Wadau naombeni msaada wenu wa mawazo kwani naamini yupo mwenye kujua kuhusu hili.
Nini capital kama 7milion nataka kuanzisha dry cleaner katika sehemu ambayo hakuna kabisa hiyo kitu.
je capital hiyo inaweza kutosha, pia sijui ni mashine gani nzuri ya kufulia bei ya wastani.
pia nahitaji kujua nahitaji washing machine kama ngapi kuanzia labda ya kufulia nguo za kawaida suti, na kusafisha macarpet.
Nawasilisha

Reply With Quote

Follow Us Here