*Miss Tanzania 2008* - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Celebrities Forum


Celebrities Forum Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa: Rais, Mawaziri, Wabunge, Wafanyabiashara wakubwa n.k (Public Figures in general) The right place for celebrity enthusiast!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 27th July 2008, 01:57 AM  
*Miss Tanzania 2008*
Kichuguu Kichuguu is offline 27th July 2008, 01:57 AM

Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.


Lilian Shayo


Sylvia Mashuda


Tusekile Mwakimbinga


Amata Crispin


Angela Luballa


Anneth John


Nelly Kamwele


Beatrice Dengenesa


Blanka Emmanuel


Elizabeth Gupta


Gloria Masangwa


Florence Josephat


Flora Mvungi


Fay Antony


Irene Salala


Johari Abubakar



Linda Kaaya


Mariam Hajibu


Nadya Ahmed


Cecilia George


Devotha Desdery


Pendo Laizer


Doris Godfrey


Nasreem Karim



Regina Julius


Rona Swai


Tahya Badru


Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:

Kichuguu Mdogo wa Kike

__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

 
Kichuguu's Avatar
Kichuguu
JF Premium Member
Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 176
Thanked 499 Times in 226 Posts
Views: 12312
Reply With Quote
  #21  
Old 28th July 2008, 03:05 PM
Gembe's Avatar
Gembe Gembe is offline
Gembe ni mshauri
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Rep Power: 67
Gembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the rough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Quote:
View Post
........ list imejaa Watanzania wa kike wenye kupenda urembo!
Mademu wote vicheche tu na wanamegwa sana,wengi huwa nakutana nao sana Pale New Africa wakipapatikia wazungu.

Quote:
View Post
Ni kweli Steve,

hata mimi nilipoangalia picha zao wote kweli nimekuwa na wasiwasi sana, ndiyo maana nikaona angalau niongeze na Kichuguu Mdogo wa Kike, teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!

Kuna wasichana kama watatu au wanne hvi ninaoona angalau angalu wanajitenga kwenye kundi ingawa siyo wa kujivunia.
Binti kichuguu anatisha

Quote:
View Post
Hivi ugawaji wa Uroda kiholela pia ni kigezo kimoja cha kushiriki Miss Tanzania?
Ni moja ya kigezo ,na ndiyo maana huw awanapelekwa Bagamoyo na sehemu mbali mbali ili wawape uroda waandaaji.
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Reply With Quote
  #22  
Old 28th July 2008, 03:25 PM
ibrahim dahir ibrahim dahir is offline
ibrahim dahir has no status.
Junior Member
Points: 67,433, Level: 100 Points: 67,433, Level: 100 Points: 67,433, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 7
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
ibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enoughibrahim dahir will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Kichuguu mdogo ndo alonivutia pekee
Reply With Quote
  #23  
Old 28th July 2008, 05:18 PM
Mgoyangi's Avatar
Mgoyangi Mgoyangi is offline
Mgoyangi has no status.
Senior Member
Points: 154,914, Level: 100 Points: 154,914, Level: 100 Points: 154,914, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 127
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 3 Posts
Rep Power: 23
Mgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enoughMgoyangi will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Urembo wa Kinyamwezi ama Kidigo ni Mguu tena uwe guu kweli kweli na kingine weupe na kufungasha ama kujazia. lakini hapa tatizo anatafutwa mremba wa Kitz kwa sifa za kizungu.

Nawaona wote kama wamekonda hivi na hii inanikumbusha stori za Bi kigagula Mchawi, lakini angalia midomo wengi wameweka Lip Stick ili angalau midomo ionekane mikubwa, lakini lip stick nyekundu inanikumbusha zile hadithi za Alfu Lela Ulela na hasa Jini Makata Mnyonya damu.

Sijui Bwana, wacha wajiandae kupita mbele ya kadamnasi kuonesha nusu ya utupu wao, na watu washangilia ... huu ni ujuha kwa kweli ..... halafu nasikia Maximo ni mmoja wa Majaji ... hana kazi nini ... maana siku hizi tunashangalia drooo na kufungwa machache
Reply With Quote
  #24  
Old 28th July 2008, 10:07 PM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100 Points: 789,166, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,146
Thanks: 176
Thanked 499 Times in 226 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Quote:
View Post
Mkuu, si vyema kumtuhumu mtu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.Nimesema Pendo Laizer ni changudoa kwasababu nimekuwa nikimuona maeneo hayo niliyoyataja kwa mingi sasa including california dreamers (CD) enzi hizo sitaki kwenda mbali kwa kusema amewahi kutaka kuniuzia inatosha tu kusema ni changudoa. Nasikia alikuwa miss higher learning institution sijaamini kusikia kama kwanza anasoma na pia kumuona akishiriki kwenye mashindano haya.Hashimu Lundenga na Lino Agency yenu naona mna kazi kubwa ya kuwashawishi wazazi wayaone mashindano haya si uhuni ili mabinti warembo na waliolelewa katika maadili waweze kushiriki bila hivyo mashindano haya yataendelea kutawaliwa na machangu doa tuu. Its pity kushuhudia haya tunayoyashuhudia katika Miss Tanzania kwakweli nafikiri ikiwezekana mashindano haya yasimamishwe ili waandae mikakati itakayoboresha mashindano yenyewe na aina ya warembo wanaoshiriki.

(A) Kweli huyu Pendo Laizer alikuwa Miss University 2008: Soma hapa


(B) Kuwa Miss University hakumzuii kuwa changu doa kwa sababu wanafunzi wa vyuo vikuu siku hizi wamekuwa msitali wa mbele kwa uchangu doa; wewe toa ushahidi thabiti, mimi sintasita kukuunga mkono kwa sababu mashindano haya yamekuwa yakitumika kuharibu maadili ya mabinti zetu wakidhani kuwa kujirusha na wanaume mbalimbali ni njia mojawapo ya kujipatia umaarufu na mafanikio.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #25  
Old 29th July 2008, 08:54 AM
Abdulhalim's Avatar
Abdulhalim Abdulhalim is online now
Abdulhalim is enjoying his sabbatical leave
JF Senior Expert Member
Points: 360,704, Level: 100 Points: 360,704, Level: 100 Points: 360,704, Level: 100
Activity: 81% Activity: 81% Activity: 81%
 
Join Date: Fri Jul 2007
Posts: 7,245
Thanks: 298
Thanked 854 Times in 559 Posts
Rep Power: 37
Abdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enoughAbdulhalim will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Quote:
View Post
Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia.
Naona uhuru wa kujificha nyuma ya computer na kutupa kejeli na matusi ya kutoana utu unatufikisha pabaya. Hivi mja ukiburuzwa kortini kwa kutoa lugha ya matusi utalalamika? Au kwa bahati mbaya huyu binti akipita hapa JF na kuona posting kama hii akajitoa roho , utamjibu nini Mola wako? Au posting kama hii inaisaidiaje jamii?

Nashauri tuache kujichumia dhambi bila sababu za msingi. Tuijenge nchi yetu.


_________________

al Masih is back.
Reply With Quote
  #26  
Old 29th July 2008, 09:38 AM
naas naas is offline
naas has no status.
Junior Member
Points: 61,949, Level: 100 Points: 61,949, Level: 100 Points: 61,949, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
naas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enoughnaas will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

mdau unayesambaza uzushi kuhusu Pendo umechemsha...ni bahati yake tu..naona ni tabia yake nzuri na urembo wake ndio vinakutia donge..mtoto wa watu wa kimasai katulia hana makeke..twamwombea ushindi tu! wenye wivu mtajijuuu..
Reply With Quote
  #27  
Old 29th July 2008, 10:04 AM
Haika Haika is offline
Haika has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 191,656, Level: 100 Points: 191,656, Level: 100 Points: 191,656, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 721
Thanks: 12
Thanked 6 Times in 6 Posts
Rep Power: 24
Haika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enoughHaika will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Demand And Supply
Wapo Hivyo Kwakuwa Wanahitajika Wawe Hivyo!!
Soko La Hii Bidhaa/fani Ni Kubwa Ndio Sababu Wanaongezeka Kila Uchao.
Reply With Quote
  #28  
Old 29th July 2008, 11:33 AM
Mzee wa Gumzo's Avatar
Mzee wa Gumzo Mzee wa Gumzo is offline
Mzee wa Gumzo has no status.
Senior Member
Points: 143,988, Level: 100 Points: 143,988, Level: 100 Points: 143,988, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Apr 2008
Location: Dar es Salaam
Posts: 198
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enoughMzee wa Gumzo will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Hivi jamani hizo taarifa kuwa fulani changu (mmewataja majina) ni za ukweli au ni nyepesi nyepesi? unajua tunakokwenda fani ya umiss inageuka siyo mashindano ya kuitangaza nchi tena bali ni mashindano ya kulana uroda na kupeana gari.

Vigezo vyaote vya miss world vikifuatwa hapa bongo itakuwa kazi kwelikweli.

Uwezo wa mtu kujieleza ni muhimu sana.Imagine waandishi wa habari kutoka kila kona duniani wanakuzunguka kwa robo saa wanakuhoji kuhusu nchi yako au kuhusu ishu flani ya kijamii.Inahitaji mtu mwenye confo la kufa mtu.Waandishi hawamfuati mtu mwenye mwanya au miguu mizuri bali mtu mwenye bidii na yule mwenye courage ya kutaka kuzungumza.

Tatizo mamiss wetu wakifika miss world wanafunga mdomo na kubaki kutabasamu tu.
Nilikuwepo vatican mwaka jana wakati wa miss sinza nikashuhudia miss mmoja akiwa jukwaani anajibu swali ilikuwa USIKU akawasalimia watazamaji GOOD MORNING LEDIZ END JENTOMENI!...Hivi huyo akifika miss world si inakuwa kituko tu.

Lundenga na kamati yake wawe serious na wawe wanafanya tathmini after every one year vinginevyo itakuwa mnada wa sura na vipaja....
__________________
'When corruption becomes justice,war becomes the law'
Reply With Quote
  #29  
Old 29th July 2008, 11:58 AM
Mbu's Avatar
Mbu Mbu is offline
Mbu buzzing!
JF Premium Member
Points: 1,039,786, Level: 100 Points: 1,039,786, Level: 100 Points: 1,039,786, Level: 100
Activity: 22% Activity: 22% Activity: 22%
 
Join Date: Thu Jan 2007
Location: Stagnant Springs
Posts: 4,993
Thanks: 419
Thanked 524 Times in 311 Posts
Rep Power: 35
Mbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enoughMbu will become famous soon enough
Default Re: Miss Tanzania 2008

Quote:
View Post
...
Nilikuwepo vatican mwaka jana wakati wa miss sinza nikashuhudia miss mmoja akiwa jukwaani anajibu swali ilikuwa USIKU akawasalimia watazamaji GOOD MORNING LEDIZ END JENTOMENI!...Hivi huyo akifika miss world si inakuwa kituko tu.

Lundenga na kamati yake wawe serious na wawe wanafanya tathmini after every one year vinginevyo itakuwa mnada wa sura na vipaja....
...astaghafirullah! ...huenda usiku ulishakuwa past midnite bro, duh!

hiyo kali
__________________
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com.
Reply With Quote
  #30  
Old 29th July 2008, 02:28 PM
Mzozo wa Mizozo's Avatar
Mzozo wa Mizozo Mzozo wa Mizozo is offline
Mzozo wa Mizozo on The Road to Perdition
JF Senior Expert Member
Points: 145,710, Level: 100 Points: 145,710, Level: 100 Points: 145,710, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2008
Posts: 413
Thanks: 4
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enoughMzozo wa Mizozo will become famous soon enough
Send a message via MSN to Mzozo wa Mizozo
Default Re: Miss Tanzania 2008

Quote:
View Post
mdau unayesambaza uzushi kuhusu Pendo umechemsha...ni bahati yake tu..naona ni tabia yake nzuri na urembo wake ndio vinakutia donge..mtoto wa watu wa kimasai katulia hana makeke..twamwombea ushindi tu! wenye wivu mtajijuuu..
Wewe nawe sijui umeibukia wapi kwa kweli...

Umeamua tu kumkingia kifua na maneno ya kwenye taarabu ati tutajiju, ama wewe ndio ambaye huwa mwaongozana... Yule mwembamba mweusi? Niambie.
__________________
Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
2008, miss, tanzania


Currently Active Users Viewing This Thread: 2 (0 members and 2 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
UFISADI: The Making Of IPTL Invisible Jamii Intelligence 183 4th December 2009 03:28 PM
Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania! Mzee Mwanakijiji Business & Economic Forum 139 6th November 2008 03:10 PM
Viongozi Wetu Wa Taifa Zamani: Ni Nani Na Walifanya Nini Field Marshall ES Jukwaa la Siasa 141 15th June 2008 07:41 AM
Tanzania is one of the eight countries world wide to pilot the One UN reform initiati Mtoto wa Mkulima Habari na Hoja mchanganyiko 1 19th October 2007 05:25 AM
Gavana Wa Benki Kuu Ya Tanzania "watergate"?! jim720 Habari na Hoja mchanganyiko 2 28th August 2007 09:38 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:00 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com