Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 6th June 2009, 06:33 PM   #1
Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani - DSM LIVE ON SEACOM!
Allien Allien is offline 6th June 2009, 06:33 PM

INFORMATION NO. 2

- Kwa wale wanaofuatilia, habari ni kuwa SEACOM SUBMARINE OPTIC FIBER iko LIVE toka Thursday 23rd July 2009.

- Dodoma imeunganishwa tayari kupitia Fiber ya TANESCO (Hakuna confirmation kama wako LIVE)

- Chuo Kikuu cha DSM tayari nao wameunganishwa (Hakuna confirmation kama wako LIVE)

- Kampuni hii ambayo ina-Offer Business Opportunity imekuwa ISP ya kwanza kujiunga katika mtandao wa SEACOM kutoka katika Distribution Hub pale TTCL Kijitonyama.

- Kama kila kitu kikienda sawa Technical, wateja wa DSM watakuwa LIVE on SEACOM from next week or first week of August.

- Kwa wenye mahitaji ya kuanzia 256 Kbps unaweza kuni-PM kama uko DSM nitakupatia utaratibu wa kuunganishwa.


INFORMATION No.1


Nafasi ya Biashara Kwa Walioko Mikoani na Wilayani
  • Je unao ujuzi wa ICT na hasa katika mambo ya Connectivity na uko mikoani au wilayani?
  • Je unayo Interest ya kufanya biashara ya kuwa na ISP (Internet Service Provider) katika eneo husika?
  • Je uko tayari kupata mafunzo juu ya Products na Solutions na kufanya Marketing na Sales?
  • Je uko tayari Ku-Invest katika Basic Infrastructure za ISP huko mikoani?
  • Je unaweza kupata wateja wa kuanzia kati ya 20-50? Mmoja moja au kampuni?
  • Je uko tayari kupata mapato (Kuingiza Pesa) kila mwezi itokanayo na malipo ya Bandwidth na hivyo kujiingizia mapato ya uhakika kutoka kwa wateja wako? Pia utauza Equipment kwa Wateja kwa faida.
Kama jibu lako ni ndiyo, basi ni PM nitakutumia email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal.

Kampuni utakayofanya nayo partnership mchango ufuatao:
  • Mafunzo ya Products na Solutions (Technical and Sales)
  • Itakusaidia ku-Setup Infrastructures za ISP Mikoani au Wilayani.
  • Itakuuzia Equipment kwa bei ya chini kabisa ya Partners
  • Itakupa Bandwidth kuendana na mahitaji ya wateja yako na na utalipia kila mwezi.
Products na Solutions za Kuuza:
  • Internet kupitia Technology ya VSAT
  • Internet Kupitia Technology ya Wireless
  • Mobile Internet Kupitia Technology ya CDMA
  • Video Conferencing
  • TV/Radio Broadcasting Solutions
  • Voice Over IP
  • Data Solutions kupitia VSAT na Internet
  • Kwa sehemu zinazofikika na Fiber - Internet Kupitia Submarine Optic Fiber ya SEACOM Kuanzia Mwezi July/August 2009.
  • Digital Radio Calls Communication Systems (TETRA)
kama utakuwa Interested basi ni PM nitakutumie email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal. Baada ya hapo nitakutumia Partnership Business Proposal.

 
Allien's Avatar
Allien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Views: 1320
Reply With Quote
  #2  
Old 6th June 2009, 06:36 PM
Mzalendohalisi Mzalendohalisi is offline
Mzalendohalisi has no status.
JF Premium Member
Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jun 2007
Posts: 3,708
Thanks: 36
Thanked 12 Times in 12 Posts
Rep Power: 30
Mzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Hii imekaa poa!! hope watu wataichangamkia!
__________________
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!
Reply With Quote
  #3  
Old 6th June 2009, 06:38 PM
Allien's Avatar
Allien Allien is offline
Allien Alien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 62
Allien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the rough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Hii imekaa poa!! hope watu wataichangamkia!
Mkuu;

Huu ni mchakato wa kuifanya nchi yetu ifikike kwa mfumo wa ICT na kwa hakika kwa wale walio serious ni biashara makini sana.

Tuko tayari kusaidiana.
Reply With Quote
  #4  
Old 1st July 2009, 04:23 PM
Mfunyukuzi's Avatar
Mfunyukuzi Mfunyukuzi is online now
Mfunyukuzi Down to Earth
JF Senior Expert Member
Points: 481,337, Level: 100 Points: 481,337, Level: 100 Points: 481,337, Level: 100
Activity: 23% Activity: 23% Activity: 23%
 
Join Date: Sat Jan 2009
Posts: 691
Thanks: 7
Thanked 81 Times in 58 Posts
Rep Power: 23
Mfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enoughMfunyukuzi will become famous soon enough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Our company is very much interested please send us more details using info(at)tutandae(dot)co.tz
__________________
"If the world seems cold to you, kindle fires to warm it"
Reply With Quote
  #5  
Old 1st July 2009, 04:41 PM
Allien's Avatar
Allien Allien is offline
Allien Alien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 62
Allien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the rough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Our company is very much interested please send us more details using ...

Done Sir. All basic information has been sent.
Reply With Quote
  #6  
Old 1st July 2009, 07:13 PM
SikuIkifika SikuIkifika is offline
SikuIkifika has no status.
Member
Points: 73,819, Level: 100 Points: 73,819, Level: 100 Points: 73,819, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Jun 2009
Posts: 32
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 2 Posts
Rep Power: 0
SikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enoughSikuIkifika will become famous soon enough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Nafasi ya Biashara Kwa Walioko Mikoani na Wilayani
  • Je unao ujuzi wa ICT na hasa katika mambo ya Connectivity na uko mikoani au wilayani?
  • Je unayo Interest ya kufanya biashara ya kuwa na ISP (Internet Service Provider) katika eneo husika?
  • Je uko tayari kupata mafunzo juu ya Products na Solutions na kufanya Marketing na Sales?
  • Je uko tayari Ku-Invest katika Basic Infrastructure za ISP huko mikoani?
  • Je unaweza kupata wateja wa kuanzia kati ya 20-50? Mmoja moja au kampuni?
  • Je uko tayari kupata mapato (Kuingiza Pesa) kila mwezi itokanayo na malipo ya Bandwidth na hivyo kujiingizia mapato ya uhakika kutoka kwa wateja wako? Pia utauza Equipment kwa Wateja kwa faida.
Kama jibu lako ni ndiyo, basi ni PM nitakutumia email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal.

Kampuni utakayofanya nayo partnership mchango ufuatao:
  • Mafunzo ya Products na Solutions (Technical and Sales)
  • Itakusaidia ku-Setup Infrastructures za ISP Mikoani au Wilayani.
  • Itakuuzia Equipment kwa bei ya chini kabisa ya Partners
  • Itakupa Bandwidth kuendana na mahitaji ya wateja yako na na utalipia kila mwezi.
Products na Solutions za Kuuza:
  • Internet kupitia Technology ya VSAT
  • Internet Kupitia Technology ya Wireless
  • Mobile Internet Kupitia Technology ya CDMA
  • Video Conferencing
  • TV/Radio Broadcasting Solutions
  • Voice Over IP
  • Data Solutions kupitia VSAT na Internet
  • Kwa sehemu zinazofikika na Fiber - Internet Kupitia Submarine Optic Fiber ya SEACOM Kuanzia Mwezi July/August 2009.
  • Digital Radio Calls Communication Systems (TETRA)
kama utakuwa Interested basi ni PM nitakutumie email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal. Baada ya hapo nitakutumia Partnership Business Proposal.
Pliz send info to me thru marydm88(at)yahoo(dot)com. i real love it.
Reply With Quote
  #7  
Old 1st July 2009, 08:20 PM
Allien's Avatar
Allien Allien is offline
Allien Alien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 62
Allien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the rough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Pliz send info to me thru..... i real love it.
Mkuu Sikulkifika, all relevant information has been sent.
Reply With Quote
  #8  
Old 1st July 2009, 09:26 PM
Semilong's Avatar
Semilong Semilong is offline
Semilong Countercyclical
JF Premium Member
Points: 332,880, Level: 100 Points: 332,880, Level: 100 Points: 332,880, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 1,101
Thanks: 768
Thanked 225 Times in 99 Posts
Rep Power: 64
Semilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the roughSemilong is a jewel in the rough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Mkuu Sikulkifika, all relevant information has been sent.
kuwa isp provider mikoani kunahitaji capital kiasi gani ie tanga, kilimanjaro et al
naomba unitumie info sipo bongo kuna mtu nilikuwa na ishu naye kuhusu hayo mambo
__________________
You can not keep 40m people quite forever....
one year one month one day they will wake up..........
Reply With Quote
  #9  
Old 1st July 2009, 09:33 PM
Balantanda's Avatar
Balantanda Balantanda is online now
Balantanda Arsenal damu
JF Senior Expert Member
Points: 408,399, Level: 100 Points: 408,399, Level: 100 Points: 408,399, Level: 100
Activity: 49% Activity: 49% Activity: 49%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Location: Kusadikika
Posts: 2,523
Thanks: 760
Thanked 1,115 Times in 640 Posts
Rep Power: 28
Balantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enoughBalantanda will become famous soon enough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
Nafasi ya Biashara Kwa Walioko Mikoani na Wilayani
  • Je unao ujuzi wa ICT na hasa katika mambo ya Connectivity na uko mikoani au wilayani?
  • Je unayo Interest ya kufanya biashara ya kuwa na ISP (Internet Service Provider) katika eneo husika?
  • Je uko tayari kupata mafunzo juu ya Products na Solutions na kufanya Marketing na Sales?
  • Je uko tayari Ku-Invest katika Basic Infrastructure za ISP huko mikoani?
  • Je unaweza kupata wateja wa kuanzia kati ya 20-50? Mmoja moja au kampuni?
  • Je uko tayari kupata mapato (Kuingiza Pesa) kila mwezi itokanayo na malipo ya Bandwidth na hivyo kujiingizia mapato ya uhakika kutoka kwa wateja wako? Pia utauza Equipment kwa Wateja kwa faida.
Kama jibu lako ni ndiyo, basi ni PM nitakutumia email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal.

Kampuni utakayofanya nayo partnership mchango ufuatao:
  • Mafunzo ya Products na Solutions (Technical and Sales)
  • Itakusaidia ku-Setup Infrastructures za ISP Mikoani au Wilayani.
  • Itakuuzia Equipment kwa bei ya chini kabisa ya Partners
  • Itakupa Bandwidth kuendana na mahitaji ya wateja yako na na utalipia kila mwezi.
Products na Solutions za Kuuza:
  • Internet kupitia Technology ya VSAT
  • Internet Kupitia Technology ya Wireless
  • Mobile Internet Kupitia Technology ya CDMA
  • Video Conferencing
  • TV/Radio Broadcasting Solutions
  • Voice Over IP
  • Data Solutions kupitia VSAT na Internet
  • Kwa sehemu zinazofikika na Fiber - Internet Kupitia Submarine Optic Fiber ya SEACOM Kuanzia Mwezi July/August 2009.
  • Digital Radio Calls Communication Systems (TETRA)
kama utakuwa Interested basi ni PM nitakutumie email yangu ili unitumie company profile yako au business proposal. Baada ya hapo nitakutumia Partnership Business Proposal.
Imekaa vizuri hii mkuu,naomba unitumie info zote thru davis_jonestz(at)yahoo(dot)com...1
__________________
Amantium irae amoris integratio est
Reply With Quote
  #10  
Old 1st July 2009, 09:50 PM
Allien's Avatar
Allien Allien is offline
Allien Alien
JF Premium Member
Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100 Points: 388,856, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2008
Posts: 450
Thanks: 5
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 62
Allien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the roughAllien is a jewel in the rough
Default Re: Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

Quote:
View Post
kuwa isp provider mikoani kunahitaji capital kiasi gani ie tanga, kilimanjaro et al
naomba unitumie info sipo bongo kuna mtu nilikuwa na ishu naye kuhusu hayo mambo
email me [EMAIL]
Mkuu, inategemea sana na Business Plan yako na uwezo wako wa mtaji.

In average kuanza katika level ya chini kabisa walau uwe na USD 10,000. Lakin in average ukiwa na USD 25,000 unaweza kuanza vizuri sana. Kama mtaji si tatizo, then you may be looking for something between USD 50K-100K.

Information zimeshatumwa kwako Mkuu.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
business, isp, kuwa, mikoani, opportunity, wilayani


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea Maxence Melo Jamii Intelligence 3079 12th November 2009 08:12 AM
Dkt.Slaa tunakushukuru MwanaFalsafa1 Habari na Hoja mchanganyiko 2 3rd May 2009 02:01 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:57 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com