Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 49
    1. #1
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,365
      Rep Power : 5155
      Likes Received
      3334
      Likes Given
      2738

      Default Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Jana wakati ommy dimplez anapokea tunzo yake,diamond alitoa ushuhuda kwamba mungu mkubwa,yeye ndio aliyevumbua kipaji cha ommy lkn alivyoenda kwa producer kumu-introduce huyo producer(Bob Jr) aksema huyu(ommy) hawezi kabisa,sasa diamond anashangaa huyo aliyesema hawezi ajapata tunzo hata moja,labda pengine diamond analipiza dongo alilopigwa na bob jr wkt akichezesha taya na sam misago kwenye FNL(jana yake) kwamba yeye(diamond) sio rais wa wasafi.

      Nawasilisha.


    2. #21
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Gang Chomba View Post
      80% ya wabongo wakija juwa kuwa hizo bifu za hawa wasanii wao ni za kupanga ili waweze kuandikwa ktk magazeti ya udaku na kurushwa kila kukicha ktk redio zao zile za tende halua nadhani watakuwa wamepiga hatua kuubwa mno za kuelekea ktk mabadiliko ya kweli.

      Huyo bob Junior ni Gagulo na huyo Diamond ni Sidiria.
      Hawana bifu wala nini ila kinachofanyika hapo ni kujaribu kuwateka wabongo wawe wanafuatilia hizo porojo zao.

      Kwa mfano ile bifu ya WEMA na Diamond.
      kwa mwelewa atagundua kuwa hapakuwa na lolote wala chochote, Wema na Diamond ni marafiki wa kawaida tu na hapakuwa na uchumba wala ushuzi.
      Kufanya vile kumepellekea Diamond awe juu kwa kipindi choote tangu kuanza kwa vurumai zao.
      Tumeshuhudia pia akitoa nyimbo zinazomuelezea yule mpuuzi mwenzie, so hii inawateka wakurupukaji na kisha wanachukulia ujinga ule ni kweli.

      Hii ni hatari sana kwa mustakabali wa Diamond, kwani siku mandondocha yatakapoamka na kugundua kuwa yalikuwa yamelala huku udenda unachuruzika basi hakutakuwa tena na tuzo au nyimbo inayobamba.

      nawashauri tu wafuate nyayo za Ally KIBAKA kwani yeye amekuwa ni msanii anayetamba kila siku pasipokuwa na skendo au controvesy yoyote ile.

      Heshima kwako Ally Kiba...

      Huu usakala pia waliwahi kuufanya Kanumba na Ray, then baada ya kuona kuwa jamii husika imeshobokea habari zao ndipo wakatoka na igizo lao lililoitwa Offside.

      Ni upumbavu uliomithirika kwa wasanii wa siku hizi.

      Manca del testo.
      umenifurahisha hapo kwa Ali k.kiukweli ALIKIBA ni kati ya wasaníi wachache walioweza kuhit mda mrefu pasipo kutegemea bifu/skendo.respect kwake..

    3. #22
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      kama Diamond ndo aligundua kipaji cha Omy dimpoz mbona hakumtoa yeye hadi kaja kutolewa na Ali k?

    4. #23
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 978
      Rep Power : 5304
      Likes Received
      369
      Likes Given
      712

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA.

      Quote By Asprin View Post
      Hapa wanazungumziwa wanakwaya wa kanisa gami?
      hehehe babu wanazungumziwa marais ,i mean marais wa wasafi.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    5. #24
      Type's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 108
      Rep Power : 384
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.
      Cantalisia likes this.

    6. #25
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,250
      Rep Power : 649
      Likes Received
      328
      Likes Given
      222

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Mkare_wenu View Post
      kama Diamond ndo aligundua kipaji cha Omy dimpoz mbona hakumtoa yeye hadi kaja kutolewa na Ali k?
      huyu ommy dimpoz naye inabidi ashauriwe suruali za kuvaa!!mtu ana vitako halafu anagonga skin jeans
      a.k.a mnyama!!!!


    7. #26
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,046
      Rep Power : 3721
      Likes Received
      3618
      Likes Given
      5870

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Mkare_wenu View Post
      kama Diamond ndo aligundua kipaji cha Omy dimpoz mbona hakumtoa yeye hadi kaja kutolewa na Ali k?

      Diamond naye anajishaua tu..
      wafanye kazi majungu ya nn?
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    8. #27
      Safina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2009
      Posts : 488
      Rep Power : 606
      Likes Received
      55
      Likes Given
      184

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Muuza Sura View Post
      Platinumz wamuache kwa sasa!next level huyu mnyama....sharo short chasis asilete za kumvimbia huyu mnyama diamond!hawako ligi moja!
      Muuza sura naona unamuoshea diamond.

    9. #28
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Safina View Post
      Muuza sura naona unamuoshea diamond.
      anamtukuza kweli

    10. #29
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,250
      Rep Power : 649
      Likes Received
      328
      Likes Given
      222

      Default

      Quote By Mkare_wenu View Post
      anamtukuza kweli
      Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!

    11. #30
      Muuza Sura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : kinondoni manyanya
      Posts : 1,250
      Rep Power : 649
      Likes Received
      328
      Likes Given
      222

      Default

      Quote By Safina View Post
      Muuza sura naona unamuoshea diamond.
      Huyu mnyama alichokifanya leaders siku ya mazishi ya kanumba ndo nilikubali zaidi na zaidi kama nyota iking'aa hamna wa kuzuia zaidi ya Mungu...

    12. #31
      elmagnifico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th July 2011
      Location : Brussels
      Posts : 1,966
      Rep Power : 2554
      Likes Received
      561
      Likes Given
      45

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      kweli nimeamin habari za tajiri muulize masikini atakwambia kila kitu mpaka bei ya kiatu alichovaa.

    13. #32
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,187
      Rep Power : 12766
      Likes Received
      6431
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By Muuza Sura View Post
      Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!
      Bibi cheka balaa...

    14. #33
      Mrembo by Nature's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Location : Ullentoppen
      Posts : 2,595
      Rep Power : 8953
      Likes Received
      1381
      Likes Given
      1433

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA


    15. #34
      Justin Dimee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 229
      Rep Power : 407
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mkare_wenu View Post
      umenifurahisha hapo kwa Ali k.kiukweli ALIKIBA ni kati ya wasaníi wachache walioweza kuhit mda mrefu pasipo kutegemea bifu/skendo.respect kwake..
      dah Aliy K YUPO JUU XANA HANA MAMBO YA ajabu ajabu big up k 4 real.

    16. #35
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,857
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5653
      Likes Given
      3875

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Muuza Sura View Post
      Platinumz wamuache kwa sasa!next level huyu mnyama....sharo short chasis asilete za kumvimbia huyu mnyama diamond!hawako ligi moja!
      Nimejitahidi kurudia rudia post hii lakini nimeshindwa kuelewa mnyama gani anayeongelewa hapa, na hata hiyo short chasis sijajuwa bado ni gari gani?......ni heri nirudi kwenye jukwaa langu muhafaka huku nimepotea njia.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    17. #36
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 695
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default

      Quote By Muuza Sura View Post
      Platinumz wamuache kwa sasa!next level huyu mnyama....sharo short chasis asilete za kumvimbia huyu mnyama diamond!hawako ligi moja!
      next level kwako wewe!!

    18. #37
      Deejay nasmile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 1,075
      Rep Power : 695
      Likes Received
      172
      Likes Given
      142

      Default

      Quote By Type View Post
      Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.
      deejay nasmile LIKE your comment

    19. #38
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,274
      Rep Power : 1015
      Likes Received
      559
      Likes Given
      174

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Watoto wa kiume wanavaa suruali za kubana sijui ni hips au ni makalio kama huyo ommy d ana hips halafu anavaa vinguo vya kubana,sijui naye na huyo diamond ni wanauza mapaja au hips au ngongingo.upuuzi mtupu.
      Cantalisia likes this.

    20. #39
      Ina Hu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 363
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Mi ninajua "nai nai" Kama pinyin ya characters za kichina "奶奶" zikiwa na maana ya bibi mzaa baba kama nitakuwa sijakosea

    21. #40
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,959
      Rep Power : 1528
      Likes Received
      1425
      Likes Given
      1830

      Default Re: Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

      Quote By Muuza Sura View Post
      huyu ommy dimpoz naye inabidi ashauriwe suruali za kuvaa!!mtu ana vitako halafu anagonga skin jeans
      mie najua kuna vitako vya aina mbili kwa wanaume
      vya kuvalia suruali na vya kufanana na dada zako kama warangi na wasomali,sasa cha dimpoz ni kipi hapo?

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...