Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Report Post
    Page 60 of 120 FirstFirst ... 50585960616270 ... LastLast
    Results 1,181 to 1,200 of 2382
    1. #1
      Maseto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 180
      Rep Power : 606
      Likes Received
      90
      Likes Given
      3

      Default Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

      Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini hakutufuza maadili mema.

      Alikuwa mfano mbaya kwa vijana kwani alifanya ngono na wasichana warembo kwa kuwahonga kuonekana kwenye runinga wakati wa kuigiza.

      Alikuwa mkoloni kwa akina dada hawa.kuna msemo wa kifalsafa:WHAT COMES AROUND GOES AROUND.Kanumba amekufa kutokana na mazingira ya matendo yake yasiyofaa katika jamii. TAKE CARE!

    2. FemaTV & Radio

    3. #1181
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 1950
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Kongosho
      Duh, kwani ndugu wa marhemu wanataka afungwe?
      ndugu wa marehemu hawahisiki hapa.
      hii ni Republic Vs Lulu
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    4. #1182
      Jimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Location : ILALA
      Posts : 738
      Rep Power : 592
      Likes Received
      131
      Likes Given
      547

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      mwe mwe mwe, hakuna hata ka picha wandugu
      Daudi Mchambuzi likes this.
      KIKUPACHO UTAMU.... NA UCHUNGU KITAKUPA!!

    5. #1183
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,588
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Mama yake amesema mwanae ana miaka 17, tena ametimiza juzi juzi tu, nyie mnasema ana miaka 18, nani tumuamini??

      Hata katika mahojiano kalikuwa kanamuuliza Salama na wapambe wake kuna ambaye amewahi kukiona cheti chake cha kuzaliwa? Kalikuwa kanajiongezea umri ili kapate fursa ya kuingia viwanja vya WAKUBWA wenzie akina Kanumba...

    6. #1184
      zimmerman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 334
      Rep Power : 484
      Likes Received
      258
      Likes Given
      66

      Default Re: Chanzo na Siri ya Kifo cha Kanumba The Great

      Yaani mtu ukishakuwa maarufu na tajiri basi we ni Freemason? Basi wote tuwe maskini ili tusionekane kuwa Freemason (whatever whata that mean).

      Anyway, Kanumba mafanikio yake yalikuwa kwenye kujituma na kucheza na akili za watu. Alicheza na akili za wabongo akajua wanapenda maigizo ya ukatuni -- mapenzi feki, maisha ya anasa na utajiri wa ndoto -- na watu wakanunua movie zake akawa na pesa ya kula. Sasa ufreemason unatoka wapi hapa?

    7. #1185
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,583
      Rep Power : 3875
      Likes Received
      1385
      Likes Given
      647

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      huyu mtoto muongo,hata ukiangalia kipindi cha mikasi,maelezo yake ya ki uongo uongo.alivyotimiza 18,alitangazia mpaka face book.inaonyesha kuna watu wanamwambia aseme hivyo.ila anaweza kujiponza mwenyewe.
      Daudi Mchambuzi likes this.

    8. Miaka 50

    9. #1186
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Kongosho
      Duh, kwani ndugu wa marhemu wanataka afungwe?
      kwani anashitakiwa na ndugu wa marehemu au na jamhuri ya muungano wa Tanzania(wazinzi)?
      Daudi Mchambuzi likes this.

    10. #1187
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,786
      Rep Power : 22905
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2576

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Kibunango
      Ana miaka 17... Ile kujitanua kuwa ana miaka 18 ilikuwa ni mbwebwe za kimaisha!
      sasa arifu...hizi mbwembwe ndio zinamgarimu....

      hiiv benki zinaruhusu minor kufungua account yeye kama yeye?
      Kibunango, SMU, Papizo and 1 others like this.
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    11. #1188
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Jimbi
      mwe mwe mwe, hakuna hata ka picha wandugu

      Hapa akila bata kiwanja cha kati enzi hizo
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    12. BPM
      #1189
      BPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : shamba
      Posts : 2,023
      Rep Power : 880
      Likes Received
      387
      Likes Given
      144

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      mashtaka yake yakoje???
      Daudi Mchambuzi likes this.

    13. #1190
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,478
      Rep Power : 19784
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1247

      Default Re: Lulu’s side of the story of Kanumba's death

      their trying to comfuse us,why every day they come with new report! i don think if we should trust police!
      EMT likes this.

    14. #1191
      samirnasri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 675
      Likes Received
      169
      Likes Given
      50

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Zemu
      Ki ukweli kanapikiwa maelezo ili Kanumba aonekana alikuwa anakabaka, ila kama ni kupigwa kameanza na miaka 6 so ni kazoefu kwa kwenda mbele, ila kwa kesi hii marehemu hana haki uwezekano wa kushinda kwa kigezo cha umri na kutokuwa/kukosa ushahidi wa kumsukuma inaweza ikamtoa.

      hapo kwenye red fafanua kidogo una maana klianza kupigwa viboko au P..bu!!!

    15. #1192
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Yo Yo
      sasa arifu...hizi mbwembwe ndio zinamgarimu....

      hiiv benki zinaruhusu minor kufungua account yeye kama yeye?

      Yo Yo hujui kuna account za watoto?
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    16. EMT
      #1193
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,896
      Rep Power : 61726
      Likes Received
      7174
      Likes Given
      6434

      Default Re: Lulu’s side of the story of Kanumba's death

      Quote By King'asti
      EMT, if there is any help that she needs, its a good lawyer. Not because she has a very bad case, but bongo systems she might stay in prison for 5 years to be told she doesn't have a case to answer. By that time tutakuwa tushamsahau. Isn't she schooling?
      Kwenye interview yake na Mkasi alibabwa kama anasoma akasema kwa sasa hasomi lakini anataka kuanza kusoma tena.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    17. #1194
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Wakuletwa
      Mmmh nina shaka tunataka kuhukumu bila kuwa na ushahidi... tusubiri tuone mwenendo wa kesi si vizuri kuhukumu kwa hisia. Ni muhimu kujizuia hisia zenu kwani kesi haiamuliwi kwa hisia. Hebu na tutunze hazi ya jamii forum na si vizuri kuleta habari za kimtaa humu ndani.
      mbona ghafla tu watetezi wa lulu wamekua wengi?? JF sio mahakama so far hizi sio hukumu bali ni maoni ya watu binafsi jamani.

    18. #1195
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By samirnasri
      hapo kwenye red fafanua kidogo una maana klianza kupigwa viboko au P..bu!!!
      Walianza na kichwa tu mkuu baada ile kitu haina mabega
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    19. #1196
      amiride's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 187
      Rep Power : 428
      Likes Received
      31
      Likes Given
      4

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Mbona mshaanza kumuhukumu kama amefikishwa mahakamani tusubirie je kama kanumba alianguka mwenyewe mtamsingizia lulu leo hii kama ndo lulu alianguka akaaga maisha mngesema kitu gani na yy ni binadamu sio kuanza kumrushia maneno. Nani asiyedanganya hata ww kazini umri mwingine , kama unapasport umri mwingine na kwa mpenzi wako umri mwingie. Angalieni upande wa pili wa shilingi

    20. #1197
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      AliKiba kufia jela

      a

      ENDAPO itathibitika kuwa, ni kweli msanii wa Bongo Flava, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ anavunja amri ya sita na nyota mdogo anayetamba katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, basi mwanamuziki huyo anaweza kuingia matatani ikiwemo kwenda jela maisha au kifungo cha miaka 30, Risasi Jumamosi limenyetishiwa.



      Hilo linathibitishwa na baadhi ya Wanasheria wa Tanzania ambao waliongea na gazeti hili Alhamisi (juzi) na kutoa baadhi ya vifungu vya sheria ambavyo vinaweza kumweka pabaya Ali kiba a.k.a Kiba endapo tu itathibitika anacheza mchezo wa ‘baba na mama’ na kinda huyo mwenye umri chini ya miaka 18.


      Kufuatia kuwepo kwa hali hiyo huku Lulu akiwa hajafikisha umri wa kuamua kuwa na mpenzi, Risasi Jumamosi liliongea na Wanasheria, Dk. Ngali Maita, Sylvester Shayo na Issa Maige, ambao waliweka bayana kuwa, kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 18 ni ubakaji hata kama msichana atakuwa ameridhia.


      Mawakili hao waliweka bayana kuwa, kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura ya 16 (The penal code, caption 16) pamoja na sheria ya kujamiiana ya mwaka 1998 (Sexual Offences Special Provission Act of 1998 (SOSPA) adhabu yake ni kifungo cha maisha (life sentence imprisonment).


      Kuwepo kwa adhabu hiyo kunasisitizwa na Wakili Issa John Maige wa MJ Diamond Advocates ambaye aliweka kweupe kwamba, kwa mujibu wa sheria mpya ya ubakaji, mwanaume au mwanamke anayefanya mapenzi na mtu wa chini ya miaka 18 anahesabiwa kubaka hata kama wawili hao watakuwa katika ridhaa.


      Alisema kuwa, kinachotakiwa kuwepo na mtu atakeyelalamika ili sheria ichukue mkondo wake ambapo ni pamoja na vyombo vya Dola kumtia nguvuni mhusika.


      Katika mahojiano na Kituo cha Televisheni cha Clouds hivi karibuni, Lulu alikaririwa akisema kuwa, mwananume anayeamini atamuoa ni Ali Kiba hivyo kuifanya jamii kuamini minong’ono ya mara kwa mara kuwa, wawili hao wanatoka kimapenzi.


      Hata hivyo, kwa upande wake, Ali Kiba alipopewa fursa ya kulielezea hilo, alisema Lulu alikuwa anajifurahisha tu lakini yeye hana uhusiano na ‘sidanganyiki’ huyo licha ya kukiri kwamba, wanafahamiana na wana ukaribu.


      Sintofahamu kwa usiri wa wawili hao unazidi kujikunja na kisha kukunjuka kufuatia miezi ya karibuni, Lulu kufikishana Polisi Magomeni na mrembo aliyewahi kushiriki Miss Dar City Centre wakidaiana kuibiana simu lakini mlimbwende huyo alikwenda mbele zaidi pale alipoweka wazi kuwa, Lulu amekuwa akimwonea wivu akiamini yeye (mrembo) ana uhusiano wa kimapenzi na Kiba.
      A compliment is something like a kiss through a veil




    21. #1198
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo



      Marehemu Kanumba alikuwa anafaidi jamani uongo mbaya mtoto amejaliwa mashallah
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    22. #1199
      samirnasri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 675
      Likes Received
      169
      Likes Given
      50

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      wamemshitaki kwa makosa yapi? na ni nani watakuwa mashahidi wa mshitaka???? I hope lulu atashinda kesi kwa sababu hakutakuwa na ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.

    23. #1200
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: BREAKIN NEWS: Lulu afikishwa mahakamani leo

      Quote By Mende0

      Hapa akila bata kiwanja cha kati enzi hizo
      hapo alikua ana miaka 18+ ila mahakamani hana miaka 18-, hii ndio Tanzania bwana, no critical thinking, ni hisia kwenda mbele.

    Page 60 of 120 FirstFirst ... 50585960616270 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...