Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustuliwa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Kuhusu Dada mindi

      Huyu dada Kwa mujibu wa Issa michuzi ameonekana akifanya part ya kuagwa kwenda marekani kufanya kazi ubalozi wetu uliopo huko.Waheshimiwa kibao wameonekana among of them Hon lukuvi,Nchimbi.Mwenye wasifu Wa huyu dada embu atusaidie tumjue hasa ni nani huyu mtu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      HNIC's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Posts : 48
      Rep Power : 399
      Likes Received
      9
      Likes Given
      14

    4. #3
      HNIC's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Posts : 48
      Rep Power : 399
      Likes Received
      9
      Likes Given
      14

      Default Faili la sister Mindi Kasiga

      Naomba lifunguliwe rasmi huku kwa ma selebriti kwa sababu zilizo hapa chini:

      matukio-michuzi

      http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...wa-vigogo.html


      haya huyu civil servant ameanza lini kuwa sele brity?

    5. #4
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 675
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Ulizeni jamani mjue siri iliyomo ndaniiiiiiiiiiiiiiiii

    6. #5
      kikahe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2009
      Posts : 1,188
      Rep Power : 826
      Likes Received
      171
      Likes Given
      126

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Tanzania na zaidi ya ijulikanavyo
      If Life gives you lemon, change it to Lemonade.


    7. #6
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,919
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      487
      Likes Given
      334

      Default

      Quote By JOYCE PAUL
      Ulizeni jamani mjue siri iliyomo ndaniiiiiiiiiiiiiiiii
      Joyce huyo Mindi ni mtoto wa kigogo gan. Waonekana kujua zaidi.

    8. #7
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 831
      Rep Power : 3810
      Likes Received
      172
      Likes Given
      36

      Default Re: Faili la sister Mindi Kasiga

      Itakuwa ndıyo kaanza leo labda. Sı kıla kıtu kına sıku ya kwanza!

    9. #8
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,276
      Rep Power : 36773
      Likes Received
      9636
      Likes Given
      688

      Default Re: Faili la sister Mindi Kasiga

      Foster Mbuna-Mkapa kanenepa hivyo? Yuuuck
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    10. #9
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Faili la sister Mindi Kasiga

      Bongo mtu yeyote anaweza kuwa celebrity bila kujali anachofanya. . .

    11. #10
      Dickson Mpemba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st January 2010
      Posts : 200
      Rep Power : 343
      Likes Received
      25
      Likes Given
      212

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Acheni wivu she is smart and self-made achiever Mimi nimesoma naye high school Kampala Uganda
      "A bright lawyer knows the law, but a smart lawyer knows the judge"

    12. #11
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 618
      Rep Power : 688
      Likes Received
      149
      Likes Given
      1

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Ni mtoto w adada yake na mama Mkapa, alipewa kazi ofisi ya mawasiliano ya Ikulu wakati huo ikiwa headed na balozi Kalage, mtoto wa ubatizo wa Rais Benjamin Mkapa, mambo ya kuwa self made and achivers si ya kweli, ni kubebana kulikopita mipaka yote, tunasubiri Tripolitan kwa hamu sana sana sana, tena napenda kumpa ujumbe huyu rais wenu, kuna watu wamesomea na kusotea kazi za diplomasia kwa miaka chungu nzima ni watanzania wenzetu akome kabisa kuzima ndoto zao kw akutumia kodi zetu, kama anataka kutoa sadaka kwa washikaji zake awatume kutumia mshahara wake asiougusa maana tumesikia hata suti anahongwa. na sisi tuache kulalamika tu hebu tuanza kumuonyesha kwa vitendo, 2012 ni year of comeback, go go go watanzania tuache uoga
      Mauza uza and Fullfigadiva J like this.

    13. #12
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,262
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1295
      Likes Given
      835

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      basi ni Minde na sio Mindi

    14. #13
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 707
      Likes Received
      344
      Likes Given
      74

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Huyu anaezungumziwa hapa ni Mindi Kasiga au? Yule mtoto wa regent?

    15. #14
      namimih's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 386
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Acheni wivu she is smart and self-made achiever Mimi nimesoma naye high school Kampala Uganda
      Ahh, ndiyo nyinyi mliokimbia shule za kata siyo??!!

    16. #15
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,276
      Rep Power : 36773
      Likes Received
      9636
      Likes Given
      688

      Default Re: Kuhusu Dada mindi

      Quote By saragossa
      Huyu anaezungumziwa hapa ni Mindi Kasiga au? Yule mtoto wa regent?
      Ndo huyo huyo.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    17. #16
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustuliwa




      Blog ya Michuzi jana ilitoa picha ya tukio la Mindi Kasiga kuagwa akijiandaa kwenda kufanya kazi kwenye ubalozi wa Tanzania mjini Washington. Ghafla picha zile zilichomolewa toka kwenye wavuti. Wengi wanashangaa ni kwanini wahusika walifanya hivyo. Je ni kutokana Mindi kuwa mdogo wake Rahma Kharoos Kasiga anayesemekana ni nyumba ndogo ya bwana mkubwa au ile haya ya sherehe hiyo kuhdhuriwa na Adam Gile ambaye hatuna uhakika kama ana uhusiano na akina Gile wa Richmond? Je sababu ni kutotaka watanzania wasijue jinsi watu wanavyohudumiana na kupendeleana mchana kweupe?

    18. #17
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustu

      Je ni kutokana Mindi kuwa mdogo wake Rahma Kharoos Kasiga anayesemekana ni nyumba ndogo ya bwana mkubwa au ile haya ya sherehe hiyo kuhdhuriwa na Adam Gile ambaye hatuna uhakika kama ana uhusiano na akina Gile wa Richmond?
      Mhn!

      Maybe all of the above...

      Ama kutokana na mijadala ambayo ishaanzishwa humu na kina Hofstede, pengine ule uliopo jamii intelligence unaokwenda kwa heading yenye kuulizia file lake, kwenye sherehe ya kumuaga na kumpongeza kabla hajaenda marekani, alikuwepo Nchimbi na mawaziri wengine.

      Or else wamejishtukia kuwa kumbe soo bado halijaisha, wanakula tu na wamesahau kunawa, nothing else.
      mpayukaji likes this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    19. #18
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,276
      Rep Power : 36773
      Likes Received
      9636
      Likes Given
      688

      Default Re: Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustu

      Hapo waliboogie step kabisa. Bad PR!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    20. #19
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,214
      Rep Power : 46194
      Likes Received
      6565
      Likes Given
      5321

      Default Re: Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustu

      hawakujua walichemsha mpaka picha zilipotoka
      Hofstede and mpayukaji like this.
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    21. #20
      Kamundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2006
      Posts : 1,372
      Rep Power : 914
      Likes Received
      296
      Likes Given
      9

      Default Re: Hatimaye Mindi Kasiga aenda kuula Washington Michuzi blog yachomoa picha za tukio baada ya kustu

      Je ni kwanini wasiwape hizi kazi Watanzania wanaoishi USA badala ya kuleta watu kutoka Tanzania ambao wengi wanachua miaka mingi sana kuzoea utamaduni. Kila siku kuna malalamiko ya huduma kwasababu watu wanaofanya kazi hawajazoe mazingira. Mimi kwa mawazo yangu hakuna haja ya Tanzania kuajiri watu kutoka Tanzania kwenye shughuli za ubalozi kuna watu wengi sana USA na nchi nyingine ambao wangeweza kufanya hizo kazi na wengi wao hawahitaji kulipiwa vitu kama vyumba n.k maana ni wenyeji lakini ni wa Tanzania.
      mpayukaji likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...