Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 24th June 2009, 03:46 PM   #1
Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa
newazz newazz is offline 24th June 2009, 03:46 PM

Nina wazo la kuingia katika biashara ya kusaidia wajasiriamali " Jinsi ya kuendeleza wazo la kibiashara kuwa biashara inayolipa"

Nina lenga kuwafikia wenye mitaji midogo midogo na ambao wanataka kuanza kwa kiwango kidogo.

Je wadau, kuna mawazo yeyote kama watu wanahitaji huduma hii ya biashara?

Asanteni kwa mawazo yetu.

newazz
Member
Points: 70,056, Level: 100 Points: 70,056, Level: 100 Points: 70,056, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
Join Date: Sat Mar 2009
Posts: 26
Thanks: 2
Thanked 1 Time in 1 Post
Views: 428
Reply With Quote
  #2  
Old 3rd July 2009, 09:51 AM
tajiri tajiri is offline
tajiri has no status.
Junior Member
Points: 54,911, Level: 100 Points: 54,911, Level: 100 Points: 54,911, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 5
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
tajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enoughtajiri will become famous soon enough
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Huduma hii inahitajika sana, mimi ni mmoja wa wanaohitaji, lakini unapoanzisha usifanye uhuni kama wa watu wengine ambao wanakuja kuiba mawazo yetu wao wanawaomba watu watume michanganuo , watu wengi wanatuma kisha wanamchagua mmoja na kumpa zawadi huku wakibaki na michanganuo ya watu wengine huo ni uwezi.

anzisha jitangaze tutakuja utusaidie
Reply With Quote
  #3  
Old 3rd July 2009, 10:13 AM
Malila Malila is offline
Malila has no status.
JF Premium Member
Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100 Points: 216,345, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
 
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 726
Thanks: 18
Thanked 135 Times in 68 Posts
Rep Power: 64
Malila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the roughMalila is a jewel in the rough
Thumbs up Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Quote:
View Post
Nina wazo la kuingia katika biashara ya kusaidia wajasiriamali " Jinsi ya kuendeleza wazo la kibiashara kuwa biashara inayolipa"

Nina lenga kuwafikia wenye mitaji midogo midogo na ambao wanataka kuanza kwa kiwango kidogo.

Je wadau, kuna mawazo yeyote kama watu wanahitaji huduma hii ya biashara?

Asanteni kwa mawazo yetu.
Wapo kibao ndo maana wakaenda deci. je kiwango kidogo ni kipi kwa mtizamo wako?
Reply With Quote
  #4  
Old 3rd July 2009, 10:44 AM
Who Cares?'s Avatar
Who Cares? Who Cares? is offline
Who Cares? COZ WE DONT DIE WE JUST MULTIPLY
JF Senior Expert Member
Points: 81,218, Level: 100 Points: 81,218, Level: 100 Points: 81,218, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Location: JUPITER PLANET
Posts: 275
Thanks: 12
Thanked 107 Times in 53 Posts
Rep Power: 22
Who Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enoughWho Cares? will become famous soon enough
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

karibu mkuu...ila uwe kweli mshauri ...usijekuwa m-tapeli....kwani biashara inayolipa ni ipi?...msingi/mtaji mdogo kwa mtazamo wako ni kama tshs ngapi kwa kuanzia?....fafanua ili tujadiliane kwa kina zaidi.
__________________
if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side
Reply With Quote
  #5  
Old 3rd July 2009, 01:05 PM
Kingi's Avatar
Kingi Kingi is offline
Kingi is down to earth
JF Senior Expert Member
Points: 531,029, Level: 100 Points: 531,029, Level: 100 Points: 531,029, Level: 100
Activity: 47% Activity: 47% Activity: 47%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,629
Thanks: 166
Thanked 218 Times in 172 Posts
Rep Power: 25
Kingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enoughKingi will become famous soon enough
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Another DECI (?)
__________________
"The only problem with Africans is implementation and maintenance"- Kingi.
Reply With Quote
  #6  
Old 3rd July 2009, 02:32 PM
imanisilver imanisilver is offline
imanisilver has no status.
Junior Member
Points: 55,331, Level: 100 Points: 55,331, Level: 100 Points: 55,331, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jun 2009
Posts: 3
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
imanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enoughimanisilver will become famous soon enough
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Newazz,
Nakupongeza kwa moyo wako wa kujitolea kusaidia wafanyabiashara wadogo.
Nimeandika kijitabu kidogo kinaitwa "Mbinu za Ujasiriamali" - unaweza kujifunza mbinu mbalimbali ya kukabiliana na matatizo au vikwazo kwa wale wanopenda kujitumbukiza katika ujasiriamali.
Sijui uko nchi gani, lakini jaribu Mkuki na Nyota Dar es Salaam au ukishindwa tuwasiliane nitakutumia kopi kadhaa.
Kila lakheri.
Reply With Quote
  #7  
Old 3rd July 2009, 02:47 PM
The Farmer The Farmer is offline
The Farmer is a Scientist
JF Senior Expert Member
Points: 105,583, Level: 100 Points: 105,583, Level: 100 Points: 105,583, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Wed Jan 2009
Location: At the middle of the Farm Yard
Posts: 899
Thanks: 28
Thanked 31 Times in 23 Posts
Rep Power: 23
The Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enoughThe Farmer will become famous soon enough
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Quote:
View Post
Another DECI (?)
Hata mimi naona hii itakuwa DECI ya namna nyingine.
__________________
Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb
Reply With Quote
  #8  
Old 3rd July 2009, 07:15 PM
LazyDog's Avatar
LazyDog LazyDog is offline
LazyDog ni kajibwa goigoi
JF Senior Expert Member
Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100 Points: 5,227,469, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Apr 2008
Location: Entrepreneurship, Leadership, Negotiation
Posts: 2,130
Thanks: 387
Thanked 44 Times in 33 Posts
Rep Power: 2027
LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!LazyDog is one of most respected JF members!
Default Re: Namna ya Kuanzisha Biashara Itakayofanikiwa

Quote:
View Post
Huduma hii inahitajika sana, mimi ni mmoja wa wanaohitaji, lakini unapoanzisha usifanye uhuni kama wa watu wengine ambao wanakuja kuiba mawazo yetu wao wanawaomba watu watume michanganuo , watu wengi wanatuma kisha wanamchagua mmoja na kumpa zawadi huku wakibaki na michanganuo ya watu wengine huo ni uwezi.

anzisha jitangaze tutakuja utusaidie
Nami nimeishtukia tabia hii, kila mara utaona wakitangazwa kwenye luninga. Wizi mtupu! ...just taking advantage of others. Biashara sio kujifaidisha kwa kumwibia mwingine.

Nawaunga mkono wale wanaoshindanisha watu kwa kutoa mafunzo ya kibiashara pia.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
biashara, itakayofanikiwa, kuanzisha, namna


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela Mwafrika wa Kike Jukwaa la Siasa 121 16th December 2009 09:43 AM
Tanzania Tunayoitaka miraclegers Business & Economic Forum 458 10th October 2008 02:42 PM
Mihadarati yaivuruga CCM JeiKei Jukwaa la Siasa 88 11th August 2007 02:17 PM
Biashara ya magogo yazua maswali zaidi Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 0 25th July 2007 02:03 AM
Hoja Nzito: Makala mbalimbali maggid Jukwaa la Siasa 17 13th June 2007 08:55 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:23 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com