 |
 |

20th November 2008, 01:54 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri May 2008
Location: Here and there
Posts: 707
Rep Power: 22
Thanks: 790
Thanked 562 Times in 319 Posts
|
|
Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Msanii wa muziki wa kizazi kipya "Sir" Juma Nature anakabiliwa na tuhuma za "kubaka" baada ya kukaa kwa siku kadhaa na binti wa chini ya amiaka 18.Endapo mashtaka yatasimama akaonekana na hatia, kuna hatari ya kufungwa kwa muda usiopungua miaka 35 jela chini ya sheria ya makosa ya kujamiiana ( Sexual Offences Special Provisions Act 1998) .
Kama vile haitoshi, matangazo yanayodhaminiwa na Johns Hopkins yanayotolewa kwenye Radio ( Radio One) kuhusu kuwakinga mabinti dhidi ya ukware wa wanaume watu wazima kama njia ya kupambana na maambukizi ya ukimwi ambamo Sir Nature ameshiriki yamesitishwa.Vilevile filamu ya FATAKI nayo alishiriki - udhamini wa John Hopkins umesitishwa hadi itakapothibitika hana hatia.
Mbona ni pigo kwa wasanii! Inabidi wasanii waeleweshwa kwamba kuwa star kunaendana na risks ( occupational hazards!!)kama kujikuta kwenye matata na kubanwa na sheria.Huyu Nature inawezekana kabisa hakujua kuwa huyo binti yuko chini ya 18 ( she is 16 yrs) na hata angejua miaka, bado anaweza akawa haujui kuwa kuwa na mahusiano na under 18 hata kama kuna kuridhia ni statutory rape.Kazi ipo.
__________________
"A strong, positive self-image is the best possible preparation for success".
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to WomenofSubstanc For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 02:08 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Atafute lawyer wa kueleweka vinginevyo jela ni yake!!
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
Yassin (20th November 2008), Yo Yo (21st November 2008) |

20th November 2008, 02:54 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat May 2008
Posts: 1,195
Rep Power: 23
Thanks: 262
Thanked 533 Times in 341 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Huyu jamaa si kaoa juzi juzi hapa tuliskia sasa kwenda kwa kisichana kidogo hicho nini kimemponza tena?Duh am kweli njaa za penzi zitawamaliza wasanii.
__________________
Mkono unao kulisha usiung'ate.Ukiung'ata kesho utakula na nini?
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Fidel80 For This Useful Post:
|
Yassin (20th November 2008), Yo Yo (21st November 2008) |

20th November 2008, 03:19 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri May 2008
Location: Here and there
Posts: 707
Rep Power: 22
Thanks: 790
Thanked 562 Times in 319 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Quote:
Originally Posted by Fidel80
Huyu jamaa si kaoa juzi juzi hapa tuliskia sasa kwenda kwa kisichana kidogo hicho nini kimemponza tena?Duh am kweli njaa za penzi zitawamaliza wasanii.
|
Fidel80,
Wasanii wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana...angalia issues kama za akina R Kelly..au kina Papa Wemba hadi alifungwa kisa ni vischana vidogo... unajua these gals at times throw themselves at the artists ..they love them na wanaume wengi hawajui kusema hapana! Hiki ndicho kinachowaponza.Wanahitaji kusaidiwa zaidi on how to manage themselves and the newfound fame ili wasipate madhila kama haya.
Ushirombo amesema vema kabisa..asipopata lawyer wa kumsimamia kwa makini...ataziona mvua 35! Watanzania kwenye kesi wakati mwingine hudharau na kuona ni kitu kidogo they can manage.Hii kesi si ndogo.Fundisho lilishapatikana kwa what happened to TID!
__________________
"A strong, positive self-image is the best possible preparation for success".
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to WomenofSubstanc For This Useful Post:
|
Mama (20th November 2008), Masaki (21st November 2008), Yassin (20th November 2008), Yo Yo (21st November 2008) |

20th November 2008, 03:35 PM
|
|
Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2008
Posts: 20
Rep Power: 0
Thanks: 7
Thanked 5 Times in 4 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Mhh sasa huyo Sir Nature naye mbona anajitafutia matatizo? anatakiwa sasa atafute lowyer ili amsaidie.Sasa naye ajifunze kutokana na makosa aliofanya.
|

20th November 2008, 04:55 PM
|
|
Member
|
|
Join Date: Thu Jun 2008
Posts: 27
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 7 Times in 6 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
duh...mathalani wazazi wa binti wakiamua kuachana na hiyo kesi bado jamhuri itakuwa inambana?maana namna ya kuthibitisha kuwa hakuwa anajua umri wa binti ndio kimeo kilipo..namuhurumia though,i personally know him and he's a good person,ukiacha mbali ulevi wa 24/7.
|
|
The Following User Says Thank You to semjato For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 05:03 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon May 2008
Posts: 262
Rep Power: 21
Thanks: 2
Thanked 107 Times in 70 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Quote:
Originally Posted by WomenofSubstanc
Fidel80,
Wasanii wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana...angalia issues kama za akina R Kelly..au kina Papa Wemba hadi alifungwa kisa ni vischana vidogo... unajua these gals at times throw themselves at the artists ..they love them na wanaume wengi hawajui kusema hapana! Hiki ndicho kinachowaponza.Wanahitaji kusaidiwa zaidi on how to manage themselves and the newfound fame ili wasipate madhila kama haya.
Ushirombo amesema vema kabisa..asipopata lawyer wa kumsimamia kwa makini...ataziona mvua 35! Watanzania kwenye kesi wakati mwingine hudharau na kuona ni kitu kidogo they can manage.Hii kesi si ndogo.Fundisho lilishapatikana kwa what happened to TID!
|
Kazi kweli kweli,
Hivi unajua hawa wasanii wetu sasa wanatakiwa waweke budget au kuretain wanasheria. Kwa mtaji huu kazi kweli kweli...Upande mwingine wa shilingi, hawa wasanii wajiandaye kupambana na sheria kwani sheria msumeno...i am sorry, this is a second wake up call kwa wasanii...fame is nothing when you are before the court of justice.
The weakest person is that defame a young gal ... consent is imaterial si ndio women of substance!!
|
|
The Following User Says Thank You to Shadow For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 05:08 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Nakahuga
Posts: 427
Rep Power: 22
Thanks: 246
Thanked 124 Times in 83 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Huyu jamaa FELA alikuwa anamsaidia sana ,anahitaji mtu wa kumshauri kwani kundi lake kazi kuvuta bangi tu
__________________
Conclusion is the place where you got tired of thinking
|
|
The Following User Says Thank You to Belo For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 05:13 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 273
Rep Power: 22
Thanks: 1
Thanked 133 Times in 75 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Ok ni vizuri kweli kuweka mwanasheria ili amsaidie, je upande wa pili wa shilingi mbona hatuangalii? Upande ninaotaka tuangalie pia ni huu, je kama kweli kabaka sheria inasemaje juu ya wabakaji.Na vipi kama aliyebakwa naye akiweka mwanasheria kumsaidia ili apate haki yake?
|

20th November 2008, 07:43 PM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Wed Jul 2008
Posts: 173
Rep Power: 21
Thanks: 738
Thanked 40 Times in 32 Posts
|
|
Re: Wasanii kushtakiwa na kufungwa: Baada ya TID je atafuatia Sir Nature?
Quote:
Originally Posted by WomenofSubstanc
Fidel80,
Wasanii wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana...angalia issues kama za akina R Kelly..au kina Papa Wemba hadi alifungwa kisa ni vischana vidogo... unajua these gals at times throw themselves at the artists ..they love them na wanaume wengi hawajui kusema hapana! Hiki ndicho kinachowaponza.Wanahitaji kusaidiwa zaidi on how to manage themselves and the newfound fame ili wasipate madhila kama haya.
Ushirombo amesema vema kabisa..asipopata lawyer wa kumsimamia kwa makini...ataziona mvua 35! Watanzania kwenye kesi wakati mwingine hudharau na kuona ni kitu kidogo they can manage.Hii kesi si ndogo.Fundisho lilishapatikana kwa what happened to TID!
|
Awe na kama M.2 amfate huyo hakimu anayesimamia kesi nyumbani kwake basi kila kitu kinakwisha kimya kimya yaani TZ hata kwa dawa sikuamini kabisaaaaaaa maana nchi yetu kwa rushwa imekaa mkononi......
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 10:19 AM.
|
 |