Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)
Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini hakutufuza maadili mema.
Alikuwa mfano mbaya kwa vijana kwani alifanya ngono na wasichana warembo kwa kuwahonga kuonekana kwenye runinga wakati wa kuigiza.
Alikuwa mkoloni kwa akina dada hawa.kuna msemo wa kifalsafa:WHAT COMES AROUND GOES AROUND.Kanumba amekufa kutokana na mazingira ya matendo yake yasiyofaa katika jamii. TAKE CARE!
Mama yake amesema mwanae ana miaka 17, tena ametimiza juzi juzi tu, nyie mnasema ana miaka 18, nani tumuamini??
Hata katika mahojiano kalikuwa kanamuuliza Salama na wapambe wake kuna ambaye amewahi kukiona cheti chake cha kuzaliwa? Kalikuwa kanajiongezea umri ili kapate fursa ya kuingia viwanja vya WAKUBWA wenzie akina Kanumba...
Yaani mtu ukishakuwa maarufu na tajiri basi we ni Freemason? Basi wote tuwe maskini ili tusionekane kuwa Freemason (whatever whata that mean).
Anyway, Kanumba mafanikio yake yalikuwa kwenye kujituma na kucheza na akili za watu. Alicheza na akili za wabongo akajua wanapenda maigizo ya ukatuni -- mapenzi feki, maisha ya anasa na utajiri wa ndoto -- na watu wakanunua movie zake akawa na pesa ya kula. Sasa ufreemason unatoka wapi hapa?
huyu mtoto muongo,hata ukiangalia kipindi cha mikasi,maelezo yake ya ki uongo uongo.alivyotimiza 18,alitangazia mpaka face book.inaonyesha kuna watu wanamwambia aseme hivyo.ila anaweza kujiponza mwenyewe.
Ki ukweli kanapikiwa maelezo ili Kanumba aonekana alikuwa anakabaka, ila kama ni kupigwa kameanza na miaka 6 so ni kazoefu kwa kwenda mbele, ila kwa kesi hii marehemu hana haki uwezekano wa kushinda kwa kigezo cha umri na kutokuwa/kukosa ushahidi wa kumsukuma inaweza ikamtoa.
hapo kwenye red fafanua kidogo una maana klianza kupigwa viboko au P..bu!!!
EMT, if there is any help that she needs, its a good lawyer. Not because she has a very bad case, but bongo systems she might stay in prison for 5 years to be told she doesn't have a case to answer. By that time tutakuwa tushamsahau. Isn't she schooling?
Kwenye interview yake na Mkasi alibabwa kama anasoma akasema kwa sasa hasomi lakini anataka kuanza kusoma tena.
“Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.
Mmmh nina shaka tunataka kuhukumu bila kuwa na ushahidi... tusubiri tuone mwenendo wa kesi si vizuri kuhukumu kwa hisia. Ni muhimu kujizuia hisia zenu kwani kesi haiamuliwi kwa hisia. Hebu na tutunze hazi ya jamii forum na si vizuri kuleta habari za kimtaa humu ndani.
mbona ghafla tu watetezi wa lulu wamekua wengi?? JF sio mahakama so far hizi sio hukumu bali ni maoni ya watu binafsi jamani.
Mbona mshaanza kumuhukumu kama amefikishwa mahakamani tusubirie je kama kanumba alianguka mwenyewe mtamsingizia lulu leo hii kama ndo lulu alianguka akaaga maisha mngesema kitu gani na yy ni binadamu sio kuanza kumrushia maneno. Nani asiyedanganya hata ww kazini umri mwingine , kama unapasport umri mwingine na kwa mpenzi wako umri mwingie. Angalieni upande wa pili wa shilingi
ENDAPO itathibitika kuwa, ni kweli msanii wa Bongo Flava, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ anavunja amri ya sita na nyota mdogo anayetamba katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, basi mwanamuziki huyo anaweza kuingia matatani ikiwemo kwenda jela maisha au kifungo cha miaka 30, Risasi Jumamosi limenyetishiwa.
Hilo linathibitishwa na baadhi ya Wanasheria wa Tanzania ambao waliongea na gazeti hili Alhamisi (juzi) na kutoa baadhi ya vifungu vya sheria ambavyo vinaweza kumweka pabaya Ali kiba a.k.a Kiba endapo tu itathibitika anacheza mchezo wa ‘baba na mama’ na kinda huyo mwenye umri chini ya miaka 18.
Kufuatia kuwepo kwa hali hiyo huku Lulu akiwa hajafikisha umri wa kuamua kuwa na mpenzi, Risasi Jumamosi liliongea na Wanasheria, Dk. Ngali Maita, Sylvester Shayo na Issa Maige, ambao waliweka bayana kuwa, kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 18 ni ubakaji hata kama msichana atakuwa ameridhia.
Mawakili hao waliweka bayana kuwa, kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura ya 16 (The penal code, caption 16) pamoja na sheria ya kujamiiana ya mwaka 1998 (Sexual Offences Special Provission Act of 1998 (SOSPA) adhabu yake ni kifungo cha maisha (life sentence imprisonment).
Kuwepo kwa adhabu hiyo kunasisitizwa na Wakili Issa John Maige wa MJ Diamond Advocates ambaye aliweka kweupe kwamba, kwa mujibu wa sheria mpya ya ubakaji, mwanaume au mwanamke anayefanya mapenzi na mtu wa chini ya miaka 18 anahesabiwa kubaka hata kama wawili hao watakuwa katika ridhaa.
Alisema kuwa, kinachotakiwa kuwepo na mtu atakeyelalamika ili sheria ichukue mkondo wake ambapo ni pamoja na vyombo vya Dola kumtia nguvuni mhusika.
Katika mahojiano na Kituo cha Televisheni cha Clouds hivi karibuni, Lulu alikaririwa akisema kuwa, mwananume anayeamini atamuoa ni Ali Kiba hivyo kuifanya jamii kuamini minong’ono ya mara kwa mara kuwa, wawili hao wanatoka kimapenzi.
Hata hivyo, kwa upande wake, Ali Kiba alipopewa fursa ya kulielezea hilo, alisema Lulu alikuwa anajifurahisha tu lakini yeye hana uhusiano na ‘sidanganyiki’ huyo licha ya kukiri kwamba, wanafahamiana na wana ukaribu.
Sintofahamu kwa usiri wa wawili hao unazidi kujikunja na kisha kukunjuka kufuatia miezi ya karibuni, Lulu kufikishana Polisi Magomeni na mrembo aliyewahi kushiriki Miss Dar City Centre wakidaiana kuibiana simu lakini mlimbwende huyo alikwenda mbele zaidi pale alipoweka wazi kuwa, Lulu amekuwa akimwonea wivu akiamini yeye (mrembo) ana uhusiano wa kimapenzi na Kiba.
A compliment is something like a kiss through a veil
wamemshitaki kwa makosa yapi? na ni nani watakuwa mashahidi wa mshitaka???? I hope lulu atashinda kesi kwa sababu hakutakuwa na ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.
Follow Us Here