Insurance covers, scam or deal? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 26th June 2009, 03:35 PM   #1
Insurance covers, scam or deal?
Mshiiri Mshiiri is offline 26th June 2009, 03:35 PM

Nimejaribu kutafuta sana maana nzima ya insurance na siipati kabisa. Sijawahi ona au kusikia jamii fulani hapa Tanzania au mtu fulani kapata kanufaika na bima hizi za mali. Labda tuwaulize ndugu zetu wanaounguliwa na ma-godown pengine wanajua means! Au pengine ni mimi sina elimu ya kutosha ya bima za mali na vyombo kama magari. Bima za afya na mifuko ya jamii kama NSSF ana PPF wao wako clear sana na utendaji wao na hii nawapa pongezi katika kukwamua Tanzania na lindi la umaskini. Kwa mdau anayejua kuhusu hizi insuarence za magari na mali anifahamishe au anijuze tafadhali. Kwa sababu mimi sioni why pay for insurance ambayo kulipana mpaka upigwe danadana na uishie kukata tamaa wakati polisi wanakubonyeza ulipe na kama umelipa katika ajali hawafanyi lolote na kama hujalipa moto utauona. Huu si wizi kweli? Watu wanapata ajali katika basi lakini huishia kusikojulikana wala hawa mabwana bima hawaonekani hata wakisema katika eneo la tukio. Hivi si wizi huu kweli?
__________________
"Absence of evidence is not evidence of absence" - No win-win situation

 
Mshiiri's Avatar
Mshiiri
JF Premium Member
Points: 313,658, Level: 100 Points: 313,658, Level: 100 Points: 313,658, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Mon Jun 2008
Location: Sillicon Valley - USA
Posts: 818
Thanks: 12
Thanked 30 Times in 15 Posts
Views: 191
Reply With Quote
  #2  
Old 26th June 2009, 03:40 PM
REOLASTON REOLASTON is offline
REOLASTON has no status.
Senior Member
Points: 64,544, Level: 100 Points: 64,544, Level: 100 Points: 64,544, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Feb 2009
Posts: 71
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
REOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enough
Default Re: Insurance covers, scam or deal?

Tatizo ni kwamba watanzania walio wengi hatujui maana ya bima na ndio maana makampuni ya bima hapa nchini yanafaidika sana kwa hilo.
Reply With Quote
  #3  
Old 30th June 2009, 01:56 PM
Power to the People Power to the People is offline
Power to the People has no status.
JF Premium Member
Points: 93,957, Level: 100 Points: 93,957, Level: 100 Points: 93,957, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jul 2007
Posts: 233
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
Power to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enoughPower to the People will become famous soon enough
Default Re: Insurance covers, scam or deal?

Insuarance companies za huku kwetu are here to rip us off. hata ukiwa una genuine claim mpaka uipata ni mbinde kwa kweli. Mi nimeshuhudia kijana mmoja aliyepata ajali akiwa kazini kwa bahati nzuri kampuni alikokuwa anafanya kazi had insured its employees. sasa claim ikapelekwa kijana na maumivu yake it took him 8 months kama sio zaidi ndio akapewa hiyo compansation. sasa you wonder kwa nini nikate bima ya kitu chochote kama usumbufu ni wa aina hii. na huu ni mfano mmoja ambao nimeushuhudia bado kuna ile unasikia huku na kule watu wakilalamika.
Reply With Quote
  #4  
Old 30th June 2009, 05:20 PM
Ngambo Ngali's Avatar
Ngambo Ngali Ngambo Ngali is offline
Ngambo Ngali has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 88,720, Level: 100 Points: 88,720, Level: 100 Points: 88,720, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Fri Apr 2009
Posts: 524
Thanks: 102
Thanked 168 Times in 116 Posts
Rep Power: 22
Ngambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enoughNgambo Ngali will become famous soon enough
Default Re: Insurance covers, scam or deal?

Unaweza kuigawa kwa sehemu mbili anayekata bima na mhanga. Mara nyingi watu waliokata bima wakienda kudai ni kasheshe letehiki kile etc ukishtuka miaka mitatu nxt barua inakuja we cant consider your claim sababu imepitwa na muda. Wakati mwingine unapeleka madai unaambiwa hee hukutoa taarifa ya ajali kwa kampuni ya bima katika muda unaotakiwa hivyo hustahili kulipwa. So ukipelekwa mapema unazungushwa mpaka muda wa kudai unakwisha ukichelewa ndo basi kabisa.

Upande wa pili, waathirika ndo usiseme hawajui kama wana haki, fikiria katika daladala ni wangapi wanakuwa na tiketi valid. Wachache sana wakati huo ni ushahidi kuwa tarehe ya ajali ulikuwa kwenye basi. Watanzania wangapi wanajua kuwa wakiwa kwenye basi wanastahili kulipwa kukiwa na ajali, Wachache sana. Ikitokea ajali fomu lazima ijazwe na mwenye gari, ajali imetokea Mbeya mwenye basi yuko tanga huyu mtu anaweza kuafford kusafiri all the way kupata signature ili ipelekwe bima? Jee mwenye basi atafaidika nini endapo ataisaini ile fomu, kwani asiposaini hakuna wa kumlazimisha. Anyway factors ni nyingi unaweza andika mpaka kesho really it is a big problem for sure.
Reply With Quote
  #5  
Old 30th June 2009, 05:59 PM
Nameless- Nameless- is offline
Nameless- has no status.
Member
Points: 58,626, Level: 100 Points: 58,626, Level: 100 Points: 58,626, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2009
Posts: 22
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Nameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enough
Default Re: Insurance covers, scam or deal?

Quote:
View Post
Tatizo ni kwamba watanzania walio wengi hatujui maana ya bima na ndio maana makampuni ya bima hapa nchini yanafaidika sana kwa hilo.
Hii ni kweli. Hata kwa wachache wanaojua maana ya bima na kuzinunua, wengi wao hawajali kusoma ile mikataba. Kwa hiyo anapopata janga ndo anaanza kuhangaika, ninachojua kila janga lina sera/mkataba wake na taratibu zake za kudai bima endapo limetokea hilo janga husika.

Kuna uzembe na kuzungushwa ktk kudai bima lakini kuchelewa kwingine ni kujaribu kujiridhisha kwamba hakuna udanganyifu, kuna mtu anakata bima kampuni tofauti na anapeleka madai kote kote, kitu ambacho ni kinyume na taratibu za bima, pia kuna anayeunguliwa na gari kikweliii na yupo anayenyofoa spare kibao kisha akawasha kiberiti, bima haiwezi kulipa tu kwa vile umedai, lazima uchunguzi ufanyike.

Wengine hawatofautishi bima na polisi, mfano unapotakiwa kupeleka taarifa za polisi, labda ajali/tukio au ukaguzi wa gari, wakati mwingine inachukua muda kuipata, hiyo nayo mtu anaona ni usumbufu wa bima, lakini siyo. Mara nyingi ukifanikiwa kupeleka nyaraka wanazozitaka, haichelewi kihivyo.

Ushauri wangu ni kwamba tusomage sera/mkataba, na pia pale pale unaponunua bima, tupate kujua taratibu za madai.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
covers, deal, insurance, scam


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
93bn Military trucks deal! Hussein Abdallah Jukwaa la Siasa 37 3rd August 2009 04:08 AM
WHAT IS 419 SCAM? i.e Advance-fee fraud Pape Habari na Hoja mchanganyiko 1 14th June 2009 11:18 PM
Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts tibwilitibwili Jamii Intelligence 1928 4th May 2009 10:16 AM
May 2008 Job Vacancies Shy Nafasi za Kazi na Tenda (Job Vacancies + Tenders) 49 29th May 2008 06:47 PM
50bn/- plus NSSF health insurance scheme: Hanging in the air Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 6 11th September 2007 02:06 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:33 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com