*Miss Tanzania 2008* - Page 13 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Celebrities Forum


Celebrities Forum Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa: Rais, Mawaziri, Wabunge, Wafanyabiashara wakubwa n.k (Public Figures in general) The right place for celebrity enthusiast!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 27th July 2008, 01:57 AM  
*Miss Tanzania 2008*
Kichuguu Kichuguu is offline 27th July 2008, 01:57 AM

Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.


Lilian Shayo


Sylvia Mashuda


Tusekile Mwakimbinga


Amata Crispin


Angela Luballa


Anneth John


Nelly Kamwele


Beatrice Dengenesa


Blanka Emmanuel


Elizabeth Gupta


Gloria Masangwa


Florence Josephat


Flora Mvungi


Fay Antony


Irene Salala


Johari Abubakar



Linda Kaaya


Mariam Hajibu


Nadya Ahmed


Cecilia George


Devotha Desdery


Pendo Laizer


Doris Godfrey


Nasreem Karim



Regina Julius


Rona Swai


Tahya Badru


Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:

Kichuguu Mdogo wa Kike

__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

 
Kichuguu's Avatar
Kichuguu
JF Premium Member
Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,141
Thanks: 169
Thanked 488 Times in 223 Posts
Views: 12269
Reply With Quote
  #121  
Old 15th December 2008, 12:52 AM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,141
Thanks: 169
Thanked 488 Times in 223 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Jamani,

Nasreem alifanyaje huko kwenye mashindano ya Miss World? Niliangalia semi-fanal wala sikuona sura yake kabisa.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #122  
Old 15th December 2008, 01:23 AM
Baba Mkubwa Baba Mkubwa is offline
Baba Mkubwa Arsenal Fan
JF Senior Expert Member
Points: 120,134, Level: 100 Points: 120,134, Level: 100 Points: 120,134, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Lappeenranta
Posts: 392
Thanks: 343
Thanked 66 Times in 43 Posts
Rep Power: 22
Baba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enoughBaba Mkubwa will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Quote:
View Post
Jamani,

Nasreem alifanyaje huko kwenye mashindano ya Miss World? Niliangalia semi-fanal wala sikuona sura yake kabisa.
Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!

Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........

Nini Kifanyike?????????????????
Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani
Reply With Quote
  #123  
Old 15th December 2008, 10:05 AM
Susuviri's Avatar
Susuviri Susuviri is offline
Susuviri the Chief
JF Senior Expert Member
Points: 196,444, Level: 100 Points: 196,444, Level: 100 Points: 196,444, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Oct 2007
Posts: 1,981
Thanks: 216
Thanked 66 Times in 36 Posts
Rep Power: 26
Susuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Quote:
View Post
Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!

Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........

Nini Kifanyike?????????????????
Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani
Mbalawata narudia tena katika thread hii pia.... kocha wa kigeni ya nini? Kwani Flavian Matata na Odemba walikuwa na makocha wa kigeni?
__________________
"It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin
Reply With Quote
  #124  
Old 15th December 2008, 10:43 AM
Mtu B Mtu B is offline
Mtu B has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 115,656, Level: 100 Points: 115,656, Level: 100 Points: 115,656, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Tue Dec 2008
Posts: 455
Thanks: 43
Thanked 147 Times in 87 Posts
Rep Power: 22
Mtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enoughMtu B will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
Reply With Quote
  #125  
Old 15th December 2008, 10:49 AM
Susuviri's Avatar
Susuviri Susuviri is offline
Susuviri the Chief
JF Senior Expert Member
Points: 196,444, Level: 100 Points: 196,444, Level: 100 Points: 196,444, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Oct 2007
Posts: 1,981
Thanks: 216
Thanked 66 Times in 36 Posts
Rep Power: 26
Susuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enoughSusuviri will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Quote:
View Post
Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
Wacha kumchafua msichana huyu! Si peke yake ambaye amechemka katika mashindano ya urembo and it is not entirely her fault! Maandalizi nayo hayakuwa mazuri!
Lakini private life yake remains just that PRIVATE!
__________________
"It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin
Reply With Quote
  #126  
Old 16th December 2008, 10:16 AM
Gelange Vidunda Gelange Vidunda is online now
Gelange Vidunda has no status.
Senior Member
Points: 71,633, Level: 100 Points: 71,633, Level: 100 Points: 71,633, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Aug 2008
Posts: 182
Thanks: 24
Thanked 22 Times in 9 Posts
Rep Power: 22
Gelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enoughGelange Vidunda will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Hivi huyu Flora Mvungi ndio yule anaye act na Dude kwenye kipindi "Bongo Darisalama"? Looks like her and episode ya jana naona katumia jina hilo hilo katika mpango wa kuwalaghai Takukuru.........Dude na watu wake bwana! Wanaleta burudani poa sana.

Kama ni yeye, sikujua kwamba alikuwepo kwenye kinyang'anyiro cha Ms. Tanzania. I guess she is making some kind of steady paycheck acting on that show - at least kapata meaningful ajira.
__________________
"Ili tuendelee tunahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora"
Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa.
Reply With Quote
  #127  
Old 10th January 2009, 11:26 PM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,141
Thanks: 169
Thanked 488 Times in 223 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008* Wengine walifika wapi?

Je warembo wetu walifika wapi na wako wapi hivi sasa? Samahani kama nimekosea spelling za majina hapa na pale, nimejitahid kadri nilivyoweza kuyapata.



1960: Carmen Lesley Woodcock



1967: Theresa Shayo




1994: Aina Maeda



1995: Emily Adolph



1996: Shose Sinare



1997: Saida Kessy



1998: Basila Mwanukuzi



1999: Hoyce Temu



2000: Jacqueline Ntuyabaliwe



2001: Hapiness Magesse



2002: Angela Damas



2003: Sylivia Bahame



2004: Faraja Kotta



2005: Nancy Abraham Sumari



2006: Wema Isaac Sepetu



2007: Richa Maria Adhia



2008: Nasreem Karim Ndiye
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #128  
Old 10th January 2009, 11:31 PM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,707,165, Level: 100 Points: 1,707,165, Level: 100 Points: 1,707,165, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,993
Thanks: 638
Thanked 366 Times in 198 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #129  
Old 10th January 2009, 11:37 PM
Kichuguu's Avatar
Kichuguu Kichuguu is offline
Kichuguu Nyumba ya Mchwa na Nguchiro
JF Premium Member
Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100 Points: 786,131, Level: 100
Activity: 14% Activity: 14% Activity: 14%
 
Join Date: Wed Oct 2006
Location: Popote Porini
Posts: 4,141
Thanks: 169
Thanked 488 Times in 223 Posts
Rep Power: 33
Kichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enoughKichuguu will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Quote:
View Post
Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
Nadhani Michuzi naye ni mwanachama wa hapa, ama sivyo ningeshauri Max am-recruit kwani atakuwa resourceful sana.
__________________
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Reply With Quote
  #130  
Old 11th January 2009, 09:11 AM
Mfunyukuzi's Avatar
Mfunyukuzi Mfunyukuzi is online now
Mfunyukuzi Down to Earth
JF Senior Expert Member
Points: 468,458, Level: 100 Points: 468,458, Level: 100 Points: 468,458, Level: 100
Activity: 37% Activity: 37% Activity: 37%
 
Join Date: Sat Jan 2009
Posts: 665
Thanks: 6
Thanked 73 Times in 54 Posts
Rep Power: 23
Mfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enough
Default Re: *Miss Tanzania 2008*

Katika ma-miss wote mimi namkubali sana faraja Kota, she is beautiful, intelligent and she is very successiful married woman. Bravo girl!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
2008, miss, tanzania


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
UFISADI: The Making Of IPTL Invisible Jamii Intelligence 183 4th December 2009 03:28 PM
Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania! Mzee Mwanakijiji Business & Economic Forum 139 6th November 2008 03:10 PM
Viongozi Wetu Wa Taifa Zamani: Ni Nani Na Walifanya Nini Field Marshall ES Jukwaa la Siasa 141 15th June 2008 07:41 AM
Tanzania is one of the eight countries world wide to pilot the One UN reform initiati Mtoto wa Mkulima Habari na Hoja mchanganyiko 1 19th October 2007 05:25 AM
Gavana Wa Benki Kuu Ya Tanzania "watergate"?! jim720 Habari na Hoja mchanganyiko 2 28th August 2007 09:38 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:56 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com