Celebrities ForumMazuri na Vimbwanga vya wakubwa: Rais, Mawaziri, Wabunge, Wafanyabiashara wakubwa n.k (Public Figures in general) The right place for celebrity enthusiast!
Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.
Lilian Shayo
Sylvia Mashuda
Tusekile Mwakimbinga
Amata Crispin
Angela Luballa
Anneth John
Nelly Kamwele
Beatrice Dengenesa
Blanka Emmanuel
Elizabeth Gupta
Gloria Masangwa
Florence Josephat
Flora Mvungi
Fay Antony
Irene Salala
Johari Abubakar
Linda Kaaya
Mariam Hajibu
Nadya Ahmed
Cecilia George
Devotha Desdery
Pendo Laizer
Doris Godfrey
Nasreem Karim
Regina Julius
Rona Swai
Tahya Badru
Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:
Kichuguu Mdogo wa Kike
__________________ Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
hata mimi nilipoangalia picha zao wote kweli nimekuwa na wasiwasi sana, ndiyo maana nikaona angalau niongeze na Kichuguu Mdogo wa Kike, teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!
Kuna wasichana kama watatu au wanne hvi ninaoona angalau angalu wanajitenga kwenye kundi ingawa siyo wa kujivunia.
Hivi ugawaji wa Uroda kiholela pia ni kigezo kimoja cha kushiriki Miss Tanzania?
Ni moja ya kigezo ,na ndiyo maana huw awanapelekwa Bagamoyo na sehemu mbali mbali ili wawape uroda waandaaji.
__________________ As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Urembo wa Kinyamwezi ama Kidigo ni Mguu tena uwe guu kweli kweli na kingine weupe na kufungasha ama kujazia. lakini hapa tatizo anatafutwa mremba wa Kitz kwa sifa za kizungu.
Nawaona wote kama wamekonda hivi na hii inanikumbusha stori za Bi kigagula Mchawi, lakini angalia midomo wengi wameweka Lip Stick ili angalau midomo ionekane mikubwa, lakini lip stick nyekundu inanikumbusha zile hadithi za Alfu Lela Ulela na hasa Jini Makata Mnyonya damu.
Sijui Bwana, wacha wajiandae kupita mbele ya kadamnasi kuonesha nusu ya utupu wao, na watu washangilia ... huu ni ujuha kwa kweli ..... halafu nasikia Maximo ni mmoja wa Majaji ... hana kazi nini ... maana siku hizi tunashangalia drooo na kufungwa machache
Mkuu, si vyema kumtuhumu mtu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.Nimesema Pendo Laizer ni changudoa kwasababu nimekuwa nikimuona maeneo hayo niliyoyataja kwa mingi sasa including california dreamers (CD) enzi hizo sitaki kwenda mbali kwa kusema amewahi kutaka kuniuzia inatosha tu kusema ni changudoa. Nasikia alikuwa miss higher learning institution sijaamini kusikia kama kwanza anasoma na pia kumuona akishiriki kwenye mashindano haya.Hashimu Lundenga na Lino Agency yenu naona mna kazi kubwa ya kuwashawishi wazazi wayaone mashindano haya si uhuni ili mabinti warembo na waliolelewa katika maadili waweze kushiriki bila hivyo mashindano haya yataendelea kutawaliwa na machangu doa tuu. Its pity kushuhudia haya tunayoyashuhudia katika Miss Tanzania kwakweli nafikiri ikiwezekana mashindano haya yasimamishwe ili waandae mikakati itakayoboresha mashindano yenyewe na aina ya warembo wanaoshiriki.
(A) Kweli huyu Pendo Laizer alikuwa Miss University 2008: Soma hapa
(B) Kuwa Miss University hakumzuii kuwa changu doa kwa sababu wanafunzi wa vyuo vikuu siku hizi wamekuwa msitali wa mbele kwa uchangu doa; wewe toa ushahidi thabiti, mimi sintasita kukuunga mkono kwa sababu mashindano haya yamekuwa yakitumika kuharibu maadili ya mabinti zetu wakidhani kuwa kujirusha na wanaume mbalimbali ni njia mojawapo ya kujipatia umaarufu na mafanikio.
__________________ Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia.
Naona uhuru wa kujificha nyuma ya computer na kutupa kejeli na matusi ya kutoana utu unatufikisha pabaya. Hivi mja ukiburuzwa kortini kwa kutoa lugha ya matusi utalalamika? Au kwa bahati mbaya huyu binti akipita hapa JF na kuona posting kama hii akajitoa roho , utamjibu nini Mola wako? Au posting kama hii inaisaidiaje jamii?
Nashauri tuache kujichumia dhambi bila sababu za msingi. Tuijenge nchi yetu.
mdau unayesambaza uzushi kuhusu Pendo umechemsha...ni bahati yake tu..naona ni tabia yake nzuri na urembo wake ndio vinakutia donge..mtoto wa watu wa kimasai katulia hana makeke..twamwombea ushindi tu! wenye wivu mtajijuuu..
Hivi jamani hizo taarifa kuwa fulani changu (mmewataja majina) ni za ukweli au ni nyepesi nyepesi? unajua tunakokwenda fani ya umiss inageuka siyo mashindano ya kuitangaza nchi tena bali ni mashindano ya kulana uroda na kupeana gari.
Vigezo vyaote vya miss world vikifuatwa hapa bongo itakuwa kazi kwelikweli.
Uwezo wa mtu kujieleza ni muhimu sana.Imagine waandishi wa habari kutoka kila kona duniani wanakuzunguka kwa robo saa wanakuhoji kuhusu nchi yako au kuhusu ishu flani ya kijamii.Inahitaji mtu mwenye confo la kufa mtu.Waandishi hawamfuati mtu mwenye mwanya au miguu mizuri bali mtu mwenye bidii na yule mwenye courage ya kutaka kuzungumza.
Tatizo mamiss wetu wakifika miss world wanafunga mdomo na kubaki kutabasamu tu.
Nilikuwepo vatican mwaka jana wakati wa miss sinza nikashuhudia miss mmoja akiwa jukwaani anajibu swali ilikuwa USIKU akawasalimia watazamaji GOOD MORNING LEDIZ END JENTOMENI!...Hivi huyo akifika miss world si inakuwa kituko tu.
Lundenga na kamati yake wawe serious na wawe wanafanya tathmini after every one year vinginevyo itakuwa mnada wa sura na vipaja....
__________________
'When corruption becomes justice,war becomes the law'
...
Nilikuwepo vatican mwaka jana wakati wa miss sinza nikashuhudia miss mmoja akiwa jukwaani anajibu swali ilikuwa USIKU akawasalimia watazamaji GOOD MORNING LEDIZ END JENTOMENI!...Hivi huyo akifika miss world si inakuwa kituko tu.
Lundenga na kamati yake wawe serious na wawe wanafanya tathmini after every one year vinginevyo itakuwa mnada wa sura na vipaja....
...astaghafirullah! ...huenda usiku ulishakuwa past midnite bro, duh!
mdau unayesambaza uzushi kuhusu Pendo umechemsha...ni bahati yake tu..naona ni tabia yake nzuri na urembo wake ndio vinakutia donge..mtoto wa watu wa kimasai katulia hana makeke..twamwombea ushindi tu! wenye wivu mtajijuuu..
Wewe nawe sijui umeibukia wapi kwa kweli...
Umeamua tu kumkingia kifua na maneno ya kwenye taarabu ati tutajiju, ama wewe ndio ambaye huwa mwaongozana... Yule mwembamba mweusi? Niambie.
__________________
Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.