TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 7 of 7 FirstFirst ... 5 6 7
Results 121 to 133 of 133
  1. #1
    JF Premium Member Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Location
    Popote Porini
    Posts
    4,717
    Thanks : 496
    Thanked 1,063 Times in 491 Posts
    Rep Power
    34

    Default *Miss Tanzania 2008*

    Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.


    Lilian Shayo


    Sylvia Mashuda


    Tusekile Mwakimbinga


    Amata Crispin


    Angela Luballa


    Anneth John


    Nelly Kamwele


    Beatrice Dengenesa


    Blanka Emmanuel


    Elizabeth Gupta


    Gloria Masangwa


    Florence Josephat


    Flora Mvungi


    Fay Antony


    Irene Salala


    Johari Abubakar



    Linda Kaaya


    Mariam Hajibu


    Nadya Ahmed


    Cecilia George


    Devotha Desdery


    Pendo Laizer


    Doris Godfrey


    Nasreem Karim



    Regina Julius


    Rona Swai


    Tahya Badru


    Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:

    Kichuguu Mdogo wa Kike

    Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

  2. #121
    JF Premium Member Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Location
    Popote Porini
    Posts
    4,717
    Thanks : 496
    Thanked 1,063 Times in 491 Posts
    Rep Power
    34

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Jamani,

    Nasreem alifanyaje huko kwenye mashindano ya Miss World? Niliangalia semi-fanal wala sikuona sura yake kabisa.
    Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

  3. #122
    JF Senior Expert Member Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough Baba Mkubwa will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Oct 2008
    Location
    LAPPEENRANTA
    Posts
    640
    Thanks : 512
    Thanked 179 Times in 127 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Quote Originally Posted by Kichuguu View Post
    Jamani,

    Nasreem alifanyaje huko kwenye mashindano ya Miss World? Niliangalia semi-fanal wala sikuona sura yake kabisa.
    Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!

    Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........

    Nini Kifanyike?????????????????
    Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani

  4. #123
    JF Senior Expert Member Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Oct 2007
    Posts
    2,006
    Thanks : 244
    Thanked 83 Times in 45 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Quote Originally Posted by Mbalawata View Post
    Ndugu yangu mambo si mambo, yale yale. Labda tutafute kocha wa kigeni aweze kuwafua wadada wetu!!!

    Je hatuna uwezo wa kung'ara miss world? Au tutakuwa tunaendelea na usemi wetu ule ule wa ........Kama Nancy..........

    Nini Kifanyike?????????????????
    Nasreem karibu nyumbani kumbuka nyumbani ni nyumbani
    Mbalawata narudia tena katika thread hii pia.... kocha wa kigeni ya nini? Kwani Flavian Matata na Odemba walikuwa na makocha wa kigeni?
    "It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin

  5. #124
    JF Senior Expert Member Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough Mtu B will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Dec 2008
    Posts
    649
    Thanks : 48
    Thanked 207 Times in 137 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.

  6. #125
    JF Senior Expert Member Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough Susuviri will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Oct 2007
    Posts
    2,006
    Thanks : 244
    Thanked 83 Times in 45 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Quote Originally Posted by Mtu B View Post
    Huyu mtoto Nasreem nasikia ugonjwa wake mkubwa ni wanaume walio 'well hung'. Akimwona mwanaume yeyote yule huwa anaangalia kwanza kwenye flaisi kwa makini, akiona dalili za 'hogo' kubwa anachanganyikiwa, hajiwezi kabisa! Wataalamu hapa wananiambia mtu mwenye shida hiyo hawezi ku-concentrate kwenye chochote na wengi huwa wanafeli masomo shuleni. Jina la ugonjwa ndio nimesahau, lakini ndio shida yake huyo mrembo.
    Wacha kumchafua msichana huyu! Si peke yake ambaye amechemka katika mashindano ya urembo and it is not entirely her fault! Maandalizi nayo hayakuwa mazuri!
    Lakini private life yake remains just that PRIVATE!
    "It is said that power corrupts, but actually it's more true that power attracts the corruptible." - David Brin

  7. #126
    Senior Member Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough Gelange Vidunda will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Aug 2008
    Posts
    202
    Thanks : 34
    Thanked 26 Times in 12 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Hivi huyu Flora Mvungi ndio yule anaye act na Dude kwenye kipindi "Bongo Darisalama"? Looks like her and episode ya jana naona katumia jina hilo hilo katika mpango wa kuwalaghai Takukuru.........Dude na watu wake bwana! Wanaleta burudani poa sana.

    Kama ni yeye, sikujua kwamba alikuwepo kwenye kinyang'anyiro cha Ms. Tanzania. I guess she is making some kind of steady paycheck acting on that show - at least kapata meaningful ajira.
    "Ili tuendelee tunahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora"
    Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa.

  8. #127
    JF Premium Member Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Location
    Popote Porini
    Posts
    4,717
    Thanks : 496
    Thanked 1,063 Times in 491 Posts
    Rep Power
    34

    Default Re: *Miss Tanzania 2008* Wengine walifika wapi?

    Je warembo wetu walifika wapi na wako wapi hivi sasa? Samahani kama nimekosea spelling za majina hapa na pale, nimejitahid kadri nilivyoweza kuyapata.



    1960: Carmen Lesley Woodcock



    1967: Theresa Shayo




    1994: Aina Maeda



    1995: Emily Adolph



    1996: Shose Sinare



    1997: Saida Kessy



    1998: Basila Mwanukuzi



    1999: Hoyce Temu



    2000: Jacqueline Ntuyabaliwe



    2001: Hapiness Magesse



    2002: Angela Damas



    2003: Sylivia Bahame



    2004: Faraja Kotta



    2005: Nancy Abraham Sumari



    2006: Wema Isaac Sepetu



    2007: Richa Maria Adhia



    2008: Nasreem Karim Ndiye
    Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

  9. #128
    JF Premium Member Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold Steve Dii is a splendid one to behold
    Join Date
    Mon Jun 2007
    Location
    Kihesa - Iringa
    Posts
    5,276
    Thanks : 1,186
    Thanked 719 Times in 342 Posts
    Rep Power
    154

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!

    Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

    Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



  10. #129
    JF Premium Member Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough Kichuguu will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Oct 2006
    Location
    Popote Porini
    Posts
    4,717
    Thanks : 496
    Thanked 1,063 Times in 491 Posts
    Rep Power
    34

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Quote Originally Posted by SteveD View Post
    Mwl. Kichuguu, jaribu kuwasiliana na bro Michuzi ana record na picha nyingi kuhusiana na warembo wa nchi yetu... itakuwa poa sana kama uta recompile list na kujumuisha hata washindi wa pili na watatu katika michuano!!
    Nadhani Michuzi naye ni mwanachama wa hapa, ama sivyo ningeshauri Max am-recruit kwani atakuwa resourceful sana.
    Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

  11. #130
    JF Senior Expert Member Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough Mfunyukuzi will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Jan 2009
    Location
    Here in Bongoland
    Posts
    1,946
    Thanks : 175
    Thanked 345 Times in 228 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Katika ma-miss wote mimi namkubali sana faraja Kota, she is beautiful, intelligent and she is very successiful married woman. Bravo girl!

  12. #131
    JF Senior Expert Member Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Jun 2007
    Location
    Nakahuga
    Posts
    2,304
    Thanks : 141
    Thanked 162 Times in 133 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: *Miss Tanzania 2008*

    Mi namkubali Hoyce Temu
    Nobody remain VIRGIN life FUCKS everyone

  13. #132
    Member moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Feb 2009
    Location
    mtwara municipal
    Posts
    24
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: *hello!

    just greetings!!!!!

  14. #133
    Member moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough moza will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Feb 2009
    Location
    mtwara municipal
    Posts
    24
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: *hello!

    Quote Originally Posted by moza View Post
    just greetings!!!!!
    i greet u!!!!


 
+ Reply to Topic
Page 7 of 7 FirstFirst ... 5 6 7

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts