....Msanii wa Bongo fleva, Marlaw, jumamosi iliyopita alimuoa msanii mwenzake, Besta. kila la heri ktk maisha mapya ya ndoa
....NDANI YA JUMBA AKA SUTI KALI!
....KIDOLE CHA MARLAW KWA SASA KIKO BUSY...PETE YA NDOA....!
....Msanii wa Bongo fleva, Marlaw, jumamosi iliyopita alimuoa msanii mwenzake, Besta. kila la heri ktk maisha mapya ya ndoa
....NDANI YA JUMBA AKA SUTI KALI!
....KIDOLE CHA MARLAW KWA SASA KIKO BUSY...PETE YA NDOA....!
Ishu hii ilifanyikia Arusha, na ilikuwa nzuri sana!~
Bado nawashangaa waandaaji ambao walikuwa wachache sana, lakini walifanya kitu kilichoenda shule, na kwa hakika kitabakia kwenye kumbukumbu za wengi kwa muda mwingi ujao!
Tunawatakia kila la heri katika maisha yao mapya!
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
What a man is, survives him... it can never be buried"
(GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
[email protected]
Mhhhh, Marlow Besta anafugika kweli?
Naomba Mungu awajalie maisha mema yasio na vikwazo manake kuoana wote masupastaa bongo iahitaji moyo na pesa isiyokauka mfukoni.
Mungu awatangulie maishani..
Fikiria kwa u-makini...!
Picha Zaidi Please....
Live Life so Well That even Death Loves to see you Alive.
Hongera zao!!Sasa mbona picha za bibi harusi akimeremeta hamna?
Back to reality......
If it’s a broken part, replace it. If it’s a broken arm then brace it. If it’s a broken heart, then face it.
Aika Rua!
Ni nani hawa mmarusi?.
A wise man once told me, luck isn't some mystical energy that dances around the universe randomly bestowing people with safisfaction and joy..you creat your own luck.
safi sana mtapata familia iliyokatika misingi alali ambayo mungu anataka
MUNGUWANGU awape maisha ya uaminifu wa kweli
Picha zaidi pliiiiz!
I'm teaching fools some basic rules...
Kuna mtu mmoja humu JF namlaumu daima kwa kunibania huyu totozi back then.....poa tu
marlaw atafaid sana nyonga ile
Hongereni sana maharusi
Mungu awatangulia muwe mfano kwa maceleb wenzenu
LOVE is a flower, and YOU,its only seed
Mjukuu Mtiifu, 2012.
Hongera sana Marlaw na Besta, Mungu awabariki na mipango yenu, ngoja tuwapishe njia
Samahani sana Wajamani.
Mie huyu jamaa huwa namkumbuka kwa wimbo huu tu hapa chini.....
Sidhani kama ntakuwa FAN wake tena..............
Nina imani WATAMCHAKACHUA na yeye ili awajue CCM ni nini......
Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).
Follow Us Here