Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      Nyundo Kavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Locker Up
      Posts : 108
      Rep Power : 398
      Likes Received
      20
      Likes Given
      35

      Cool SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      MSANII wa filamu ambaye pia anang’ara kwenye muziki kwa sasa, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameuanza mwaka 2012 kwa kulinadi penzi lake akidai, anayetaka kuwa mume wake awe na mkwanja wa kutosha.
      Tamko hilo amelitoa mbele ya paparazi wa Ijumaa hivi karibuni Mwananyamala jijini, Dar alipokuwa akizungumzia mikakati yake ya kikazi kwa mwaka mpya.
      “Mwaka jana sikuutendea haki sana katika kazi hivyo mambo yangu mengi hayakwenda sawa kiivyo lakini sasa nimekuja kivingine kwani mkwanja siyo tatizo hivyo hata huyo mwanaume atakayetaka kulifaidi penzi langu kama mke wake lazima awe nazo la sivyo bora nibaki peke yangu.
      “Nimegundua wanaume wengi wanapenda mteremko kwa wanawake hivyo mwaka huu huyo anayejiita mume basi ajipange kweli kweli maana na mimi si mlaini bila fedha,” alisema Shilole.

      SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo - Global Publishers

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,233
      Rep Power : 31387
      Likes Received
      9609
      Likes Given
      683

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Lizzy
      Mtakoma sana, vidola vyenu vya mabox na vijisent vya kula vumbi lazima vipukutishwe kama majani.
      Thubutu! Nilivyo mbahiri...hakuna cha Shilole wala Mtoto Shoo
      Nyundo Kavu likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #22
      Msarendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Rich Forever.
      Posts : 2,527
      Rep Power : 926
      Likes Received
      322
      Likes Given
      7

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Na awe tayari kuambukizwa Ngoma.

    5. #23
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Nyani Ngabu
      Aaaah Shilole Shilole....mtoto kutoka Igunga, Tabora.
      Steve Dii kanambia umefulia...shilole utamuona kwenye kideo tu! Hahaha

    6. #24
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,945
      Rep Power : 24144
      Likes Received
      4659
      Likes Given
      2638

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Lizzy
      Wanaume mtakoma karne hii. . .
      ...wa mia mia mbona bado wako wengi tu......huyu katumika sana hata hivyo

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    7. #25
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,705
      Rep Power : 10173
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      wtu watammega na kusepa..kumbe yeye shida yake ni mipesa
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Thubutu! Nilivyo mbahiri...hakuna cha Shilole wala Mtoto Shoo
      Hahahha mpaka mtoto shoo unambania? Sasa ataendeleaje kung'aa bila matunzo?

    10. #27
      Nyokamzee's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 72
      Rep Power : 387
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      jamani mwambieni aje huku arusha, kama ni pesa 2 hamna shida atapata pesa anazotaka, lakn aje akiwa bikra na si yakutengeneza.

    11. #28
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      ...wa mia mia mbona bado wako wengi tu......huyu katumika sana hata hivyo
      Hata hizo mia mia ni pesa...ukimpa mara tano anapata fungu la mchicha. Alafu kutumika kwani nyie hamjatumika?

    12. #29
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 731
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By BADILI TABIA
      kwa hiyo anauza? khaaa
      ndiyo maana yake

    13. #30
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,604
      Rep Power : 13886
      Likes Received
      3263
      Likes Given
      1768

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      cheki humu!!!!! zingatia 3:16, 3:48, 6:14,
      Wengine ugonjwa wetu huuuuuuuuuu, anapatikana wapi jamaniiiiiiiiiii?

      Msikilize anaongea nini kwenye 5:07, jamanii mimi hoiiiiiiiiiiiiiii

      Duuu!!Mungu tusaidie.Halafu hizi nyimbo za pwani mbona kama ni matusi jamani...Huko kucheza kweli kunaruhusiwa na Baraza la sanaa???????

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    14. #31
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,233
      Rep Power : 31387
      Likes Received
      9609
      Likes Given
      683

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Gaijin
      Steve Dii kanambia umefulia...shilole utamuona kwenye kideo tu! Hahaha
      Wiki mbili tu narudi kwenye form...msimu wa tax return huu....
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    15. #32
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,233
      Rep Power : 31387
      Likes Received
      9609
      Likes Given
      683

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Zion Daughter
      Duuu!!Mungu tusaidie.Halafu hizi nyimbo za pwani mbona kama ni matusi jamani...Huko kucheza kweli kunaruhusiwa na Baraza la sanaa???????
      Za Wazaire vipi?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #33
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,604
      Rep Power : 13886
      Likes Received
      3263
      Likes Given
      1768

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Nyani Ngabu
      Za Wazaire vipi?
      Kaka hizi zimezidi naona...lakn si vibaya kama na hizo za wazaire zikitazamwa pia..

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    17. #34
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      ye ana pesa ama ?

    18. #35
      nashy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MANG'ORA
      Posts : 663
      Rep Power : 555
      Likes Received
      134
      Likes Given
      124

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      hana lolote, anauza mapenzi? aende kwa akina kanumba wamchezee then alainike kama wema

    19. #36
      Mihayo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 207
      Rep Power : 504
      Likes Received
      37
      Likes Given
      9

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Haya maneno awambie wengine sio mimi. Anakera kwa kuomba omba. Mara Vocha mara .............................. ..Ahaaaaaaaaaaaaaa Bure kabisa

    20. #37
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,233
      Rep Power : 31387
      Likes Received
      9609
      Likes Given
      683

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Zion Daughter
      Kaka hizi zimezidi naona...lakn si vibaya kama na hizo za wazaire zikitazamwa pia..
      Kama baraza la sanaa limejaa wanaume sahau kabisa! Sisi tunayapenda haya mambo bana.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    21. #38
      masewa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 378
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      cku zote wanaoyabahatisha maisha kidogo ukubwani wanamatatizo kama shillole

      Ama kweli pata pesa tujue tabia yako

    22. #39
      Kaliua urambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 437
      Rep Power : 601
      Likes Received
      76
      Likes Given
      24

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      Quote By Nyundo Kavu
      MSANII wa filamu ambaye pia anang’ara kwenye muziki kwa sasa, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameuanza mwaka 2012 kwa kulinadi penzi lake akidai, anayetaka kuwa mume wake awe na mkwanja wa kutosha.
      Tamko hilo amelitoa mbele ya paparazi wa Ijumaa hivi karibuni Mwananyamala jijini, Dar alipokuwa akizungumzia mikakati yake ya kikazi kwa mwaka mpya.
      “Mwaka jana sikuutendea haki sana katika kazi hivyo mambo yangu mengi hayakwenda sawa kiivyo lakini sasa nimekuja kivingine kwani mkwanja siyo tatizo hivyo hata huyo mwanaume atakayetaka kulifaidi penzi langu kama mke wake lazima awe nazo la sivyo bora nibaki peke yangu.
      “Nimegundua wanaume wengi wanapenda mteremko kwa wanawake hivyo mwaka huu huyo anayejiita mume basi ajipange kweli kweli maana na mimi si mlaini bila fedha,” alisema Shilole.

      SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo - Global Publishers
      Hamna kitu humo

    23. #40
      Vmark.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Location : Arusha/Moshi.
      Posts : 735
      Rep Power : 542
      Likes Received
      89
      Likes Given
      9

      Default Re: SHILOLE: Wa kufaidi penzi langu awe nazo

      C apeleke kwa mengi, bakhressa au manji coz c ndo wanaaminika wanazo???

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...