NIMEPENDA HUU MWAMKO!
Kupitia mtandao wa Wizara inayohudumia watanzania wengi (Wizara ya Kilimo) ambao nimeutafuta kwa tabu mno, www.kilimo.go.tz, kuna hkuna mambo mengi pia mazuri hata andiko la "Kilimo Kwanza" ambayo pamoja na masuala mengine Mhe. Rais wetu amejipiga kitanzi kutekeleza mambo mengi kuptia dhana hiyo. Suala la kuinua vipato vya watanzania kupitia kilimo ikiwa ni pamoja na kuendeleza "Wathubutu" au "Wajasiliamali" limepewa kipaumbele .
Pia nimeona kwenye hotuba ya Mhe. Waziri husika kwa mwaka 2009/2010 http://www.kilimo.go.tz/speeches/speech.php, miongoni mwa ahadi alizotoa ni pamoja na kusaidia usindikaji na vikundi vidogo vya wakulima. Nimeona pia wana Kitengo cha Kuendeleza mazao (Crop Promotion) na Kusaidia Usindikaji kipo hapo Wizarani. Naamini tukiacha siasa na kuthubutu kama hivi, yote yanawezekana na sina shaka kabisa Mhe. Waziri wa Kilimo na Rais wetu wa Jamhuri anaweza kusikia hili wazo la kujikwamua asitoe hata ushauri wowote .......
Binafsi nashauri huku tukiendelea kupambana kutafuta vyanzo vingin kwenye miradi kama hii, kama hukuwahi kufanya mawasiliano yeyote, Mkuu ebu jaribu kuwasilisha wazo lako moja kwa moja kwa Katibu Mkuu na huyu Waziri wa Kilimo pengine nako utapata mwelekeo, naamini kabisa hakuna utakacho poteza kwa kutafuta huo msimamo wa Serikali katika kusaidi hili.
Ikiwa vinginevyo sasa hiyo"KILIMO KWANZA" NA MAPINDUZI YA KIJANI" haiVtakuwa na maana tena kwetu wananchi. ......twazidi kuwasiliana!!!!!!.
THE KILIMO KWANZA RESOLUTION
----------------------------------
WHEREAS the Tanzania National Business Council (TNBC), under its Chairman, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania held a two day meeting on 2nd and 3rd June 2009 at Kunduchi Beach Hotel, Dar es Salaam, to discuss the policies and strategies for the transformation of Tanzania’s agriculture under the theme “KILIMO KWANZA[1]” and its implementation;
AND WHEREAS eighty per cent of Tanzanians depend on agriculture for their livelihood;
RECOGNIZING that the greatest challenge facing Tanzania is to combat poverty and that this will be possible mainly through enhanced agricultural productivity;
CONSIDERING Tanzania’s endowment of agricultural land, livestock and marine resources of which a large proportion is currently underutilized;
REALIZING that Tanzania has the second largest volume of inland fresh water resources in Africa that can be utilized for irrigation;
CONSCIOUS of the fact that so far considerable efforts have been made towards the transformation of agriculture without much success;
IT IS HEREBY RESOLVED to:
1. Embark on KILIMO KWANZA as Tanzania’s Green Revolution to transform its agriculture into a modern and commercial sector;
2. Integrate KILIMO KWANZA into the Government machinery to ensure its successful implementation;
3. Mobilize increased quantum of resources towards the realization of KILIMO KWANZA;
4. Mobilize the private sector to substantially increase its investment and shoulder its rightful role in the implementation of KILIMO KWANZA and
5. Declare that the implementation of KILIMO KWANZA will comprise the following ten actionable pillars:
I. Political will to push our agricultural transformation.
II. Enhanced financing for agriculture.
III. Institutional reorganization and management of agriculture.
IV. Paradigm shift to strategic agricultural production.
V. Land availability for agriculture.
VI. Incentives to stimulate investments in agriculture.
VII. Industrialization for agricultural transformation.
VIII. Science, technology and human resources to support agricultural transformation.
IX. Infrastructure Development to support agricultural transformation.
X. Mobilization of Tanzanians to support and participate in the implementation of KILIMO KWANZA.
Details of the above ten pillars of KILIMO KWANZA are elaborated in the action programme annexed hereto.
[1]Agriculture First
Follow Us Here