Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 12:36 PM   #1 (permalink)
Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Alnadaby Alnadaby is offline 19th November 2008, 12:36 PM

Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za hawa wasomi kuwa watu wa vitabu,data,laptop,kuendesha semina n.k lakini wakawa dhaifu inapofika suala la kutajirika,kuwa na mamlaka na kujiamini.
Mfano ni fundi viatu wa miaka ya sitini Said Salim Bakhressa maarufu kwa ice cream na bidhaa tofauti hapa nchini.AU hata Billy Gates..aliyekimbia shule akiwa grade 10...na sasa ni mmoja ya matajiri wakubwa duniani.List yao ni ndefu...kina Ford..n.k.

Je ni kitu gani cha ziada ambacho wasiokuwa na elimu ya juu...walichonacho hadi wakafanikiwa katika malengo yao,ambacho hakipatikani kwa wenye Phd..n.k?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.

Alnadaby
JF Senior Expert Member
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 416
Thanks: 206
Thanked 155 Times in 103 Posts
Views: 1265
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Alnadaby For This Useful Post:
LazyDog (20th November 2008)
  #2 (permalink)  
Old 19th November 2008, 12:44 PM
Next Level's Avatar
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 1,139
Thanks: 465
Thanked 576 Times in 341 Posts
Rep Power: 23
Next Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud of
Credits: 2,691,903
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Kwanza kitu cha msingi hapo mheshimiwa tafuta a global definition ya MAFANIKIO or SUCCESS.......lakini kwa taarifa yako kila mmoja hapa anaweza kuja na definition yake tofauti na mwingine. So muhimu, tukubaliane kwanza katika jamii, Mafanikio or success ni nini na je, ni wakati gani utasema mtu fulani kafanikiwa? je ni kwa kuwa na majumba, mihela, magari,mademu bomba, cheo kikubwa, mcha Mungu etc ......halafu endelea from there!
__________________
CHANGIA JF: MKONO MTUPU HAULAMBWI- SIKONGE
Reply With Quote
  #3 (permalink)  
Old 19th November 2008, 01:12 PM
Alnadaby has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 416
Thanks: 206
Thanked 155 Times in 103 Posts
Rep Power: 23
Alnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud of
Credits: 956,325
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
Reply With Quote
  #4 (permalink)  
Old 19th November 2008, 01:30 PM
Mambo Jambo has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Fri Jul 2008
Posts: 391
Thanks: 72
Thanked 170 Times in 107 Posts
Rep Power: 21
Mambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud ofMambo Jambo has much to be proud of
Credits: 538,760
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
Alnadaby;324342]Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?[/I]
Kama lengo lake lilikuwa ni kupata PHD na akapata hiyo PHD na baadaye ukakutana nae na laptop yake huku akiendesha semina hapo utasemaje...

Kwa kuwa lengo lake halikuwa kuja kuwa na fedha nyingi, lengo lake lilikuwa ni kupata PHD, na sasa ana PHD anaishi mlimani uni ana-pick-up 4WD iliyochoka na Ngome wawili wa maziwa, hapo utasemaje, kwa kuwa lengo lake lilikuwa ni kupata PDH na sasa anayo.

WHAT'S SUCCESS FROM YA POINT OF VIEW....au ni success ya Jay-Z kwenye american gangsta.

Twende kazi.
MJ
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Mambo Jambo For This Useful Post:
Next Level (19th November 2008), WomenofSubstanc (19th November 2008)
  #5 (permalink)  
Old 19th November 2008, 01:30 PM
Next Level's Avatar
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 1,139
Thanks: 465
Thanked 576 Times in 341 Posts
Rep Power: 23
Next Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud ofNext Level has much to be proud of
Credits: 2,691,903
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?
That's very simple brother! baada ya kumaliza chuo niliweka malengo ya kupat ajira yenye angalau mshahara wa laki mbili hivi....nikapata zaidi ya hapo, lakini uhalisia wake mpaka sasa najiona sijafanikiwa in life eti kwa kupata more than 200k! nataka nikwambie, ask hao mabilionea wakwambie kama wanaona wanamafanikio, kama sio wewe ndo unaona wanamafanikio! Mi nafikiri mafanikio ya mtu hasa yatapimwa na recognition yake kwenye jamii, how does someone brands himself/herself mbele ya jamii! Kwa mfano, watu kama Mwl. Nyerere, mi naweza sema he was a very successiful man in Tz etc...hizi material things ni vitu vya ziada tu mkuu!

That's ma views mkuu
__________________
CHANGIA JF: MKONO MTUPU HAULAMBWI- SIKONGE
Reply With Quote
  #6 (permalink)  
Old 19th November 2008, 01:52 PM
Invisible's Avatar
Invisible around but busy!
Robot
 
Join Date: Sun Jan 2004
Location: Here...!
Posts: 4,217
Thanks: 1,769
Thanked 7,181 Times in 1,795 Posts
Rep Power: 100000
Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!Invisible is one of most respected JF members!
Credits: 2,673,494,124
Send a message via MSN to Invisible
Default

Kumradhi wakuu,

Naomba hii topic niiepeleke katika jukwaa la wajasiliamali...!
__________________
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako!

Thank you for supporting JF! <-----(click if you wanna support us)
Waliochangia 2009:
(click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF (click to read)


Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Invisible For This Useful Post:
LazyDog (20th November 2008)
  #7 (permalink)  
Old 19th November 2008, 02:06 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo :A friend to everyone
JF Founder
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,655
Thanks: 316
Thanked 776 Times in 279 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud of
Credits: 909,602,550
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Mimi nadhani kabla sijaandika sana jaribu kuitafakari signature yangu kisha nitarudi na maelezo kidogo tu yanayoendana na hiyo slogan chini.
__________________
Welcome to JF Phase II...




Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Web: www.maxence.co.tz
Reply With Quote
  #8 (permalink)  
Old 19th November 2008, 02:10 PM
Alnadaby has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 416
Thanks: 206
Thanked 155 Times in 103 Posts
Rep Power: 23
Alnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud of
Credits: 956,325
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
That's very simple brother! baada ya kumaliza chuo niliweka malengo ya kupat ajira yenye angalau mshahara wa laki mbili hivi....nikapata zaidi ya hapo, lakini uhalisia wake mpaka sasa najiona sijafanikiwa in life eti kwa kupata more than 200k! nataka nikwambie, ask hao mabilionea wakwambie kama wanaona wanamafanikio, kama sio wewe ndo unaona wanamafanikio! Mi nafikiri mafanikio ya mtu hasa yatapimwa na recognition yake kwenye jamii, how does someone brands himself/herself mbele ya jamii! Kwa mfano, watu kama Mwl. Nyerere, mi naweza sema he was a very successiful man in Tz etc...hizi material things ni vitu vya ziada tu mkuu!

That's ma views mkuu
Natafuta ni kitu gani kilichomfanya mtu kama Henry Ford wa kwanza kufanikiwa katika kutengeneza gari na hadi kufikia karne hii magari ya Ford yakawa bado yapo.Jamii imtambue isimtambue kama kafanikiwa au la...yale magari yake ndiyo yanayodhirisha kufaulu kwake katika maisha yake na ndiyo yanayomfanya awe successiful na kutambulika baadaye kwa jamii.Achievement yake ilikuja kutambulika na jamii baadaya ya yeye binafsi ku triumph.

Kuweka malengo ya kupata ajira ya mshahara wa laki mbili,hayo hayakuwa malengo halisi bali simple wish.Lengo halisi ni kuwa na burning desire ili kupata mafanikioa in a life time si temporary wish kama hiyo ya mshahara.

Hilo la Nyerere kuwa successiful man..mimi silitambui.Success inaanzia nyumbani kwenye level ya family.Cheki familia yake utajua naotaka kusema nini.Nyerere as a man was never successiful.Alitaka kujenga Taifa la kiujamaa...where is that?Kama Rais hakuwa successiful kabisa!Mimi nataka kujua kwa nini Professor Machunda hakujenga hata kibanda...cha maana huko Ukerewe lakini mtu kama Mwita Gachuma ni tajiri mkubwa.Education ya Machunda ilikuwa na maana gani?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
Reply With Quote
  #9 (permalink)  
Old 19th November 2008, 02:15 PM
Alnadaby has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 416
Thanks: 206
Thanked 155 Times in 103 Posts
Rep Power: 23
Alnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud ofAlnadaby has much to be proud of
Credits: 956,325
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Mimi nadhani kabla sijaandika sana jaribu kuitafakari signature yangu kisha nitarudi na maelezo kidogo tu yanayoendana na hiyo slogan chini.
Nimeiona hiyo slogan mkuu.Sasa nasubiri mchango wako.Na wewe ni risk taker au..?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
Reply With Quote
  #10 (permalink)  
Old 19th November 2008, 02:35 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo :A friend to everyone
JF Founder
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,655
Thanks: 316
Thanked 776 Times in 279 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud ofMaxence Melo has much to be proud of
Credits: 909,602,550
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Nimeiona hiyo slogan mkuu.Sasa nasubiri mchango wako.Na wewe ni risk taker au..?
Mkuu mimi naamini hivyo tu na daima nasimama katika slogan hiyo.

Sina ufanisi mkubwa katika maisha, lakini kuna mambo naweza eleza ama tunaweza kushirikishana.

Sipendi kuandika mengi sana kwa mkupuo lakini ningependa twende kwa njia ya mjadala.

Nianze kwa kusema kuwa ufanisi wowote unatokana na dhamira.

Watu wengi wana dhamira lakini dhamira zao si thabiti. Wakidhamiria jambo basi katikati wanaingiza mambo. Ukichanganya mambo mawili wakati mmoja haijalishi wewe ni Genius kiasi gani bado utaharibu sehemu moja tena uombee sehemu hiyo isiwe ile ambayo ndiyo ingekuinua.

Ni ukweli mwingine usiopingika kuwa dhamira yoyote inahitaji kujitoa. Hapo ndipo inaposimama slogan yangu. Maisha bila kuchukua risk hayafai hata kuishi!

Ni kweli; ukiwa na elimu nzuri basi maisha ya kati unaweza kuyaishi. Yani yale maisha ya kupata walau milioni mbili (pesa ya kitanzania) kwa mwezi na kuwa na uhakika wa watoto kula na kusoma shule za kawaida (bila ufisadi) na kijigari chako cha kutokea utakuwa nayo.

Wasomi wengi hawako tayari ku-risk, na walio-risk! Huwa sijui sababu nyuma ya hili lakini ukweli ni kwamba wengi wao wanaridhika na hali walizofikia na labda wanaogopa sana kuchafua CV zao. Ni wachache wenye kuthubutu! Hawa ni wazuri kwa maneno na wanaweza hata kuwa daraja la wale wenye uwezo wa kuthubutu kufanikiwa. Hawa huweza hata kuwapa mbinu za biashara wale wenye kuthubutu na kujikuta wanabakia na nafasi ya 'Consultants' (washauri?).

Wale wenye elimu za kati huwa wanajaribu kila jambo. Lile ambalo wanaona linawezekana hulipangia mikakati ya namna ya kulifanikisha na endapo wanadhamiria kabisa kufanikisha basi hufanikisha.

Nifupishe kwa sasa, niache nafasi ya wengine au hata mwanzisha mada kuongea ili twende sawa. Kama ni vitabu vya kusoma juu ya haya naweza kuwaletea lakini kwanza mada ikolee...
__________________
Welcome to JF Phase II...




Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Web: www.maxence.co.tz
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Maxence Melo For This Useful Post:
Alnadaby (19th November 2008), Mambo Jambo (20th November 2008), WomenofSubstanc (19th November 2008), Yo Yo (19th November 2008)
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea Maxence Melo Jukwaa la Siasa 3062 17th May 2009 11:13 AM
Nchi imeuzwa Mtanzania Jukwaa la Siasa 83 9th September 2008 04:22 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari/Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 01:29 PM
Je,hatujengi Ukabila Kwa Kila Mtu Kwenda Kulongea Kwao? Pezzonovante Jukwaa la Siasa 5 27th May 2008 07:58 PM
Ripoti ya Richmond Bungeni John Mnyika Jamii Intelligence 309 19th March 2008 08:00 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:05 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

no new posts