Celebrities ForumMazuri na Vimbwanga vya wakubwa: Rais, Mawaziri, Wabunge, Wafanyabiashara wakubwa n.k (Public Figures in general) The right place for celebrity enthusiast!
Knowing how IKULU wanavyoiogopa Internet kama UKOMA i am 100% kuwa SALVA RWEYEMAMU hana mkono kwenye hili. I cant wait kuona watakavyoifunga hii face book page ya JK.
ngoshwe
Today is Tomorrow u feared about Yesterday!
JF Senior Expert Member
Join Date: Tue Mar 2009
Location: everywhere suits a man
Posts: 725
Thanks: 19
Thanked 219 Times in 145 Posts
Rep Power: 22
Re: Facebook page ya JK
Fun page sio profile, sawa!, yawezekana wengine wakawa wanai administer na isiwe yeye nk (sawa), Lakini je, mwenyewe anajua kuwa kuan FB yake ipo active kuliko Tovuti ya Taifa wala Blogu ya Ikulu yake?
__________________ "Life is not measured by the breaths we take, but by the moments that take our breath away, Keep smiling, it makes people wonder what you're up to."
Ni Njia nzuri ya kufanyia kampeni pia!....technology everywhere watu than kutegemea tv na radio!...watu siku hizi wana spend time online...smart Move mr President...i am your number one supporter!...Bravooo!..tena ngoja niombe friend request!....
samahani bint Maringo, hako kapicha kako mmmhhh, unaweza kunitumia hiyo picha ikiwa kwenye ukubwa wake halisi?
Kuwa kwenye Facebook best ni kitu cha kawaida manake ni mtandao wa jamii. Watu wengi mashuhuri wako ndani ya facebook. Kina Papa Benedict vi, Obama, jaques shirak. Tatizo ni kuandika data za uongo eti yuko kwenye relationship na Mama salma,ni kweli lakini nini uhakika anao wengi!
Sio mbaya at all si naye ni human being na yapo yanayomsibu kibinaadamu, pia kuchati na jamaa zake walokuwa wakiruka dansi la sikinde enzi hizo, jamaa zake wa bwagamoyo pindi wakiwinda kanga na hata walipokuwa wakila embe! yah! its good for a president of kizazi kipya to do what kizazi kipya believe in! but he must handle it with care coz he is the president but obviously his care is at mult maximum, no worry Jk just jirelease!