| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 191
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Tatizo ni kwamba watanzania walio wengi hatujui maana ya bima na ndio maana makampuni ya bima hapa nchini yanafaidika sana kwa hilo.
|
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Insuarance companies za huku kwetu are here to rip us off. hata ukiwa una genuine claim mpaka uipata ni mbinde kwa kweli. Mi nimeshuhudia kijana mmoja aliyepata ajali akiwa kazini kwa bahati nzuri kampuni alikokuwa anafanya kazi had insured its employees. sasa claim ikapelekwa kijana na maumivu yake it took him 8 months kama sio zaidi ndio akapewa hiyo compansation. sasa you wonder kwa nini nikate bima ya kitu chochote kama usumbufu ni wa aina hii. na huu ni mfano mmoja ambao nimeushuhudia bado kuna ile unasikia huku na kule watu wakilalamika.
|
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Unaweza kuigawa kwa sehemu mbili anayekata bima na mhanga. Mara nyingi watu waliokata bima wakienda kudai ni kasheshe letehiki kile etc ukishtuka miaka mitatu nxt barua inakuja we cant consider your claim sababu imepitwa na muda. Wakati mwingine unapeleka madai unaambiwa hee hukutoa taarifa ya ajali kwa kampuni ya bima katika muda unaotakiwa hivyo hustahili kulipwa. So ukipelekwa mapema unazungushwa mpaka muda wa kudai unakwisha ukichelewa ndo basi kabisa.
Upande wa pili, waathirika ndo usiseme hawajui kama wana haki, fikiria katika daladala ni wangapi wanakuwa na tiketi valid. Wachache sana wakati huo ni ushahidi kuwa tarehe ya ajali ulikuwa kwenye basi. Watanzania wangapi wanajua kuwa wakiwa kwenye basi wanastahili kulipwa kukiwa na ajali, Wachache sana. Ikitokea ajali fomu lazima ijazwe na mwenye gari, ajali imetokea Mbeya mwenye basi yuko tanga huyu mtu anaweza kuafford kusafiri all the way kupata signature ili ipelekwe bima? Jee mwenye basi atafaidika nini endapo ataisaini ile fomu, kwani asiposaini hakuna wa kumlazimisha. Anyway factors ni nyingi unaweza andika mpaka kesho really it is a big problem for sure. |
|
#5
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Kuna uzembe na kuzungushwa ktk kudai bima lakini kuchelewa kwingine ni kujaribu kujiridhisha kwamba hakuna udanganyifu, kuna mtu anakata bima kampuni tofauti na anapeleka madai kote kote, kitu ambacho ni kinyume na taratibu za bima, pia kuna anayeunguliwa na gari kikweliii na yupo anayenyofoa spare kibao kisha akawasha kiberiti, bima haiwezi kulipa tu kwa vile umedai, lazima uchunguzi ufanyike. Wengine hawatofautishi bima na polisi, mfano unapotakiwa kupeleka taarifa za polisi, labda ajali/tukio au ukaguzi wa gari, wakati mwingine inachukua muda kuipata, hiyo nayo mtu anaona ni usumbufu wa bima, lakini siyo. Mara nyingi ukifanikiwa kupeleka nyaraka wanazozitaka, haichelewi kihivyo. Ushauri wangu ni kwamba tusomage sera/mkataba, na pia pale pale unaponunua bima, tupate kujua taratibu za madai.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 12:33 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||