Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 49 of 49
    1. #1
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,902
      Rep Power : 5058
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Jana wakati ommy dimplez anapokea tunzo yake,diamond alitoa ushuhuda kwamba mungu mkubwa,yeye ndio aliyevumbua kipaji cha ommy lkn alivyoenda kwa producer kumu-introduce huyo producer(Bob Jr) aksema huyu(ommy) hawezi kabisa,sasa diamond anashangaa huyo aliyesema hawezi ajapata tunzo hata moja,labda pengine diamond analipiza dongo alilopigwa na bob jr wkt akichezesha taya na sam misago kwenye FNL(jana yake) kwamba yeye(diamond) sio rais wa wasafi.

      Nawasilisha.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Cantalisia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 4,953
      Rep Power : 3054
      Likes Received
      2630
      Likes Given
      2829

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Type
      Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.
      Pokea LIKE,
      Sio siri ROMA Mkatoloki ni kichwa na anajua cha kuandika na kuimba pia,
      Mungu na ampe maisha marefu na kumlinda na wenye roho za kwann wanaoguswa na tungo zake.
      "Be good to the people on your way up,coz you might meet them on your way down"

    4. #42
      jmnamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 388
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Ujana bado unawasumbua...

    5. #43
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Muuza Sura
      Huyu mnyama alichokifanya leaders siku ya mazishi ya kanumba ndo nilikubali zaidi na zaidi kama nyota iking'aa hamna wa kuzuia zaidi ya Mungu...
      alifanyaje huyo mnyama mkuu muuza sura?

    6. #44
      orial kinega's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 360
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      hamna ki2 hapo wote pumba tu, izi tuzo za clouds fm & THT (kil music awards) ovyo sana

    7. #45
      Brown ad's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 130
      Rep Power : 394
      Likes Received
      33
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Muuza Sura
      huyu ommy dimpoz naye inabidi ashauriwe suruali za kuvaa!!mtu ana vitako halafu anagonga skin jeans
      hemed una mambo! Eti vitako teh teh teh

    8. Miaka 50

    9. #46
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,858
      Rep Power : 8729
      Likes Received
      3150
      Likes Given
      1572

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Huyo dogo mshamba unatoka tandale unakwenda kuishi Masaki unategemea nini hapo uilmbukeni lazima uwepo wa kufa mtu
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    10. #47
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 378
      Rep Power : 397
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Muuza Sura
      Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!
      hivi PHD yuko wapi siku izi jamani?

    11. #48
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,235
      Rep Power : 642
      Likes Received
      320
      Likes Given
      221

      Default

      Quote By Judi wa Kishua
      hivi PHD yuko wapi siku izi jamani?
      B Hitz!

    12. #49
      Majala Kimolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Posts : 316
      Rep Power : 666
      Likes Received
      26
      Likes Given
      31

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Gang Chomba
      80% ya wabongo wakija juwa kuwa hizo bifu za hawa wasanii wao ni za kupanga ili waweze kuandikwa ktk magazeti ya udaku na kurushwa kila kukicha ktk redio zao zile za tende halua nadhani watakuwa wamepiga hatua kuubwa mno za kuelekea ktk mabadiliko ya kweli.

      Huyo bob Junior ni Gagulo na huyo Diamond ni Sidiria.
      Hawana bifu wala nini ila kinachofanyika hapo ni kujaribu kuwateka wabongo wawe wanafuatilia hizo porojo zao.

      Kwa mfano ile bifu ya WEMA na Diamond.
      kwa mwelewa atagundua kuwa hapakuwa na lolote wala chochote, Wema na Diamond ni marafiki wa kawaida tu na hapakuwa na uchumba wala ushuzi.
      Kufanya vile kumepellekea Diamond awe juu kwa kipindi choote tangu kuanza kwa vurumai zao.
      Tumeshuhudia pia akitoa nyimbo zinazomuelezea yule mpuuzi mwenzie, so hii inawateka wakurupukaji na kisha wanachukulia ujinga ule ni kweli.

      Hii ni hatari sana kwa mustakabali wa Diamond, kwani siku mandondocha yatakapoamka na kugundua kuwa yalikuwa yamelala huku udenda unachuruzika basi hakutakuwa tena na tuzo au nyimbo inayobamba.

      nawashauri tu wafuate nyayo za Ally KIBAKA kwani yeye amekuwa ni msanii anayetamba kila siku pasipokuwa na skendo au controvesy yoyote ile.

      Heshima kwako Ally Kiba...

      Huu usakala pia waliwahi kuufanya Kanumba na Ray, then baada ya kuona kuwa jamii husika imeshobokea habari zao ndipo wakatoka na igizo lao lililoitwa Offside.

      Ni upumbavu uliomithirika kwa wasanii wa siku hizi.

      Manca del testo.
      hapo hakuna mwenye akili kama hiyo, labda uwape wewe. Elimu yao na mambo yao ni kama bazoka au maharage ya Mbeya

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...