Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Saed Kubenea na gazeti la MwanaHalisi

    Report Post
    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 143
    1. #1
      Shukurani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 257
      Rep Power : 642
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Saed Kubenea na gazeti la MwanaHalisi

      Ni mwandishi pekee aliyekwenda kwa hiyari yake mwenyewe kutoa ushahidi kwenye tume ya mwakyembe na amekuwa akisakamwa na mafisadi kila kukicha lakini ametoa maisha yake kwa nchi yake
      "Flaming enthusiasm, backed by horse sense and persistence, is the quality that most frequently makes for success."

    2. Study Abroad

    3. #61
      Mbalinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 652
      Rep Power : 593
      Likes Received
      129
      Likes Given
      0

      Default Re: Saeed Kubenea,

      Quote By Jeykey
      pole sana haya magazeti yanasomwa dar es salaam peke yeke
      mikoan hayafiki

      Hilo sio kweli, mimi nimenunua gazeti la mwanahalisi nikiwa Bukoba. Gazeti hili linapendwa na linasomwa sana mkoani, wewe subiri wakati wa uchaguzi ccm watashangaa

    4. #62
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 754
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: Saeed Kubenea,

      Quote By Katavi
      Acha uongo huku mikoani hakuna hata nakala moja tunayokosa!
      achana naye mwongo huyo, labda aseme ni mkoa gani ambao halipatikani

    5. #63
      Sabi Sanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 298
      Rep Power : 735
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Saeed Kubenea,

      Wakuu,

      itapendeza zaidi iwapo watu wa MwanaHALISI wataongea na Chama cha Walimu Tanzania na kuhakikisha kuwa kila Mwalimu analipata gazeti bora la MwanaHALISI kila Jumatano kwa kulinunua. Pia ni muhimu wakawa karibu sana na TUCTA na kuwafanya wanachama wao kuwa wateja wao wa kudumu wa MwanaHALISI.

    6. #64
      Zungu la Unga's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th November 2008
      Posts : 40
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Saeed Kubenea,

      Ukipenda sana hata chongo huita kengeza!

      JK kufanya maamuzi mazito, RA kufukuzwa CCM wiki hii. Wiki inapita, hakuna maamuzi mazito wala RA kufukuzwa. Tena hizo zinadaiwa kuwa habari kutoka ndani ya NEC ya CCM! Hakuna wa kumhoji Saidi Kubinua kama imekuwaje hayo maamuzi mazito uliyotuambia kwenye gazeti lako mbona hayakufanyika? Hiki ndiyo kizazi cha jamii aliyoijenga Nyerere kwa kuwa-keep busy kuukimbiza mwenge na kuimba nyimbo za mchakamchaka pamoja na kuitikia miito ya zidumu fikra za Mwenyekiti wa chama... Wanashindwa hata kuhoji vitu vilivyokuwa basic kabisa.

    7. #65
      DENYO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Posts : 582
      Rep Power : 565
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Saed kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Saidi kubenea ni mfano wa kuigwa kwa waandishi wote tanzania, amekuwa na msimamo na anaamini katika jambo analoliandika, kikubwa zaidi saidi kubenea ni mtaalamu wa habari za kiuchunguzi. Kama udom walipaswa kutoa udakitari basi walipaswa kutoa kwa kubenea. Taifa hili litamkumbuka kwa haya

      1. Ameendeleza vita na mafisadi bila kuyumbishwa
      2. Pamoja na kumwagiwa tindikali ameendelea na msimamo wake kuonesha media ni muhimili wa nne katika kuleta maendeleo
      3. Amekuwa akitoa habari na vielelezo
      4. Siyo mnafiki -hasa pale alipowabana wanaojulikana ni vigogo wa nchi hii list of shame aliyotaja dr slaa-ikiwahusisha kikwete, rostam, lowassa, salma na wengineo
      5. Alimlipua hamadi rashid kwa kusahau historia yake ya kutoitambua serikali ya zanzibar 1995, 2000, na 2005<br />
      6. Anafuata ethics za uandishi na kuelimisha umma<br />
      7. Ni mpinaji asiyenunulika<br />
      8. Ni mkombozi wa wanyonge<br />
      9. Ni mwandishi aliyesema pasipo na haki hakuna amani <br />
      10. Ni mwanahabari mwanamapinduzi <br />
      11. Ni kiongozi mpambanaji<br />
      <br />
      hongera kubenea na timu yako songa mbele

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      hmethod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 1,737
      Rep Power : 931
      Likes Received
      116
      Likes Given
      131

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Quote By DENYO
      Saidi kubenea ni mfano wa kuigwa kwa waandishi wote tanzania, amekuwa na msimamo na anaamini katika jambo analoliandika, kikubwa zaidi saidi kubenea ni mtaalamu wa habari za kiuchunguzi. Kama udom walipaswa kutoa udakitari basi walipaswa kutoa kwa kubenea. Taifa hili litamkumbuka kwa haya

      1. Ameendeleza vita na mafisadi bila kuyumbishwa
      2. Pamoja na kumwagiwa tindikali ameendelea na msimamo wake kuonesha media ni muhimili wa nne katika kuleta maendeleo
      3. Amekuwa akitoa habari na vielelezo
      4. Siyo mnafiki -hasa pale alipowabana wanaojulikana ni vigogo wa nchi hii list of shame aliyotaja dr slaa-ikiwahusisha kikwete, rostam, lowassa, salma na wengineo
      5. Alimlipua hamadi rashid kwa kusahau historia yake ya kutoitambua serikali ya zanzibar 1995, 2000, na 2005
      6. Anafuata ethics za uandishi na kuelimisha umma
      7. Ni mpinaji asiyenunulika
      8. Ni mkombozi wa wanyonge
      9. Ni mwandishi aliyesema pasipo na haki hakuna amani
      10. Ni mwanahabari mwanamapinduzi
      11. Ni kiongozi mpambanaji

      hongera kubenea na timu yako songa mbele
      Huyu jamaa namkubali sana amesaidia sana kuibua uoza wa serikali na ukandamizaji wake licha ya vikwazo lukuki
      Salus Populi Suprema Lex Esto

      Salva Veritate

    10. #67
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,614
      Rep Power : 5714
      Likes Received
      1039
      Likes Given
      2441

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Kuna ambaye ana CV ya huyu mwandishi wa habari? Nataka kujua, licha ya hulka yake, ni wapi ambapo amepata mafunzo ya kumpa ustadi huo.
      Semper fi!

    11. #68
      Absolute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2007
      Location : Kijijini
      Posts : 443
      Rep Power : 719
      Likes Received
      50
      Likes Given
      28

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Quote By DENYO
      Saidi kubenea ni mfano wa kuigwa kwa waandishi wote tanzania, amekuwa na msimamo na anaamini katika jambo analoliandika, kikubwa zaidi saidi kubenea ni mtaalamu wa habari za kiuchunguzi. Kama udom walipaswa kutoa udakitari basi walipaswa kutoa kwa kubenea. Taifa hili litamkumbuka kwa haya

      1. Ameendeleza vita na mafisadi bila kuyumbishwa
      2. Pamoja na kumwagiwa tindikali ameendelea na msimamo wake kuonesha media ni muhimili wa nne katika kuleta maendeleo
      3. Amekuwa akitoa habari na vielelezo
      4. Siyo mnafiki -hasa pale alipowabana wanaojulikana ni vigogo wa nchi hii list of shame aliyotaja dr slaa-ikiwahusisha kikwete, rostam, lowassa, salma na wengineo
      5. Alimlipua hamadi rashid kwa kusahau historia yake ya kutoitambua serikali ya zanzibar 1995, 2000, na 2005
      6. Anafuata ethics za uandishi na kuelimisha umma
      7. Ni mpinaji asiyenunulika
      8. Ni mkombozi wa wanyonge
      9. Ni mwandishi aliyesema pasipo na haki hakuna amani
      10. Ni mwanahabari mwanamapinduzi
      11. Ni kiongozi mpambanaji

      hongera kubenea na timu yako songa mbele
      It's totally true... hata mimi namkubali sana... ndo maana gazeti lake silikosi weekly (wednesday)
      1PETRO2:1-ACHENI UOVU WOTE;UONGO,UNAFIKI,WIVU NA MANENO YA KASHFA

    12. #69
      Mfwatiliaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 1,347
      Rep Power : 871
      Likes Received
      58
      Likes Given
      68

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Huyu ni mzalendo halisi

    13. #70
      Double X's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 184
      Rep Power : 469
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      KUBENEA ni mzalendo hasa, system yenyewe inamgwaya, maana kila anachokiandika kina evidence.NAMPA BIG UP SANAAAA!!!

    14. #71
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,065
      Rep Power : 12248
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6836

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Said ni mmoja wa wapiganaji haswa hili halina upinzani, HONGERA SANA SAIDI

      Pamoja na hiyo facts, naamini JF ni sehemu ya great thinkers na ni lazima tuende beyond abstract au book cover...
      Ni wakati muafaka sasa kwa kubenea kwenda deeper kwenye challenges zinazohosu mfumo na haswa kwenye grassroot level - mawilayani, mikoani na idara nyingine za serika
      Amefanya kazi kubwa sana against Lowassa, sasa ni wakati pia wa kutanua wogo wake na kuangalia madudu mengi yaliyopo kwenye mambo ya ardhi, mawasiliano, afya, kilimo, elimu, nk.
      si vibaya Mwanahalisi wakapanua team yao ya wachunguzi na kuweka pia wataalam wa fani mbali mbali kwenye chunguzi zao ili kuzipa mashiko na uhalisisa hasa kwenye technical issues
      awe pia analinganisha au kurejea kesi na matukio yafanannayo na aliyofanyia kazi ili kusaidia kutoa mwanga kuhusu solutions na namna ya ku-deal na hayo matatizo

      BINAFSI PONGEZI BILA CHANGAMOTO HUDUMAZA, NA IT IS THE RIGHT TIME FOR HIM TO MAKE ANOTHER STEP... SIKOSI GAZETI LAKE NA PIA SIKOSI HABARI ZA LOWASSA HUMO NDANI KILA WAKATI
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    15. #72
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,437
      Rep Power : 751
      Likes Received
      122
      Likes Given
      65

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Nashauri pia aanze kulea vijana ambao kama wataonekana wanaweza mrithi awaachie agombee ubunge kupitia chadema

    16. #73
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,111
      Rep Power : 921
      Likes Received
      549
      Likes Given
      2007

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Big up saed kubenea

    17. #74
      Mtemakuni's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 472
      Likes Received
      12
      Likes Given
      19

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      This is very true! huyu jamaa hana chembe ya uoga moyoni mwake. He is a real revolutionist na amejitoa kwa hilo!
      Cha msingi tu ni kupanua wigo wa mapambano ili pia kufichua uozo uliopo kwenye other staff like health, elimu, ardhi na miundombinu.

      keep it up men. God bless ya na akulinde na hila za hao mafisadi wanaojifanya miungu watu...!

    18. #75
      bucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2010
      Location : kandahar
      Posts : 2,905
      Rep Power : 4297
      Likes Received
      560
      Likes Given
      716

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote


    19. #76
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,591
      Rep Power : 22053
      Likes Received
      991
      Likes Given
      769

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Kila siku huwa napenda kujua kama ameamka hai na yu salama.
      Manake anaelea kwenye ulimwengu wa vifaru,jaguar,cheetah,sharks na bado anapuyanga
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    20. #77
      Sokomoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Location : Kijijini
      Posts : 1,912
      Rep Power : 951
      Likes Received
      95
      Likes Given
      25

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Nina wasiwasi sana na Saed Kubenea kuwa kwa namna moja au nyingine anatumiwa na kundi fulani la kisiasa maana huwezi kukosa habari za EL kwenye Mwanahalisi never najiuliza sana hivi uoaza upo kwa EL tu naamini upo mwingi sana ila pengine wanaomchimba EL ndio wanaompelekea data!
      I'd rather die standing than live kneeling (Che guavara)

    21. #78
      MUSINGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 283
      Rep Power : 493
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Quote By Dingswayo
      Kuna ambaye ana CV ya huyu mwandishi wa habari? Nataka kujua, licha ya hulka yake, ni wapi ambapo amepata mafunzo ya kumpa ustadi huo.
      mimi nnachojua alikuwa mwizi haswa

    22. #79
      Misterdennis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2007
      Posts : 1,021
      Rep Power : 815
      Likes Received
      65
      Likes Given
      218

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Quote By MUSINGA
      mimi nnachojua alikuwa mwizi haswa
      Na wewe weakness yako uko tayari kuiweka hadharani?

    23. #80
      Mwanamageuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Baitul Lahm
      Posts : 1,175
      Rep Power : 672
      Likes Received
      81
      Likes Given
      211

      Default Re: Siad kubenea tishio kwa mafisadi na madikiteta wote

      Nilikuwa nikimheshimu sana Kubenea, nikimuona kwamba ni mwandishi aliebobea na muadilifu lakini baada ya kumfuatilia maandiko yake kadhaa niligundua kwamba hana tofauti na waandishi wengine, naye pia anaangalia TONGE lake liko wapi!? YAWEZEKANA AKAWA VILE WANAVYODHANI WENGI NA KINYUME NA VILE NINAVYOMDHANI... Kwa hakika Saidi ni mbomoaji na wala sio mjengaji. Hapana muda ukweli utajulikana AKISHASHIBA.. ama wale wanaomlisha wakitindikiwa!

      MUDA Utaamua!
      "...If crime fighters fight crime and fire fighters fight fire, what do freedom fighters fight?"

    24. Miaka 50
    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?
      By Ngao One in forum Celebrities Forum
      Replies: 241
      Last Post: 28th October 2011, 04:40
    2. Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi
      By janja pwani in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 29
      Last Post: 29th September 2011, 10:38
    3. Gazeti la Mwanahalisi
      By Mimibaba in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 18th June 2011, 17:41
    4. Saeed kubenea-who is this guy?
      By Kimeo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 83
      Last Post: 25th January 2011, 22:26
    5. Kubenea Na Mwanahalisi Waombe Radhi
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 24
      Last Post: 25th October 2010, 21:06

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...