Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 41
    1. #1
      issenye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      0

      Default Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii


      Na Erick Evarist
      Prodyuza ambaye pia ni msanii anayefanya vizuri kunako gemu la muziki wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ (pichani) amefunguka kuwa, yeye si shoga ila kazi yake ndiyo inamfanya awe kama alivyo.

      Akizungumza na na Ijumaa juzikati maeneo ya Magomeni jijini Dar es Salaam, Bob Junior alisema kuwa, baadhi ya watu wamekuwa wakimtafsiri tofauti kutokana na muonekano wake bila kujua kuwa, usanii ndiyo chanzo.

      Alisema kuwa, yeye ni mwanaume kamili na watu wasiende mbali katika kujadili muonekano wake na kumuingiza kwenye ushoga bali watathmini burudani anayotoa.

      “Watu wanashindwa kuelewa kama usanii ni kazi kama zilivyo kazi nyingine, lazima mtu uwe tofauti kuanzia muonekano, mavazi na hata staili yako ya kutoa burudani kwa mashabiki, kama ni shoga mbona hata leo tu nilikuwa na baby wangu?” alisema Bob Junior.

      Hivi karibuni gazeti dada na hili (Risasi Jumamosi) liliripoti kuwa, Bob Junior alibambwa maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian lakini wawili hao walipohojiwa hawakuweka wazi uhusiano wao licha ya huko nyuma kudaiwa kutoka kimapenzi.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      igwe sr.'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 413
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      apunguze uno la chumbani

    4. #22
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1429
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      wewe laini kabisaa wa kupeleka puani uliwe

    5. #23
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Toto linakata mauno hilo.
      Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji Mtekaji

    6. #24
      Tosha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 61
      Rep Power : 404
      Likes Received
      9
      Likes Given
      38

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      ana uwezo mzuri sana wa kukata mauno tatizo wakati mwingine nakatika out of beats halafu ni producer daaah!huwa anafanya makusidi au ndo anakuwa amenogewa?imashoga wachache sana ambao wameweza kukiri mbele ya kadamnasi kuwa wao ni mashoga so sio issue kukataa issue ukweli halisi ni upi?ukweli huo si rahisi kupata kwa kuulizwa na vyombo vya habari!Diamond na marafiki zake wa karibu wanajua ukweli wenyewe!msanii ni kuwa na identity lakini kwa Bob Junior amezidisha UREMBO namsihi azidishi UTANASHATI na siyo urembuaji wa macho au mambo ya makaroraiti(caro light)au mikorogo!

    7. #25
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,068
      Rep Power : 31811
      Likes Received
      5965
      Likes Given
      19435

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      madogo, ushamba unawatala, hawataki uasilia wanataka umarekani, mwisho mnaonekana kama wanawake.

    8. Miaka 50

    9. #26
      MSEMAHOVYO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 403
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

      H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

      Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

      Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

      Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.

    10. #27
      El Toro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Location : Here in Bongoland
      Posts : 5,053
      Rep Power : 1858
      Likes Received
      472
      Likes Given
      369

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      pure punga nukta
      Don't be a WOMAN that needs a man but the WOMAN a man needs



    11. #28
      mbweta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 544
      Rep Power : 536
      Likes Received
      55
      Likes Given
      1

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Mbona fally pupa anakatika lakin mwampenda.

    12. #29
      Hassani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 224
      Rep Power : 551
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By MSEMAHOVYO
      Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

      H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

      Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

      Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

      Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
      Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?
      duniani tunapita

    13. #30
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,724
      Rep Power : 947
      Likes Received
      432
      Likes Given
      199

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      kwa sababu wanapenda kumchafulia jina.

    14. #31
      data's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 2,094
      Rep Power : 853
      Likes Received
      363
      Likes Given
      315

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      mwatuharibia weekend zetu.... kawakosea nin msanii huyu... Wabara taabu sana.. umbeeeeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. mnaboaa

    15. #32
      data's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 2,094
      Rep Power : 853
      Likes Received
      363
      Likes Given
      315

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By Hassani
      Hao wote uliowataja wanakata viuno lakini hawajazushiwa ushoga,lakini huyu kazushiwa.Hapo ndo ujiulize ana nini cha ziada kilichowafanya mashabiki wamfikirie hvyo?
      stop that...pse... mwanaume kama wewe unaposhupalia kitu ambacho huna uhakika nacho waonekana wewe ndo "bwabwa"

    16. #33
      Hassani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 224
      Rep Power : 551
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By data
      stop that...pse... mwanaume kama wewe unaposhupalia kitu ambacho huna uhakika nacho waonekana wewe ndo "bwabwa"
      Hivi umenielewa nilichokiandika!!,au umeamua kunitukana tu ,kukaa nyuma ya computer kusikufanye ujihisi uko safe bro.
      duniani tunapita

    17. #34
      Easymutant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2010
      Posts : 1,072
      Rep Power : 669
      Likes Received
      152
      Likes Given
      68

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By MSEMAHOVYO
      Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?

      H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi.

      Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi?

      Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.

      Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
      Another SHOGA in making....!!!
      KISS-Keep It Simple Stupid.........[email protected]



    18. #35
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 590
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MSEMAHOVYO
      Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga? <br />
      <br />
      H Baba nae hivyo hivyo, je ni shoga? Fally Ipupa nae,j e ni SHOGA? Acheni kufuatilia maisha ya mtu kama mnapenda muziki pendeni muziki kama hampendi kazi zake mpotezeeni acheni kumfuatafuata katika maisha binafsi. <br />
      <br />
      Hata kama ni shoga yanawahusu? kuweni basi na nyinyi mashoga kama mnamuonea wivu, Elton John na wengine maarufu ni mashoga na wapo juu ile mbaya mbona hamsemi? <br />
      <br />
      Acheni hizo kwanza nafikiri hamjui nini maana ya sanaa au nini maana ya msanii ndio maaana mnakurupuka na kumpakazia Bob Junior. Bob Junior kama unisoma hii mzee nakushauri makamuzi ya viuno kwa kwenda mbele asiependa kazi zako na akupotezee sio lazima awe fan wako, hiyo ni sanaa na lazima msanii aheshimiwe kulingana na hisia na mawazo yake.<br />
      <br />
      Bob Junior be more concerned with your character than reputation, because a character is what really you are and reputation is what people think you are...wapotezeeeeeee.
      <br />
      <br />
      Kuna ukataji wa kishoga na kimuziki na ile karikiti pale kichwani karolait na ktk video yake na nuru ile ya Muhogo Andazi alijisifia eti si mashombeshombe sasa mnataka mpaka awaletee picha masaburi yake yaki***

    19. #36
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Barabuu siku hizi haendi nao Dubai hawa!

    20. #37
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,158
      Rep Power : 21614
      Likes Received
      13488
      Likes Given
      17788

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By shosti
      Barabuu siku hizi haendi nao Dubai hawa!
      siku hizi hali samaki nini?
      anakula bata labda lol
      shosti likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    21. #38
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1524
      Likes Received
      1422
      Likes Given
      1828

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      [QUOTE=The Boss;2399035]siku hizi hali samaki nini?
      anakula bata labda lol[/QUOTE
      nilisahau Dubai walibadili kitoweo!
      The Boss likes this.

    22. #39
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,337
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      648
      Likes Given
      498

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      jamaa anaongelea puani,uku anajilambalamba lips,jicho linalegezwa km kala kungu wacha tu watu wawe na mashaka,ata mi pia simwelewi kabisa haswa akikata kiuno chake taratiiiiibu na staili yake km anajibinua kidogo....

    23. #40
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default Re: Bob junior: Mimi siyo shoga, ni usanii

      Quote By MSEMAHOVYO
      Hata kama ni shoga yanawahusu?
      Wewe lazima ni hao hao, yaani unaona kijana mwenzako wa kitanzania kuingiziwa utumbo wa bata kwenye TUNDU LUSSU lake sio issue?

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Huu sasa siyo usanii ni ulimbukeni
      By misnomer in forum Jamii Photos
      Replies: 55
      Last Post: 16th December 2011, 16:15
    2. Usanii juu ya usanii; JK kukutana na vyama vyote
      By Ibrah in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 50
      Last Post: 24th November 2011, 20:23
    3. Junior Economist
      By Hercule Poirot in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 0
      Last Post: 11th July 2011, 13:52
    4. Replies: 0
      Last Post: 24th April 2011, 09:41
    5. Junior members:ni mtazamo tu
      By 22nd in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 31
      Last Post: 23rd March 2011, 07:25

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...