Naomba kwa mwana jf yoyote anayejua huyu msanii wa nyimbo za injili Jennifer Mgendi ni mtu wa wapi yaani asili yake ni mtu wa mkoa gani?yeyote anayemjua naomba anifahamishe.
Naomba kwa mwana jf yoyote anayejua huyu msanii wa nyimbo za injili Jennifer Mgendi ni mtu wa wapi yaani asili yake ni mtu wa mkoa gani?yeyote anayemjua naomba anifahamishe.
******
"A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)
Mnyiramba wa Singida.
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
eti unamuulizia mtu kabila lake, tena jf...ok, ushajibiwa au unataka na namba yake ya simu? ni pm
Ni Mchaga kutoka wilaya ya Hai Bomang'ombe.na wewe ni raia wa nchi gani naamini si Matanzania.
Ni Mndukulukudusucho wa kijijiji cha ujamaa Sagatukonzishewane
...........Nonsense.........mo ds futa huu uchafu..
"Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
"Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"
-----!
Unamtakia nini mke wa mtu? Ameolewa na watoto wawili, pengine kuna watatu maana ni muda mrefu sijaonana naye!!
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Follow Us Here