Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!
  • Sticky
M's Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa) Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache. Kwani...
13 Reactions
151 Replies
150K Views
  • Sticky
Amri Athuman’ King Majuto’ alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini, Tanga, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 9 akiigiza katika majukwaa Mzee Majuto maarufu kama King...
30 Reactions
258 Replies
239K Views
Comeback aliyopiga huyu mwamba haijawahi kutokea kwenye historia ya filamu nchini India. Pathan & Jawan zimewaka all time records za mauzo Bollywood, na cha hatari zaidi kuna na filamu nyengine...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa...
23 Reactions
485 Replies
29K Views
Baada ya kustaafu kutoka kwa tasnia ya filamu za watu wazima mnamo 2015, Mia Khalifa aliingia kwenye uhusiano, akachumbiwa, akaolewa, akatalikiana, akawa mwanamke, mkufunzi wa masuala kazi...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye...
21 Reactions
81 Replies
19K Views
In the vibrant and ever-evolving Nigerian music industry, new talents constantly emerge, captivating audiences with their unique sounds and fresh perspectives. One such rising star is Ayra Starr...
1 Reactions
2 Replies
112 Views
MIMI NDIO TAJIRI WATOTO WANGU WATAFUTE PESA ZAO Nyota wa zamani wa #NBA , #ShaquilleRashaunO'Neal amewachana watoto wake sita kuwa Pesa alizonazo na Utajiri alionao sio wao bali ni wa kwake hivyo...
12 Reactions
56 Replies
1K Views
Mwanatasnia maarufu Kutoka India Sophia Leone miaka 26 ameripotiwa kukutwa amefariki dunia nyumbani kwake, uku chanzo halisi Cha kifo chake kikiwa bado hakijafahamika kutoka kwenye mamlaka...
14 Reactions
211 Replies
11K Views
Msanii aliyetamba na ngoma ya Imekaa vibaya na Tumbo joto , Abdul Miraj maarufu kama Kali P amesema hataki tena kusikia masuala ya Muziki . Kali P amesema ameamua Kumrudia Muumba wake na sasa...
20 Reactions
62 Replies
2K Views
Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭 why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
4 Reactions
27 Replies
535 Views
Aliyekuwa Muigizaji maarufu video za ngono (pornography) Elisa Sanches ameacha rasmi kazi hiyo na kuamua kuwa mwamuzi wa Mchezo wa mpira wa miguu nchini Brazil. Mwamuzi Huyo kwa Sasa anaishi...
3 Reactions
10 Replies
650 Views
High school graduate, 17, climbing without ropes falls to his death in Colorado after posting a FINAL Instagram selfie A 17-year-old high school graduate died while out rock climbing in Colorado...
2 Reactions
1 Replies
201 Views
Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi. Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa. Sound hii unayoiskia leo ya...
9 Reactions
77 Replies
2K Views
Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke. Amesema kwa sasa yupo na Pacome. Tumuombee arudiane na mkewe.
27 Reactions
307 Replies
17K Views
Habari zenu. Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi. Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari wanajamii forum wote. Hii ni kwa wake wapenzi wa edm music. Kwa wafuatiliaji wa muziki huo nadhani mtakuwa mnakubaliana na Mimi kuwa Martin Garrix ndiye dj anayekimbiza zaidi kwa Sasa...
9 Reactions
59 Replies
1K Views
STILL D.R.E - Ufundi wa Mikono ya Jay Z unaoishi tangu 1999 mpaka leo #UZI Tar. 13 Feb 2022 ilifanyika fainali ya American Football maarufu km Super Bowl kati ya Los Angeles Rams na Cincinnati...
39 Reactions
77 Replies
7K Views
Habari wanaJF. Ukweli ni kwamba vyuo vikuuu na vyuo vingine vimekuwa vikitambua na kuwatunuku PhD katika kutoa huduma fulani katika jamii. Lakini Kuna nguli wa Utangazaji na Mwana...
3 Reactions
24 Replies
398 Views
Bilionea Ned Nwoko kutoka nchini Nigeria amesema huwa hafungi ndoa na Mwanamke ambaye sio bikra. Bilionea huyo hadi sasa ana wake 6 anaishi nao wote hadi sasa. Maneno hayo alitamka kwenye...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom