Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,804
      Rep Power : 44130
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1428

      Arrow Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Hamad ndie mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana CCM, pengine huu ndio wakati muafaka wa kuweza kumjua vema mwenyekiti huyu mpya. Wasifu wake na historia yake, Je Umoja wa Vijana na Watz kwa ujumla wategemee nini kutoka kwa Hamad ambae ndio kwanza anaanza kupanda ngazi katika siasa za Tanzania.

      Hamad ni mmoja wa Watz ambae yupo kwenye forums mbali mbali kwa muda mrefu sasa, nakumbuka kukutana nae katika Nyezi.com miaka ile, na baadae kwenye kijiwe cha youngafricans.com. Hata hivyo kwenye forums hizo hakuwa mchangiaji wa mada zaidi ya kuwa msomaji. Sina wasiwasi kuwa hata hapa yupo yupo...

      Well, ni vema kumjua Mwenyekiti huyu, na Iwapo yupo tayali ni vema nae akajiunga katika mada hii na kutupa yake machache juu ya kazi yake hiyo mpya...!
      Last edited by Kibunango; 16th December 2008 at 13:54. Reason: error
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kuhani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2008
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1989
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Kibunango

      Hamad ndie mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana CCM, pengine huu ndio wakati muafaka wa kuweza kumjua vema mwenyekiti huyu mpya. Wasifu wake na historia yake...

      Well, ni vema kumjua Mwenyekiti huyu[/COLOR], na Iwapo yupo tayali ni vema nae akajiunga katika mada hii na kutupa yake machache juu ya kazi yake hiyo mpya...!
      Too late!

      Hah hahahaha.....

      Hili ndio kosa tunafanya kiiiila siku!

      Inabidi tuwe tunapata tambala (info) la mgombea kabla ya kumpigia kura!

    4. #3
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,804
      Rep Power : 44130
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1428

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Inaweza kuwa Too late iwapo wajumbe wa Umoja huo husubiri maoni toka JF...
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    5. #4
      Kinyamana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2008
      Posts : 772
      Rep Power : 720
      Likes Received
      107
      Likes Given
      291

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Siyo mbaya mwenye info zake azimwage tu.Tunataka kumfahamu huyu kijana zaidi baada ya kupata hicho cheo cha UVCCM.Wakati mwingine huwa hawa ndiyo wanadetermine mustakabali wa nchi yetu wakati wa teuzi za wagombea wa vyama vyao.

    6. #5
      Lamba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2007
      Posts : 259
      Rep Power : 684
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Hebu weka CV yake tumchambue!
      Neema haichagui........

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      capuchino's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2008
      Posts : 47
      Rep Power : 969
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      kwa raha zake wakina lowassa na rostam watupu wamepandikizwa ...si nyalisa mm malisa wala nsauni haya tusikie watakavyokula kwenye maataba wa pale ....

      byee

    9. #7
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4888
      Likes Given
      5710

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Lamba
      Hebu weka CV yake tumchambue!
      Hakuna alotoa wasifu wake mapema mpaka imefikia 2010 mambo yakasanuka!
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    10. #8
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Invisible
      Hakuna alotoa wasifu wake mapema mpaka imefikia 2010 mambo yakasanuka!
      Mkuu kula tano kamili... umepekenyua platinum thread ambayo by then haikuelweka kabisaaaaaaaa

      nothing but love!!
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    11. #9
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Kuhani
      Too late!

      Hah hahahaha.....

      Hili ndio kosa tunafanya kiiiila siku!

      Inabidi tuwe tunapata tambala (info) la mgombea kabla ya kumpigia kura!
      Kuhani ni kuhani tu!!! you said these in 2008 and in 2010 we definitely see what you meant!!

      the good ol'JF in the flesh!!!
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    12. #10
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 8,985
      Rep Power : 7148
      Likes Received
      1742
      Likes Given
      1409

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By De Novo
      Kuhani ni kuhani tu!!! you said these in 2008 and in 2010 we definitely see what you meant!!

      the good ol'JF in the flesh!!!
      Kuhani,Mama,Dilunga,YNIM,GT... ......Kibunango naye ndo hivo tena............Sijui wako wapi hawa
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    13. #11
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Balantanda
      Kuhani,Mama,Dilunga,YNIM,GT... ......Kibunango naye ndo hivo tena............Sijui wako wapi hawa
      i miss the golden era mazee
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    14. #12
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,187
      Rep Power : 1509
      Likes Received
      449
      Likes Given
      440

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Balantanda
      Kuhani,Mama,Dilunga,YNIM,GT... ......Kibunango naye ndo hivo tena............Sijui wako wapi hawa
      Nakumbuka YNIM,KUHANI,DILUNGA walivyokuwa wanapigana madongo na Nyani Ngabu ,ukweli JF hii imepoza mno.Hata Mzee wa Dataz nae kaingia mitini sijui amepata jimbo
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    15. #13
      Natasha Ismail's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2008
      Posts : 304
      Rep Power : 614
      Likes Received
      23
      Likes Given
      6

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      JF Mnatisha mazee,
      Ati kumbe masauni nyie kunjua sana nyie.

    16. #14
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,049
      Rep Power : 9497
      Likes Received
      3172
      Likes Given
      1231

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By De Novo
      Kuhani ni kuhani tu!!! you said these in 2008 and in 2010 we definitely see what you meant!!

      the good ol'JF in the flesh!!!
      Naona Kijana mzee alikalia mafile yote watu wakishindwa kupekenyua sasa hivi yamefumuka.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    17. #15
      Masikini_Jeuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Location : Igangidung'u
      Posts : 5,953
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      698
      Likes Given
      5029

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Hay tupeni sasa isssue kamili wengine wetu hatukuwa tumezaliwa hapa YA ooops i mean JF
      24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!

    18. #16
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,161
      Rep Power : 11897
      Likes Received
      804
      Likes Given
      630

      Default Re: Hamad Masauni Yussuf..... Unamjua?

      Quote By Belo
      Nakumbuka YNIM,KUHANI,DILUNGA walivyokuwa wanapigana madongo na Nyani Ngabu ,ukweli JF hii imepoza mno.Hata Mzee wa Dataz nae kaingia mitini sijui amepata jimbo
      mzee wa dataaz ndo mpambe HALISI wa NAPE NNAUYE ubunge-ubungo,
      tupo nae dar hapa kwenye kampeni
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    Similar Topics

    1. Je, Unamjua huyu?
      By Apollo in forum Jamii Photos
      Replies: 0
      Last Post: 3rd November 2011, 22:27
    2. Tanzia: Hamad Hamad Maulid kuzikwa leo asubuhi Zanzibar
      By LiverpoolFC in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 19th October 2011, 14:00
    3. Yussuf ChuChu Afariki Dunia
      By CarthbertL in forum Entertainment
      Replies: 14
      Last Post: 5th June 2010, 16:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...