Celebrities ForumMazuri na Vimbwanga vya wakubwa: Rais, Mawaziri, Wabunge, Wafanyabiashara wakubwa n.k (Public Figures in general) The right place for celebrity enthusiast!
Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.
Lilian Shayo
Sylvia Mashuda
Tusekile Mwakimbinga
Amata Crispin
Angela Luballa
Anneth John
Nelly Kamwele
Beatrice Dengenesa
Blanka Emmanuel
Elizabeth Gupta
Gloria Masangwa
Florence Josephat
Flora Mvungi
Fay Antony
Irene Salala
Johari Abubakar
Linda Kaaya
Mariam Hajibu
Nadya Ahmed
Cecilia George
Devotha Desdery
Pendo Laizer
Doris Godfrey
Nasreem Karim
Regina Julius
Rona Swai
Tahya Badru
Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:
Kichuguu Mdogo wa Kike
__________________ Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
Wacha kumchafua msichana huyu! Si peke yake ambaye amechemka katika mashindano ya urembo and it is not entirely her fault! Maandalizi nayo hayakuwa mazuri!
Lakini private life yake remains just that PRIVATE!
__________________
"It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin
Hivi huyu Flora Mvungi ndio yule anaye act na Dude kwenye kipindi "Bongo Darisalama"? Looks like her and episode ya jana naona katumia jina hilo hilo katika mpango wa kuwalaghai Takukuru.........Dude na watu wake bwana! Wanaleta burudani poa sana.
Kama ni yeye, sikujua kwamba alikuwepo kwenye kinyang'anyiro cha Ms. Tanzania. I guess she is making some kind of steady paycheck acting on that show - at least kapata meaningful ajira.
__________________
"Ili tuendelee tunahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora" Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa.
Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
__________________
Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.
Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.
Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
Nadhani Michuzi naye ni mwanachama wa hapa, ama sivyo ningeshauri Max am-recruit kwani atakuwa resourceful sana.
__________________ Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo