 |
 |

22nd October 2008, 11:11 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Dec 2007
Posts: 60
Rep Power: 22
Thanks: 0
Thanked 41 Times in 11 Posts
|
|
Tanzania's GDP: Hivi tunajua hili?
Hivi leo duniani kuna takriban nchi 231 duniani. Kiuchumi, Tanzania, Malawi, Gaza Strip, Sierra Leone, Somalia na East Timor ndio nchi sita hoibintaaban za mwisho ulimwenguni.
Hadi kufikia sasa katika nchi yetu ilipofikia ni sawa Gaza Strip ya Wapalestina ilipo? Sisi , Gaza na Malawi wote tuna GDP per capita ya dola 600 za Kimarekani. Waliopo chini yetu ni nchi zilizoathirika sana na vita na misukosuko ya kijamii nazo ni Somalia, Sierra Leone na East Timor. Sierra Leone na East Timor baada ya mwaka huu, hata hivyo, lazima ziwe juu yetu kwa hiyo nchi itakayokuwa ya mwisho kabisa itakuwa ni Somalia ikifuatiwa na Tanzania. Tujiulize ni wapi tulipokosea, tunapokosea na tutakapoendelea kukosea? Ya kwamba pamoja na kugundulika utajiri mkubwa wa dhahabu na madini mengine hali ya Watanzania ndio imezidi kuwa mbaya kuliko ya watu wote duniani isipokuwa Somalia.
Unataka ushahidi nenda hapa:
World Facts and Figures - GDP per capita by country
|
|
The Following 11 Users Say Thank You to Iga For This Useful Post:
|
Ibrah (22nd October 2008), korosho (22nd October 2008), Lusajo (31st October 2008), MwalimuZawadi (22nd October 2008), Mwikimbi (23rd October 2008), Mzee Mwanakijiji (23rd October 2008), njoomloli (9th December 2008), Pasco (22nd October 2008), Richard (5th December 2008), Rwabugiri (22nd October 2008), selemala (21st November 2008) |

22nd October 2008, 11:44 AM
|
|
Member
|
|
Join Date: Thu Aug 2008
Posts: 40
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 14 Times in 6 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
INATISHA. Lakini li nchi lenyewe jingakubwa utafanyaje hadi liamke hili lidude kweli? Mimi nikizungumza na wenzangu naona kama vile hawanielewi.
Angalia baadhi ya vijinshi eti kama Gaza ni kama 1 ya 10 ya mkoa wa Pwani sasa tusipogeuza mikoa yetu maeneo ya kiuchumi na kijamii inayojitegemea na kuingiza ushindani wa kiuchumi kati ya mkoa na mkoa hivi k weli tutafika?
Sidhani. Jamani decentralization ije-mikoa iwe kama nchi ili itajirike na kuwaondoa wananchi wake kutoka kwenye lindi la umasikini wa kutia aibu duniani. Kisha delegation of authority toka kwa mzee ili Wakuu wa mikoa wawe magavana na wafanye vitu vyao kwa kudhibitiwa na serikali kuu.
Aidha mawaziri wabaki wachache lakini wanaofanya kazi zinazoonekana na kuhitajika na sio k uibebesha jamii mzigo wa mawizara yote hayo lakini yanaharibu zaidi kazi badala ya kufanya mambo yawe nafuu na bora zaidi kwa walipa kodi na wananchi wote kwa ujumla!
|

22nd October 2008, 12:09 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Feb 2008
Posts: 250
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 121 Times in 79 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
GDP kisiwe kipimo pekee cha kusema nchi gani ni tajiri zaidi duniani na nchi gani ni masikini wa kutupa.
Watu wa development studies wana kitu wanaita INDICATORS OF DEVELOPMENT,ambayo ina vitu vingi ma hiyo GDP ikiwa ni kasehemu tu ambavyo kwa pamoja ndivyo vinapima uwezo wa kimaendeleo wa nchi tofauti.
Kuna vitu kama huduma za kijamii kwa mfano shule,hospitali,zahanati,maji safi na salama,kuna walimu wangapi katika nchi,uwiano wa madaktari na wagonjwa,vitanda hospitalini nk
Kuna vitu kama miundombinu,barabara,reli,,anga,simu,mzunguko wa pesa,upatikanaji wa ajira,nk nk
Mambo yako mengi.Kwahiyo unaposema GDP pekee ndiyo kipimo cha maendeleo,si kweli.Inabidi uziangalie hizo indicators zote halafu ndiyo utupangie list ya matajiri na masikini.
Halafu hiyo GDP yenyewe inatafutwaje?iko even?Nchi kama Luxembourg ina watu wasiozidi 500,000(laki tano),hiyo population ni kama mara sita ndiyo ifikie population ya watu wa jiji la Dar Es Salaam kwa mfano.Sawasawa na Rwanda na Burundi ambazo nazo zina idadi ndogo ya watu.
Manake kanchi kenye watu wadogo kama Luxembourg,ni sawa na mkoa fulani wa Tanzania au mji fulani wa Marekani au nchi nyingine kubwa.ukikafanyia hiyo GDP ni sawa labda kwa mfano ufanye GDP kwa sehemu nyingine kwa uwiano huohuo.Kwamfano ukifanya GDP ya mkoa wa Dar Es Salaam,utapata nzuri sana zaidi ya hiyo 600.
Kwahiyo point hapa ni hiyo uneven distribution of incomes in different parts of different populations in a big country like Tanzania.
Ndiyo utaona bajeti ya ulinzi ya Marekani ni zaidi ya bajeti ya nchi tano za ulaya lakini kwenye GDP inashika nafasi ya 2/3/5
Kwahiyo usidanganyike na hizo figure mkuu
|

22nd October 2008, 12:30 PM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 241
Rep Power: 21
Thanks: 113
Thanked 116 Times in 64 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Mwavuli wa ubinafsishaji hautuacha kamwe! Ubinafsishaji na Uwekezaji. Tunabinafsisha hata ambavyo havina sababu ya kubinafsishwa. Tunawaalika hata watu kuwekeza kisichofaa. Mfano ni huyu aliyenunua kitalu cha uwindaji loliondo. Amewekeza nini pale? Hakuna chocote pale. Vijana wa kimasai wameambulia nini pale, zaidi ya aibu tupu. Hakuna sehemu yenye ufuska kama Loliondo kwenye hiki kitalu cha mtoto wa mfalme. Wanawake wanaletwa na ndege hadi Loliondo, wanatua pale, wanapokelewa na dereva wa waarabu ambaye naye nimwarabu,,, wanapelekwa kambini kwa hawa waarabu ,,, ni raha tu huko. Waswahili hawafaidiki na chochote hapa. na huko nyuma walikuwa wanatua na kuruka moja kwa moja bila hata kupitia mamlaka husika. Afadhali siku hizi wanapata kibali pale KIA.
Shame!
|

22nd October 2008, 12:45 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Wed Aug 2007
Location: Msewe
Posts: 821
Rep Power: 23
Thanks: 106
Thanked 1,005 Times in 436 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Quote:
Originally Posted by Mtarajiwa
GDP kisiwe kipimo pekee cha kusema nchi gani ni tajiri zaidi duniani na nchi gani ni masikini wa kutupa.
Watu wa development studies wana kitu wanaita INDICATORS OF DEVELOPMENT,ambayo ina vitu vingi ma hiyo GDP ikiwa ni kasehemu tu ambavyo kwa pamoja ndivyo vinapima uwezo wa kimaendeleo wa nchi tofauti.
Kuna vitu kama huduma za kijamii kwa mfano shule,hospitali,zahanati,maji safi na salama,kuna walimu wangapi katika nchi,uwiano wa madaktari na wagonjwa,vitanda hospitalini nk
Kuna vitu kama miundombinu,barabara,reli,,anga,simu,mzunguko wa pesa,upatikanaji wa ajira,nk nk
Mambo yako mengi.Kwahiyo unaposema GDP pekee ndiyo kipimo cha maendeleo,si kweli.Inabidi uziangalie hizo indicators zote halafu ndiyo utupangie list ya matajiri na masikini.
Halafu hiyo GDP yenyewe inatafutwaje?iko even?Nchi kama Luxembourg ina watu wasiozidi 500,000(laki tano),hiyo population ni kama mara sita ndiyo ifikie population ya watu wa jiji la Dar Es Salaam kwa mfano.Sawasawa na Rwanda na Burundi ambazo nazo zina idadi ndogo ya watu.
Manake kanchi kenye watu wadogo kama Luxembourg,ni sawa na mkoa fulani wa Tanzania au mji fulani wa Marekani au nchi nyingine kubwa.ukikafanyia hiyo GDP ni sawa labda kwa mfano ufanye GDP kwa sehemu nyingine kwa uwiano huohuo.Kwamfano ukifanya GDP ya mkoa wa Dar Es Salaam,utapata nzuri sana zaidi ya hiyo 600.
Kwahiyo point hapa ni hiyo uneven distribution of incomes in different parts of different populations in a big country like Tanzania.
Ndiyo utaona bajeti ya ulinzi ya Marekani ni zaidi ya bajeti ya nchi tano za ulaya lakini kwenye GDP inashika nafasi ya 2/3/5
Kwahiyo usidanganyike na hizo figure mkuu
|
This is what Tanzanians are good at. Apologetics. Giving alot of words to justify unjustifiables! The fact is nchi yetu iko mkiani mwa mataifa ulimwenguni katika safu ya maendeleo. Upo? Hilo swala la GDP linasomeka darasani na naamini hata mleta hoja analijua hilo. Sasa inabidi tuchangie hoja kama ilivyoletwa. au UNDP na Worldbank wanatusingizia? Sisi sio masikini as they presume?
Hivi statistics zingeonyesha kwamba tuko mbele kimaendeleo tungehoji vigezo walivyovitumia? Definetely..ukiguswa panapo lazima useme umeonewa. Tanzania tumechoka...inabidi tutafute mstakabali wa kujikomboa. Utashangaa kesho kutwa..Burundi, Rwanda, Congo ambao tumewahifadhia wakimbizi lukuki...wanatuwashia indicator ya maendeleo..na wasomi mtabaki oooohhh...hivi vigezo vya GDP vinapotosha...
Tanzania nchi yetu kwa WANAOIJUA VYEMA, we are damn poor! Nenda vijijini ujionee. Tatizo watu mnafikiri Dar inaishia shoppers plaza na sleepway! Ohh..Yes my president said kwamba watanzania wa kanda ya kaskazini hatuli mapanki! Baada ya kuadress tatizo!
Watanzania tumechoka sana! Duh!
__________________
"Its very cold out there, if you are out of the ANC. Its very, very cold". Jacob Zuma.
|
|
The Following 12 Users Say Thank You to Masanja For This Useful Post:
|
Fundi Mchundo (24th October 2008), Interested Observer (26th October 2008), Koba (23rd October 2008), korosho (22nd October 2008), Masaki (22nd October 2008), Mkandara (23rd October 2008), Morani75 (31st October 2008), Mpita Njia (26th October 2008), Mwikimbi (23rd October 2008), Richard (5th December 2008), SteveD (22nd October 2008), Zero (3rd November 2008) |

22nd October 2008, 12:57 PM
|
|
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 1,913
Rep Power: 2026
Thanks: 3,126
Thanked 1,045 Times in 592 Posts
|
|
Re: GDP Yetu: HIVI tunajua hili?
nimeona ktk list kuna nchi inaitwa....... "World".............dah......iko wapi hii nchi....unajua tena wengine jiografia ilitupitia kando
|

22nd October 2008, 01:00 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Feb 2008
Posts: 250
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 121 Times in 79 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Quote:
Originally Posted by Masanja
This is what Tanzanians are good at. Apologetics. Giving alot of words to justify unjustifiables! The fact is nchi yetu iko mkiani mwa mataifa ulimwenguni katika safu ya maendeleo. Upo? Hilo swala la GDP linasomeka darasani na naamini hata mleta hoja analijua hilo. Sasa inabidi tuchangie hoja kama ilivyoletwa. au UNDP na Worldbank wanatusingizia? Sisi sio masikini as they presume?
Hivi statistics zingeonyesha kwamba tuko mbele kimaendeleo tungehoji vigezo walivyovitumia? Definetely..ukiguswa panapo lazima useme umeonewa. Tanzania tumechoka...inabidi tutafute mstakabali wa kujikomboa. Utashangaa kesho kutwa..Burundi, Rwanda, Congo ambao tumewahifadhia wakimbizi lukuki...wanatuwashia indicator ya maendeleo..na wasomi mtabaki oooohhh...hivi vigezo vya GDP vinapotosha...
Tanzania nchi yetu kwa WANAOIJUA VYEMA, we are damn poor! Nenda vijijini ujionee. Tatizo watu mnafikiri Dar inaishia shoppers plaza na sleepway! Ohh..Yes my president said kwamba watanzania wa kanda ya kaskazini hatuli mapanki! Baada ya kuadress tatizo!
Watanzania tumechoka sana! Duh!
|
Mkuu,nimekupata.
Hoja yangu siyo kuukana umasikini wa watanzania.Hoja ni kwamba kisitumike kigezo kimoja kidogo katika kuzipanga nchi kimaendeleo.Tanzania ni masikini,tena ni masikini wa kutupa lakini kwa hizi takwimu za GDP utaona kuwa nchi kama Liberia kwavile ina GDP kubwa kuliko Tanzania basi ina maendeleo kushinda Tanzania kwa mfano.Hili ndilo ninalopinga.
Nadhani tuko pamoja sasa.
|

22nd October 2008, 02:21 PM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Fri Apr 2008
Posts: 120
Rep Power: 21
Thanks: 19
Thanked 62 Times in 35 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Quote:
Originally Posted by Mtarajiwa
GDP kisiwe kipimo pekee cha kusema nchi gani ni tajiri zaidi duniani na nchi gani ni masikini wa kutupa.
Watu wa development studies wana kitu wanaita INDICATORS OF DEVELOPMENT,ambayo ina vitu vingi ma hiyo GDP ikiwa ni kasehemu tu ambavyo kwa pamoja ndivyo vinapima uwezo wa kimaendeleo wa nchi tofauti.
Kuna vitu kama huduma za kijamii kwa mfano shule,hospitali,zahanati,maji safi na salama,kuna walimu wangapi katika nchi,uwiano wa madaktari na wagonjwa,vitanda hospitalini nk
Kuna vitu kama miundombinu,barabara,reli,,anga,simu,mzunguko wa pesa,upatikanaji wa ajira,nk nk
Mambo yako mengi.Kwahiyo unaposema GDP pekee ndiyo kipimo cha maendeleo,si kweli.Inabidi uziangalie hizo indicators zote halafu ndiyo utupangie list ya matajiri na masikini.
Halafu hiyo GDP yenyewe inatafutwaje?iko even?Nchi kama Luxembourg ina watu wasiozidi 500,000(laki tano),hiyo population ni kama mara sita ndiyo ifikie population ya watu wa jiji la Dar Es Salaam kwa mfano.Sawasawa na Rwanda na Burundi ambazo nazo zina idadi ndogo ya watu.
Manake kanchi kenye watu wadogo kama Luxembourg,ni sawa na mkoa fulani wa Tanzania au mji fulani wa Marekani au nchi nyingine kubwa.ukikafanyia hiyo GDP ni sawa labda kwa mfano ufanye GDP kwa sehemu nyingine kwa uwiano huohuo.Kwamfano ukifanya GDP ya mkoa wa Dar Es Salaam,utapata nzuri sana zaidi ya hiyo 600.
Kwahiyo point hapa ni hiyo uneven distribution of incomes in different parts of different populations in a big country like Tanzania.
Ndiyo utaona bajeti ya ulinzi ya Marekani ni zaidi ya bajeti ya nchi tano za ulaya lakini kwenye GDP inashika nafasi ya 2/3/5
Kwahiyo usidanganyike na hizo figure mkuu
|
CONVINCING EVIDENCE PLEASE HATUTAKI SIASA HAPA
Mimi mwenyewe nimefika Luxembour kweli wapo wachache na nchi ndogo lakini wakazi wake woote ni matajiri sasa kuna kosa gani.
kumbuka kadika hiyo GDP calculation wamejumuisha pesa za EPA ambazo zingeweza kupunguza makali ya umaskini nchini pamoja na kipato cha mamilioni ya watu Tanzania wanapata $1 kwa siku.
Solution ni ku fix this problem no cheap un acceptable comment
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Mkora For This Useful Post:
|
|

22nd October 2008, 02:31 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Feb 2008
Posts: 250
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 121 Times in 79 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Quote:
Originally Posted by mkora
CONVINCING EVIDENCE PLEASE HATUTAKI SIASA HAPA
Mimi mwenyewe nimefika Luxembour kweli wapo wachache na nchi ndogo lakini wakazi wake woote ni matajiri sasa kuna kosa gani.
kumbuka kadika hiyo GDP calculation wamejumuisha pesa za EPA ambazo zingeweza kupunguza makali ya umaskini nchini pamoja na kipato cha mamilioni ya watu Tanzania wanapata $1 kwa siku.
Solution ni ku fix this problem no cheap un acceptable comment
|
Soma na uelewe mtu anachoandika,usikurupuke.
Kufika kwako Luxembourg hakuongezi uhalali wa upangaji wa nchi tajiri na nchi masikini duniani kwa kigezo cha GDP pekee.
|
|
The Following User Says Thank You to Mtarajiwa For This Useful Post:
|
|

22nd October 2008, 02:42 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2008
Posts: 234
Rep Power: 21
Thanks: 92
Thanked 211 Times in 108 Posts
|
|
Re: TANZANIA: HIVI tunajua hili?
Quote:
Originally Posted by Mtarajiwa
GDP kisiwe kipimo pekee cha kusema nchi gani ni tajiri zaidi duniani na nchi gani ni masikini wa kutupa.
Watu wa development studies wana kitu wanaita INDICATORS OF DEVELOPMENT,ambayo ina vitu vingi ma hiyo GDP ikiwa ni kasehemu tu ambavyo kwa pamoja ndivyo vinapima uwezo wa kimaendeleo wa nchi tofauti.
Kuna vitu kama huduma za kijamii kwa mfano shule,hospitali,zahanati,maji safi na salama,kuna walimu wangapi katika nchi,uwiano wa madaktari na wagonjwa,vitanda hospitalini nk
Kuna vitu kama miundombinu,barabara,reli,,anga,simu,mzunguko wa pesa,upatikanaji wa ajira,nk nk
Mambo yako mengi.Kwahiyo unaposema GDP pekee ndiyo kipimo cha maendeleo,si kweli.Inabidi uziangalie hizo indicators zote halafu ndiyo utupangie list ya matajiri na masikini.
Halafu hiyo GDP yenyewe inatafutwaje?iko even?Nchi kama Luxembourg ina watu wasiozidi 500,000(laki tano),hiyo population ni kama mara sita ndiyo ifikie population ya watu wa jiji la Dar Es Salaam kwa mfano.Sawasawa na Rwanda na Burundi ambazo nazo zina idadi ndogo ya watu.
Manake kanchi kenye watu wadogo kama Luxembourg,ni sawa na mkoa fulani wa Tanzania au mji fulani wa Marekani au nchi nyingine kubwa.ukikafanyia hiyo GDP ni sawa labda kwa mfano ufanye GDP kwa sehemu nyingine kwa uwiano huohuo.Kwamfano ukifanya GDP ya mkoa wa Dar Es Salaam,utapata nzuri sana zaidi ya hiyo 600.
Kwahiyo point hapa ni hiyo uneven distribution of incomes in different parts of different populations in a big country like Tanzania.
Ndiyo utaona bajeti ya ulinzi ya Marekani ni zaidi ya bajeti ya nchi tano za ulaya lakini kwenye GDP inashika nafasi ya 2/3/5
Kwahiyo usidanganyike na hizo figure mkuu
|
Swali kubwa ni kwa nini tuwe sisi na sio wengine .....wakati tuna mazingira mazuri zaidi ya kuweza kuendelea
Kama ni population size Nigeria karibu 140 Millioni, Egypt 80millioni, South Africa zaidi ya 40 millioni ....etc
Inawezekana kwenye mambo mengi tunayofanya kama nchi hakuna "efficiency", chukulia mfano wa bandari ya Dar es Salaam tu, kelele zimepigwa muda mrefu kuhusu ubovu wa utendaji kazi hapo bandarini matokeo yake ni kuwa wateja wanaamua kuhamishia shehena zao Msumbiji, Kenya, SA na Namibia. Athari zake ni kuwa mapato ya taifa yanapungua overall.
Tukija kwenye kilimo, asilimia kubwa ya kilimo chetu ni 'subsistence' na tunalima mazao yale yale miaka nenda miaka rudi hatuangalii mazao gani mbadala yanaweza kulipa zaidi.
|
|
The Following 7 Users Say Thank You to deny_all For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 09:52 AM.
|
 |