Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 40 of 40
    1. #1
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      leo kwenye xxl ya clouds fm
      msanii wa hipohop kutoka Arusha, amefunguka na kusema kwamba hiyo show ilikuwa poa sana na hakuna vurugu zilizotokea..
      Amesema kama wapo waliorusha mawe basi walilushiana wao kwa wao,kwani yeye pia ni underground kwa hiyo hawezi kuwadis wenzake..
      Amedai waliompa habari hizi walidai wamezitoa jamiiforum..


    2. #21
      Vinci's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2009
      Location : Piyaya
      Posts : 2,007
      Rep Power : 908
      Likes Received
      310
      Likes Given
      406

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      .....of wisdom. ha ha ha......sijui kama amekuelewa.
      [QUOTE=Leonard Robert;3203132]
      Quote By Ndallo

      huyu jamaa ni legend wa kitu ya arusha ariiifu...
      "If I have seen further it is by standing on the shoulders of Giants" (Newton, 1675)





    3. #22
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default

      Quote By kichomiz
      JCB?hizi ni promo sasa,wengine hatujawahi hata kumsika hapa tayari mmempromot.
      hipo humu thread kuhusu kuzomewa kwake kwenye shoo yake ya j.mosi itafute.

    4. #23
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,319
      Rep Power : 3453
      Likes Received
      1334
      Likes Given
      863

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Aisee nimemsikia jamaa ila kwa kuwa naijua level yake ya elimu aikunisumbua sana saana kuweka humu
      anyway ni kijana jamanipengine amefanya hayo kuitambulisha jf sijui anyway

    5. #24
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default

      [QUOTE=Vinci;3203737].....of wisdom. ha ha ha......sijui kama amekuelewa.
      atakua ameelewa, si wa kule daraja mbili.

    6. #25
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default

      Quote By Pdidy
      Aisee nimemsikia jamaa ila kwa kuwa naijua level yake ya elimu aikunisumbua sana saana kuweka humu
      anyway ni kijana jamanipengine amefanya hayo kuitambulisha jf sijui anyway
      kumbe nawewe umemsikia.. Amejitambulisha vyema ndani ya jf..


    7. #26
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,751
      Rep Power : 3269
      Likes Received
      991
      Likes Given
      785

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Quote By PakaJimmy
      mKUU,
      Naweza kuwa niko Arusha , lakini Umri mkuu!...Umri hauruhusu kuingia matamasha ya hivo...Mi na rafiki yangu Ngongo tuambie wapi wako Serengeti Sound, ili tukasikie "Embe dODO LIMELALA mUCHANGANI"
      Swadakta... haya ndio mambo
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    8. #27
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,383
      Rep Power : 1013
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Sniper
      Who is JCB?
      Na 2juzwe ni muimba taarabu,kwaya au mcheza kiduku?!
      POPOBAWA.
      MadameX and lindz like this.

    9. #28
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,959
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      1425
      Likes Given
      1830

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      leo ndo nimeamini usisikilize neno la kuambiwa...lazma litakuwa limepunguzwa au kuongezwa tehe tehe tehe!

    10. #29
      Kanyigo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 621
      Rep Power : 514
      Likes Received
      41
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By shosti
      leo ndo nimeamini usisikilize neno la kuambiwa...lazma litakuwa limepunguzwa au kuongezwa tehe tehe tehe!
      habari yako dada,funguka kilichoongezwa..au wewe ndo jcb himself maana mmmh

    11. #30
      Kanyigo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 621
      Rep Power : 514
      Likes Received
      41
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Popobawa
      Na 2juzwe ni muimba taarabu,kwaya au mcheza kiduku?!
      POPOBAWA.
      anarap hiphop ngumu nyeusi.

    12. #31
      Mabagala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : Nansio, Ukerewe
      Posts : 1,328
      Rep Power : 751
      Likes Received
      227
      Likes Given
      254

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      ndo nani huyu? jina lake kama la mabasi yaendayo bukoba?
      Promises are comfort to a fool

    13. #32
      Chalii Yangu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th October 2011
      Location : PC
      Posts : 13
      Rep Power : 388
      Likes Received
      0
      Likes Given
      12

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      JCB arifu mbona unaanza kuharibu mapema hivi aisee?

    14. #33
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,695
      Rep Power : 1216
      Likes Received
      925
      Likes Given
      468

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Quote By Chalii Yangu
      JCB arifu mbona unaanza kuharibu mapema hivi aisee?
      Toka aolewe na mzungu JCB amebadilika sana..yaani kawa mngese!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    15. #34
      Yo Yo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,895
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1355
      Likes Given
      2594

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Quote By figganigga
      nilisikia anasema eti" niliambiwa na mshikaji wangu eti nasemwa jamiiforums. akaniambia nifungue jamiiforums halafu sijui niingie sijui celebrities sijui nini halafu sijui niclick sijui wapi huo ni uzushi mtupu" mwenyewe analikuwa anasema. Mia
      jcb bana....ila hii si wameikopi toka kwa raisi wako jk

    16. #35
      Pukudu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Maskani.
      Posts : 1,213
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      346
      Likes Given
      84

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Quote By Leonard Robert
      amesema watu hatuzungumzii mazuri anayofanya..tunazungumzia mabaya.kwahiyo basi wanaojua mazuri yake wayaseme hapa.
      JCB alikuwa jembe la ukweli lakini hivyo vichenji maiti alivyoshikashika vinamzingua kashindwa kuiorganize watengwa kundi lishasambaratika afu Tangia Chindo asleep hawajatoa mix tape yeyote aangalie watengwa isimfie mkononi Kama hardcore unit hatutamuelewa....Leo anadiss maunder ground wakati Hao ndo wateja wakubwa wa street version mix tapes za watengwa aache uchapati
      If I agree with you both we'll be wrong...(Kama nikikubaliana na wewe wote tutakuwa tumepotoka)

    17. #36
      Kalulu Metusela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 78
      Rep Power : 395
      Likes Received
      18
      Likes Given
      53

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Nilikuwa kwenye show., nani kweli amewadis undergrounds na kusababisha fujo., hadi polisi wakaja kwenye mazingira ya show., mawe yalirushwa jukwaani na sio watu kurushiana., batoo wa mj fm akamuombea msamaha baada ya kushuka jukwaani na show ilibidi ikatishwe kwani alipanda huyu dogo simjui kwa jina aliyeimba "naenda kusema kwa mama ikabidi akate show katikati coz palishanuka na mapolisi walishafika..! Huo ndo ukweli..! Nilikuepo nimeona na kushuhudia..! Aache kujitetea hovyo., kuna mtu (rafiki yangu) alikuwa na camera kama hiyo part aliichukua itawekwa hadharani tuone akibisha

    18. #37
      Mizinga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 425
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      JCB imekulaga kwako

    19. #38
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,322
      Rep Power : 6592
      Likes Received
      2770
      Likes Given
      1320

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Mtu mwenyewe wanaomjua ni wachache halafu makelele mengi. Mimi pia sijui anaimba nini
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    20. #39
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,247
      Rep Power : 1769
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      0

      Default Re: JCB: sikuzomewa..jamiiforum imeusika kusambaza uzushi..

      Juma ni yuleyule umaarufu haujanibadilisha...
      Kichwani ni kipara style ya kiduku itapita...

      Jay Moe

    21. #40
      myao wa tunduru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2010
      Location : ligoma na mpumbe
      Posts : 507
      Rep Power : 572
      Likes Received
      81
      Likes Given
      40

      Default

      Quote By Gang Chomba
      Juma ni yuleyule umaarufu haujanibadilisha...
      Kichwani ni kipara style ya kiduku itapita...

      Jay Moe
      Mwamba naona umetia maguu huku kutoa somo na kuwaelezea makiza kama juma mchopanga ni bad news na kama tunda ni nazi na si embe sokoni ambalo linakuwepo kwa msimu!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...