Matangazo CNN: Tumelala? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 30th June 2009, 10:17 PM  
Matangazo CNN: Tumelala?
Mfalme Mfalme is offline 30th June 2009, 10:17 PM

Siku hizi naona sana kwenye CNN watani zetu (wakenya) na nchi nyingine za Afrika kama vile Angola na Afrika ya kusini wakijitangaza sana tu kwa matangazo waliyoyatayarisha maalum na mazuri sana kama lile Tangazo la "Malaysia truly Asia". Wakenya wanasema "The magic of Africa".
Sisi sijui viongozi wetu wanasubiri kudra za mwezimungu?.

Mfalme
Member
Points: 57,971, Level: 100 Points: 57,971, Level: 100 Points: 57,971, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Mon May 2009
Location: Majuu
Posts: 13
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 423
Reply With Quote
  #11  
Old 3rd July 2009, 01:15 PM
JosM's Avatar
JosM JosM is offline
JosM where do we go? what do we know?
JF Senior Expert Member
Points: 150,936, Level: 100 Points: 150,936, Level: 100 Points: 150,936, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Dar es salaam/Kampala/lam
Posts: 636
Thanks: 8
Thanked 5 Times in 5 Posts
Rep Power: 23
JosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enoughJosM will become famous soon enough
Default Re: Matangazo CNN: Tumelala?

Dhana kuu ya fikra zangu, iko katika namna tunavyoweza kutumia rasilimali yetu ya uwanja mpya wa michezo uliopo jijini Dar es Salaam kwa manufaa ya kuendeleza utalii nchini.
Hapana shaka katika ukanda huu waAfrika Mashariki, uwanja huu ni mkubwa na unastahili kutumika kwa hadhi inayostahili kuvuta utalii. Kwa maana hiyo tulicho nacho ni mali.
Naamini tukioanisha suala la michuano ya kombe la dunia kufanyika nchini Afrika Kusini, zipo timu za soka zitakazofika nchini kufanya mazoezi na watakapokuwa humu watabaini vivutio vilivyopo.
Cha muhimu kwa wadau wa michezo wa kigeni watakapofika nchini kufanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya michuano hiyo ya kombe la dunia ambayo iko usoni, tunahitaji kuwekeza mikakati yetu humo humo nasi tufaidike.
Kama ilivyokuwa katika mkutano wa Sullivan uliofanyika mjini Arusha mwaka huu, nasi tulitakiwa kuelekeza mikakati kwa wageni hawa wanaofika kufanya mazoezi nchini, kuhakikisha tunapata faida ya kujitangaza katika utalii.
Sasa hivi si haba. Nilifurahi nilipomsikia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alipotamka Bungeni kwamba juhudi za kujitangaza zimechukua sura ya mafanikio.
Mfano mojawapo aliyoutoa ni kwamba, nchini Marekani vivutio vya kitalii vimetangazwa katika televisheni maarufu ya CNN na matokeo yake yanaonekana, kwamba kuna watalii wengi wanaomiminika kutoka huko.
Nionavyo, hiyo ndio namna hata kwa wageni watakaofika kufanya mazoezi katika viwanja vyetu kwa ajili ya michuano ya kombe la dunia, mambo ya namna hiyo tutayashuhudia na utalii wetu ukawa na manufaa kwetu sote.
Inastahili sasa hivi wadau wakakuna ubongo juu ya aina gani mikakati wanayopaswa kuweka na aina yote ya fursa zilizoko kutumika na hatimaye hatua iliyopigwa ionekane.
Hebu tuthubutu ili tuweze.
__________________
Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
cnn, matangazo, tumelala


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Hatimaye Pinto alamba dume kwa jina la kuitangaza Tanzania UK Lunyungu Jukwaa la Siasa 8 7th May 2009 02:40 AM
Tujifunze na haya ya PENTAGON!Tusirudie makosa ya Wamrekani! jmushi1 Jukwaa la Siasa 6 24th June 2008 07:30 AM
Where is the economical base of Tanzania! Shy Jukwaa la Siasa 25 6th July 2007 09:05 PM
Koinange afukuzwa kazi CNN! Nyani Ngabu Habari na Hoja mchanganyiko 19 6th June 2007 05:02 PM
Kampeni ziliisha, matangazo ya nini? Kyoma Habari na Hoja mchanganyiko 1 6th February 2007 06:57 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:57 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com