 |
 |

19th November 2008, 12:36 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 345
Rep Power: 23
Thanks: 197
Thanked 123 Times in 82 Posts
|
|
Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za hawa wasomi kuwa watu wa vitabu,data,laptop,kuendesha semina n.k lakini wakawa dhaifu inapofika suala la kutajirika,kuwa na mamlaka na kujiamini.
Mfano ni fundi viatu wa miaka ya sitini Said Salim Bakhressa maarufu kwa ice cream na bidhaa tofauti hapa nchini.AU hata Billy Gates..aliyekimbia shule akiwa grade 10...na sasa ni mmoja ya matajiri wakubwa duniani.List yao ni ndefu...kina Ford..n.k.
Je ni kitu gani cha ziada ambacho wasiokuwa na elimu ya juu...walichonacho hadi wakafanikiwa katika malengo yao,ambacho hakipatikani kwa wenye Phd..n.k?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
|
|
The Following User Says Thank You to Alnadaby For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 12:44 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 126
Rep Power: 21
Thanks: 86
Thanked 42 Times in 28 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Kwanza kitu cha msingi hapo mheshimiwa tafuta a global definition ya MAFANIKIO or SUCCESS.......lakini kwa taarifa yako kila mmoja hapa anaweza kuja na definition yake tofauti na mwingine. So muhimu, tukubaliane kwanza katika jamii, Mafanikio or success ni nini na je, ni wakati gani utasema mtu fulani kafanikiwa? je ni kwa kuwa na majumba, mihela, magari,mademu bomba, cheo kikubwa, mcha Mungu etc ......halafu endelea from there!
__________________
I'M NOT IN COMPETITION WITH ANYBODY BUT MYSELF...... .... MY GOAL IS TO BEAT MY LAST PERFORMANCE - BILL GATES
|

19th November 2008, 01:12 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 345
Rep Power: 23
Thanks: 197
Thanked 123 Times in 82 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
|

19th November 2008, 01:30 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Jul 2008
Posts: 267
Rep Power: 21
Thanks: 54
Thanked 133 Times in 78 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Quote:
|
Originally Posted by [I
Alnadaby;324342]Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?[/i]
|
Kama lengo lake lilikuwa ni kupata PHD na akapata hiyo PHD na baadaye ukakutana nae na laptop yake huku akiendesha semina hapo utasemaje...
Kwa kuwa lengo lake halikuwa kuja kuwa na fedha nyingi, lengo lake lilikuwa ni kupata PHD, na sasa ana PHD anaishi mlimani uni ana-pick-up 4WD iliyochoka na Ngome wawili wa maziwa, hapo utasemaje, kwa kuwa lengo lake lilikuwa ni kupata PDH na sasa anayo.
WHAT'S SUCCESS FROM YA POINT OF VIEW....au ni success ya Jay-Z kwenye american gangsta.
Twende kazi.
MJ
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Mambo Jambo For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 01:30 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 126
Rep Power: 21
Thanks: 86
Thanked 42 Times in 28 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Quote:
Originally Posted by Alnadaby
Mafanikio ya mtu ni pale anapofikia lengo lake,anapokipata alichokuwa akikitaka.Kama lengo lengo lake katika maisha ni kuwa fundi mchundo basi akifaulu hapo anakuwa amefanikiwa.
Unapoweka lengo la kuwa bilionea ukawa hivyo basi hapo utakuwa umefanikiwa.Simple au vipi?
|
That's very simple brother! baada ya kumaliza chuo niliweka malengo ya kupat ajira yenye angalau mshahara wa laki mbili hivi....nikapata zaidi ya hapo, lakini uhalisia wake mpaka sasa najiona sijafanikiwa in life eti kwa kupata more than 200k! nataka nikwambie, ask hao mabilionea wakwambie kama wanaona wanamafanikio, kama sio wewe ndo unaona wanamafanikio! Mi nafikiri mafanikio ya mtu hasa yatapimwa na recognition yake kwenye jamii, how does someone brands himself/herself mbele ya jamii! Kwa mfano, watu kama Mwl. Nyerere, mi naweza sema he was a very successiful man in Tz etc...hizi material things ni vitu vya ziada tu mkuu!
That's ma views mkuu
__________________
I'M NOT IN COMPETITION WITH ANYBODY BUT MYSELF...... .... MY GOAL IS TO BEAT MY LAST PERFORMANCE - BILL GATES
|

19th November 2008, 01:52 PM
|
 |
Robot
|
|
Join Date: Sun Jan 2004
Location: Africa, Europe, America & Asia
Posts: 2,269
Rep Power: 100000
Thanks: 1,316
Thanked 4,527 Times in 1,168 Posts
|
|
Kumradhi wakuu,
Naomba hii topic niiepeleke katika jukwaa la wajasiliamali...!
|
|
The Following User Says Thank You to Invisible For This Useful Post:
|
|

19th November 2008, 02:06 PM
|
 |
JF Founder
|
|
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,245
Rep Power: 100000
Thanks: 238
Thanked 442 Times in 161 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Mimi nadhani kabla sijaandika sana jaribu kuitafakari signature yangu kisha nitarudi na maelezo kidogo tu yanayoendana na hiyo slogan chini.
__________________
A Life Without Risk Is Not Worth Living!

Contact me: +255713444649 or Email me
|

19th November 2008, 02:10 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 345
Rep Power: 23
Thanks: 197
Thanked 123 Times in 82 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Quote:
Originally Posted by Next Level
That's very simple brother! baada ya kumaliza chuo niliweka malengo ya kupat ajira yenye angalau mshahara wa laki mbili hivi....nikapata zaidi ya hapo, lakini uhalisia wake mpaka sasa najiona sijafanikiwa in life eti kwa kupata more than 200k! nataka nikwambie, ask hao mabilionea wakwambie kama wanaona wanamafanikio, kama sio wewe ndo unaona wanamafanikio! Mi nafikiri mafanikio ya mtu hasa yatapimwa na recognition yake kwenye jamii, how does someone brands himself/herself mbele ya jamii! Kwa mfano, watu kama Mwl. Nyerere, mi naweza sema he was a very successiful man in Tz etc...hizi material things ni vitu vya ziada tu mkuu!
That's ma views mkuu
|
Natafuta ni kitu gani kilichomfanya mtu kama Henry Ford wa kwanza kufanikiwa katika kutengeneza gari na hadi kufikia karne hii magari ya Ford yakawa bado yapo.Jamii imtambue isimtambue kama kafanikiwa au la...yale magari yake ndiyo yanayodhirisha kufaulu kwake katika maisha yake na ndiyo yanayomfanya awe successiful na kutambulika baadaye kwa jamii.Achievement yake ilikuja kutambulika na jamii baadaya ya yeye binafsi ku triumph.
Kuweka malengo ya kupata ajira ya mshahara wa laki mbili,hayo hayakuwa malengo halisi bali simple wish.Lengo halisi ni kuwa na burning desire ili kupata mafanikioa in a life time si temporary wish kama hiyo ya mshahara.
Hilo la Nyerere kuwa successiful man..mimi silitambui.Success inaanzia nyumbani kwenye level ya family.Cheki familia yake utajua naotaka kusema nini.Nyerere as a man was never successiful.Alitaka kujenga Taifa la kiujamaa...where is that?Kama Rais hakuwa successiful kabisa!Mimi nataka kujua kwa nini Professor Machunda hakujenga hata kibanda...cha maana huko Ukerewe lakini mtu kama Mwita Gachuma ni tajiri mkubwa.Education ya Machunda ilikuwa na maana gani?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
|

19th November 2008, 02:15 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 345
Rep Power: 23
Thanks: 197
Thanked 123 Times in 82 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Quote:
Originally Posted by Maxence Melo
Mimi nadhani kabla sijaandika sana jaribu kuitafakari signature yangu kisha nitarudi na maelezo kidogo tu yanayoendana na hiyo slogan chini.
|
Nimeiona hiyo slogan mkuu.Sasa nasubiri mchango wako.Na wewe ni risk taker au..?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
|

19th November 2008, 02:35 PM
|
 |
JF Founder
|
|
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,245
Rep Power: 100000
Thanks: 238
Thanked 442 Times in 161 Posts
|
|
Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Quote:
Originally Posted by Alnadaby
Nimeiona hiyo slogan mkuu.Sasa nasubiri mchango wako.Na wewe ni risk taker au..?
|
Mkuu mimi naamini hivyo tu na daima nasimama katika slogan hiyo.
Sina ufanisi mkubwa katika maisha, lakini kuna mambo naweza eleza ama tunaweza kushirikishana.
Sipendi kuandika mengi sana kwa mkupuo lakini ningependa twende kwa njia ya mjadala.
Nianze kwa kusema kuwa ufanisi wowote unatokana na dhamira.
Watu wengi wana dhamira lakini dhamira zao si thabiti. Wakidhamiria jambo basi katikati wanaingiza mambo. Ukichanganya mambo mawili wakati mmoja haijalishi wewe ni Genius kiasi gani bado utaharibu sehemu moja tena uombee sehemu hiyo isiwe ile ambayo ndiyo ingekuinua.
Ni ukweli mwingine usiopingika kuwa dhamira yoyote inahitaji kujitoa. Hapo ndipo inaposimama slogan yangu. Maisha bila kuchukua risk hayafai hata kuishi!
Ni kweli; ukiwa na elimu nzuri basi maisha ya kati unaweza kuyaishi. Yani yale maisha ya kupata walau milioni mbili (pesa ya kitanzania) kwa mwezi na kuwa na uhakika wa watoto kula na kusoma shule za kawaida (bila ufisadi) na kijigari chako cha kutokea utakuwa nayo.
Wasomi wengi hawako tayari ku-risk, na walio-risk! Huwa sijui sababu nyuma ya hili lakini ukweli ni kwamba wengi wao wanaridhika na hali walizofikia na labda wanaogopa sana kuchafua CV zao. Ni wachache wenye kuthubutu! Hawa ni wazuri kwa maneno na wanaweza hata kuwa daraja la wale wenye uwezo wa kuthubutu kufanikiwa. Hawa huweza hata kuwapa mbinu za biashara wale wenye kuthubutu na kujikuta wanabakia na nafasi ya 'Consultants' (washauri?).
Wale wenye elimu za kati huwa wanajaribu kila jambo. Lile ambalo wanaona linawezekana hulipangia mikakati ya namna ya kulifanikisha na endapo wanadhamiria kabisa kufanikisha basi hufanikisha.
Nifupishe kwa sasa, niache nafasi ya wengine au hata mwanzisha mada kuongea ili twende sawa. Kama ni vitabu vya kusoma juu ya haya naweza kuwaletea lakini kwanza mada ikolee...
__________________
A Life Without Risk Is Not Worth Living!

Contact me: +255713444649 or Email me
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Maxence Melo For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 11:12 AM.
|
 |