Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tofauti ya Budget na Finance Bill

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. dkn
      #1
      dkn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 124
      Rep Power : 461
      Likes Received
      18
      Likes Given
      35

      Default Tofauti ya Budget na Finance Bill

      Wanajamvi nimeuliza hili swali bila kupata majibu natumaini kuna watu wenye idea zaidi kuhusu hili. Baada ya budget kupitishwa TRA walibadilisha baadhi ya kodi kwa kusema kuanzia 1st July Finance Bill 2012 itatumika kwa kodi mbalimbali, ikiwamo income tax, magari used kupandishwa kodi n.k., leo nasikia kuwa Finance Bill inajadiliwa, TRA wametumia sheria ipi wakati sheria haijapitishwa bali kilichopitishwa ni budget.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,700
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      980
      Likes Given
      754

      Default Re: Tofauti ya Budget na Finance Bill

      Kuna legal instrument ambayo inaipa serikali na institutions zake nguvu ya kukusanya kodi hata kama finance bill haijapitishwa
      SMU likes this.
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    4. SMU
      #3
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,531
      Rep Power : 3810
      Likes Received
      1311
      Likes Given
      1916

      Default Re: Tofauti ya Budget na Finance Bill

      Itafute sheria inaitwa "The Provisional Collection of Taxes and Duties Act": Parliament of Tanzania

      Nafahamu kuna revised version ya sheria hii (Cap 153) lakini kimsingi hazina tofauti.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    5. #4
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,477
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3045
      Likes Given
      1017

      Default Re: Tofauti ya Budget na Finance Bill

      Hii ndiyo JF unapata kila kitu kwa wakati muafaka

    6. #5
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Tofauti ya Budget na Finance Bill

      nini kinafuta sasa kwa wananchi ambao walilipa kodi ya magari kodi ya uchakavu ya 20% kwa miaka zaidi ya nane na leo inarekebishwa kuwa miaka 10 zaidi ya hiyo ndiyo uchakavu unatozwa?.

    7. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...