofu wa AIC. Jamani sifa za uongo hazimpeleki mtu mbinguni. Kanumba anazo sifa zake za kutosha zinazotokana na kazi zake za usanii, hizo nyingine za kumtungia baada ya kifo acheni jamani zitawapotosha wakristo wengine wanaojitahidi kufuata imani ya kikristo.
      kwani mtu kuwa msafi ni kutokuwa na weke wawil? Jibu nadhan c kwel hivyo basi hakuna alie msafi kwa kjihakikishia yeye mwenyewe wewe angalia matendo yako na safari yako ya kuelekea huko

    4. #4
      kalagabaho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 384
      Rep Power : 513
      Likes Received
      32
      Likes Given
      45

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      dini yenu haiwakatazi kuzini acha kuwasakama wenzako ww!

    5. #5
      mama D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,524
      Rep Power : 743
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1326

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      ah una hasira sijui ungepewa cheo cha kuwa Mungu kama tungekua hai!


      acha kuhukumu usiyoyajua maana kama walifanya toba sekunde ya mwisho hujui
      Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI


    6. #6
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14718
      Likes Given
      22280

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Muanzisha hoja umesema ukweli. Wanaokupinga wana ugonjwa wa ukanumba. Kanumba alikuwa mzinzi kama mimi na sote hatustahili kuitwa wacha Mungu. Askofu aliyemsifia kuwa ni mcha Mungu katoka ukoo wa lusuferi. Walaaniwe wote waushabikiao uzinzi na ubakaji kama alivyofanya Kanumba.

    7. #7
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,838
      Rep Power : 1404
      Likes Received
      843
      Likes Given
      184

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      .......... nimeona !!

    8. #8
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,813
      Rep Power : 854
      Likes Received
      348
      Likes Given
      44

      Default

      Quote By Asprin View Post
      Muanzisha hoja umesema ukweli. Wanaokupinga wana ugonjwa wa ukanumba. Kanumba alikuwa mzinzi kama mimi na sote hatustahili kuitwa wacha Mungu. Askofu aliyemsifia kuwa ni mcha Mungu katoka ukoo wa lusuferi. Walaaniwe wote waushabikiao uzinzi na ubakaji kama alivyofanya Kanumba.
      Pumbavu sana! Sio lazima kuchangia.

    9. #9
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 0
      Likes Received
      193
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By nyalotsi View Post
      amini mungu yupo na uendane na yale anayoyataka ila usiwe mshabiki wa dini. Utapotea hapa duniani na umaskini ukikuandama. Kuna wengine wamechagua moja, bora wale raha duniani na wakateseke mbinguni. Kuna wengine wamechagua mateso ya kote kote. Waliochagua raha ya mbinguni tu ni wachache sana! Ukiwa mshabiki wa dini utafuata kila mchungaji analokwambia hata kama ni kudhulumu mali za wasiojiweza.
      note: Hakuna mateso mbinguni bali kuzimu au jehenam

    10. #10
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,496
      Rep Power : 35828
      Likes Received
      6895
      Likes Given
      21135

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Setuba Noel
      siku ukifiwa/ukifa haya maneno tutayasema
      kwa ajili ya ndugu/yako, je utajisikiaje.

      Waache wafu wawazike wafu wao.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    11. #11
      RICH OIL SHEIKH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Location : NEWALA/QATAR/DAR ES SALAAM
      Posts : 808
      Rep Power : 538
      Likes Received
      123
      Likes Given
      42

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Hata picha hawaoni.
      Once more into the fray
      Into the last good fight I’ll ever know
      Live or die on this day
      Live or die on this day

    12. #12
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 229
      Rep Power : 412
      Likes Received
      90
      Likes Given
      185

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Quote By Type View Post
      kwani mtu kuwa msafi ni kutokuwa na weke wawil? Jibu nadhan c kwel hivyo basi hakuna alie msafi kwa kjihakikishia yeye mwenyewe wewe angalia matendo yako na safari yako ya kuelekea huko
      Wala sijasema hivyo. Kuwa na wake wawili au hata wangapi zaidi ni sahihi kulingana na imani ya mtu anayofuata, lakini si fundisho la kikristo, kwa hiyo katika ukristo si sahihi.

    13. #13
      Setuba Noel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 229
      Rep Power : 412
      Likes Received
      90
      Likes Given
      185

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Quote By Mamndenyi View Post
      Setuba Noel
      siku ukifiwa/ukifa haya maneno tutayasema
      kwa ajili ya ndugu/yako, je utajisikiaje.

      Waache wafu wawazike wafu wao.
      Ninachosema ni kuwa askofu angefanya ibada ya mazishi aishie hapo, na siyo kuwaaminisha watu kuwa huyu alikuwa na mfano bora wa imani wakati watu wanaona tofauti. Ni kuwapotosha watu. Fanya ibada ya mazishi, mwachie Mungu hukumu yake.

    14. #14
      Hero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 378
      Rep Power : 523
      Likes Received
      17
      Likes Given
      6

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Quote By Asprin View Post
      Muanzisha hoja umesema ukweli. Wanaokupinga wana ugonjwa wa ukanumba. Kanumba alikuwa mzinzi kama mimi na sote hatustahili kuitwa wacha Mungu. Askofu aliyemsifia kuwa ni mcha Mungu katoka ukoo wa lusuferi. Walaaniwe wote waushabikiao uzinzi na ubakaji kama alivyofanya Kanumba.
      umenichekesha saaaaana!
      Eeh Mungu kama ungehesabu maovu yetu, nani angesimama!?
      Asprin likes this.
      "Kutokujibu nalo ni jibu pia" by me!

    15. #15
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      imeandikwa usihukumu kwani nawe utahukumiwa, kwa kipimo kile kile ulichopimia wenzio nawe utapimiwa hicho hicho.....

      Hakuna binadamu msafi, kikubwa ni kumuomba mungu akusamehe.....hatujui kina kanumba na sokoine wakati wa kukata roho kama waliomba msamaha au la, hatujui kama wakiongea na Mungu wao au la......

      Kikubwa ni kujitahidi kuishi kama maandiko yasemavyo ....... Kanumba na sokoine walifuata au hawakufuata maandiko...huko muachie Muumba...

    16. #16
      Lidaku's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 129
      Rep Power : 380
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Tuacheni unafiki jamani: Kanumba na Sokoine waliishi ukristo upi?

      Samahani nimechungulia hapa!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...