Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Report Post
    Page 116 of 120 FirstFirst ... 16106114115116117118 ... LastLast
    Results 2,301 to 2,320 of 2382
    1. #1
      Maseto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 182
      Rep Power : 610
      Likes Received
      92
      Likes Given
      3

      Default Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

      Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini hakutufuza maadili mema.

      Alikuwa mfano mbaya kwa vijana kwani alifanya ngono na wasichana warembo kwa kuwahonga kuonekana kwenye runinga wakati wa kuigiza.

      Alikuwa mkoloni kwa akina dada hawa.kuna msemo wa kifalsafa:WHAT COMES AROUND GOES AROUND.Kanumba amekufa kutokana na mazingira ya matendo yake yasiyofaa katika jamii. TAKE CARE!


    2. #2301
      barumoja's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 373
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Eti....Ramsey Nouah "NIGERIAN ACTOR" kachangia haya kwa Kanumba+ Lulu+ Kajala!

      sawa tumesha kusoma na wewe upo japokuwa unatupatia pumba!

    3. #2302
      Chaaakoon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 366
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By RRONDO View Post
      Ur 100% right, she is underage,Kanumba alikuwa anatembea na minor hivyo alikuwa MBAKAJI,najua nawaudhi wengi lkn huo ndio ukweli ambao wengi wanaukwepa kwenye tuhuma hizi
      acheni kupayuka jana, juzi na siku za nyuma mlikua mnawataja hao mapedee wenye uzto kuliko kanumba na aliesababisha hayo yote ni lulu kwa ukahaba wake. Waligombana kwa ajili ya cm je alikua anaongea na baba yake akitaka kujua kama bdo yuko tution? Msilete za mkutwa na ngozi ndo mwizi. Ni wangap Tz wanafanya ivo. Huyu kindegaten hakua na shida ya hela bali ni pepo la uzinzi.
      Lakucha mbe...

    4. #2303
      Chaaakoon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 366
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By i pad3 View Post
      mdogo mmemzaa nyie?
      yap apooo sasa wajib... wao mbona wanawakimbiza wa lasaba na form njuka huko mitaani kwao au kwasabab inakuwa ni gizan uchochoroni. Nyani haoni ...dule.

    5. #2304
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default Re: Eti....Ramsey Nouah "NIGERIAN ACTOR" kachangia haya kwa Kanumba+ Lulu+ Kajala!

      Pumba tupu ....

    6. #2305
      Biznocrats's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 276
      Rep Power : 0
      Likes Received
      26
      Likes Given
      29

      Default Re: Binti anywa sumu kisa kifo cha Kanumba

      Inawezekana kwenye banda la kuangalia filamu la makuti alimokuwa anaingia kideo pekee kilikuwa picha za Steven.


    7. #2306
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 2,032
      Rep Power : 4634
      Likes Received
      671
      Likes Given
      532

      Default

      To be serious, I don't see msanii yeyote wa kibongo kuwa kioo cha jamii. They are fake na wanalazimisha their celebratory status, very lame indeed! Mfano angalia mademu waliozimia ile siku, utakuta yote yale ni maigizo ili waandikwe magazetini to boost up their status.

    8. #2307
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 925
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE - YouTube

      Ukiangalia hivyo video, kwa wale ambao wametoka Tz muda mrefu unalia. Kumbe runinga zetu siku hizi ni garbage bins! Where are human beings who know why they were created. Tunaambudia upuuzi na kuchukia hekima. Lord help this lost nation. Tazama huyo anayejichanganya kwenye mahakama.
      Mr GM likes this.

    9. #2308
      Mnyama Hatari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 335
      Rep Power : 430
      Likes Received
      80
      Likes Given
      16

      Default Re: Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      Sijakuelewa unachoongelea!!
      Kwa usalama wako kaa mbali na Mnyama Hatari

    10. #2309
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 580
      Rep Power : 488
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default

      Huwezi elewa maana hujaangalia hiyo video utaelewaje sasa? Ndio shida hiyo sasa!

      Quote By Mnyama Hatari View Post
      Sijakuelewa unachoongelea!!

    11. #2310
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Babake Kanumba atoa siri nzito Dar

      Hii habari kaandika wassira au lusinde?? Pumbafu sana yaani hapo siri nzito iko api

    12. #2311
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,491
      Rep Power : 5057
      Likes Received
      805
      Likes Given
      1896

      Default Re: Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      Mtoto keshasherehekea miaka 18, saizi anadai ni chini ya miaka 17. Ndiyo bongo!! Sijui kama anakumbuka au ndiyo chetu kinasema hivi na hiyo ilikuwa interview.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    13. #2312
      Mnyama Hatari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 335
      Rep Power : 430
      Likes Received
      80
      Likes Given
      16

      Default Re: Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      Quote By WA-UKENYENGE View Post
      Mtoto keshasherehekea miaka 18, saizi anadai ni chini ya miaka 17. Ndiyo bongo!! Sijui kama anakumbuka au ndiyo chetu kinasema hivi na hiyo ilikuwa interview.
      Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
      Kwa usalama wako kaa mbali na Mnyama Hatari

    14. #2313
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,776
      Rep Power : 5975
      Likes Received
      1506
      Likes Given
      283

      Default

      Quote By WA-UKENYENGE View Post
      Mtoto keshasherehekea miaka 18, saizi anadai ni chini ya miaka 17. Ndiyo bongo!! Sijui kama anakumbuka au ndiyo chetu kinasema hivi na hiyo ilikuwa interview.
      Jamani tusiwe wagumu kuelewa, cheti kinaonesha anatimiza miaka 17 jumanne ijayo. Hayo mahojiano yalikuwa motivated na mpango wake wa kutaka kuruhusiwa kuingia disco na kuuziwa pombe. Mbona akidanganya hana boyfriend wala hamuhoji?

    15. #2314
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      1519
      Likes Given
      2835

      Default Re: Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      Quote By Mnyama Hatari View Post
      Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
      kweli kabisa lakini historia yake ya kudanganya inaashiria kuwa haaminiki tena kwa lolote atakalosema kuhusu marehemu, upo?
      Ambitious likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    16. #2315
      RRONDO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2010
      Posts : 2,055
      Rep Power : 892
      Likes Received
      19
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Mnyama Hatari View Post
      Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
      Hivi watu wangapi mmekutana nao wakiulizwa umri wanadanganya?hasa watoto(teens)...ndio maana wenzetu kununua sigara,kuingia club etc unaonyesha id,kitakachothibitisha umri wake ni cheti chake cha kuzaliwa siyo maelezo aliyotoa kwenye tv au movie

    17. #2316
      SURUMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,582
      Rep Power : 734
      Likes Received
      383
      Likes Given
      490

      Default

      Quote By Mnyama Hatari View Post
      Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
      Bahati mbaya kwamba kwa uozo wa mifumo ya nchi yetu; nyaraka HALALI zinatengenezeka unavyotaka zisomeke as long as wawajua wahusika au MADALALI WAO na una hela wanayohitaji...

    18. #2317
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By shosti View Post
      wameyakalisha mtoto akauze mbunye awalishe...hawana hata haya kujitokeza hadharani ptyuuuuuu!
      binadamu kwa kuhukumu, hata kama wanachokiongea hawana ushahidi nacho......................

    19. #2318
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Video hii ya Lulu kumbe Tanzania imegeuka nchi ya garbage! Lord who will save this country?

      Quote By SURUMA View Post
      Bahati mbaya kwamba kwa uozo wa mifumo ya nchi yetu; nyaraka HALALI zinatengenezeka unavyotaka zisomeke as long as wawajua wahusika au MADALALI WAO na una hela wanayohitaji...
      Mbaya zaidi marehemu hana haki!
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    20. #2319
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Babake Kanumba atoa siri nzito Dar

      Quote By The Boss View Post
      hii ndo siri nzito???????????
      Udaku Mtupu!

    21. #2320
      Asu tz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Posts : 162
      Rep Power : 412
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Eti....Ramsey Nouah "NIGERIAN ACTOR" kachangia haya kwa Kanumba+ Lulu+ Kajala!

      kawape story hii kitaa na co hapa.

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...