Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 643
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      Wana Jamii, jana nilitembelea banda la Tanzania Investment Bank katika maonyesho ya Nane Nane hapa Dodoma na nikakutana na watengenezaji wa boat za kisasa za uvuvi (SONGORO MARINE BOAT YARD) ambao wanapatikana Mjini Mwanza.

      http://www.jamiiforums.com/attachmen...id=60973&stc=1
      http://www.jamiiforums.com/attachmen...id=60974&stc=1

      Hawa jamaa wamefanya makubaliano na benki ya TIB kwamba mvuvi (mfanyabiashara) anaweza kupata boat ya uvuvi kutoka kwao kwa mkopo ambapo mvuvi atatakiwa kulipia asilimia 20% ya gharama na benki watamlipia asilimia 80% iliyobaki kwa mkopo. Boat inaweza kugharimu kiasi cha Tsh. 68,000,000/= inategemea na ukubwa, hivyo basi mvuvi au mfanyabiashara anatakiwa kulipa kiasi cha Tsh. 12,000,000/= na kiasi kinachobaki kulipwa na benki; dhamana itakuwa ni hiyo boat (hakuna dhamana nyingine).

      Huyu jamaa wa kutengeneza hizi boat aliyekuwa ananipa maelezo alisema kwamba kwa biashara ya uvuvi ndani ya mwaka mmoja utakuwa umerudisha pesa yako, kama kuna mwanajamii ambaye anafanya biashara ya uvuvi anaweza kutusaidia huu upembuzi yakinifu juu ya hiyo return.
      Attached Thumbnails    
      Ebenezer

    2. Miaka 50

    3. #2
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2228

      Default Re: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      Good deal...
      Hiyo kampuni inayotengeneza boats ina website?
      "To greed, all nature is insufficient"

    4. #3
      rodrick alexander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 707
      Rep Power : 508
      Likes Received
      170
      Likes Given
      333

      Default Re: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      ni kweli wanatoa mikopo lakini bei zao ni kubwa sana kwa hiyo 20% down payment unaweza kupata boti nzuri ya uvuvi unaweza kuingia google ukaingiza price of fishing boat ukapata bei ukalinganisha kuna kipindi zilifutiwa ushuru sijui kwa sasa ila mikopo ya benki mara nyingi badala ya kusaidia inarudisha nyuma

    5. #4
      pono's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 563
      Rep Power : 464
      Likes Received
      75
      Likes Given
      261

      Default Re: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      kaka hiyo boti naona si mahsusi kwa ajilli ya uvuvi,na hiyo si price yake halali,kama unataka kujua botii mahsusi ya uvuvi,tembelea chuo cha uvuvi mbegani bagamoyo,wale ni wataalamu na wana boti za uvuvi
      Quote By Mgombezi
      Wana Jamii, jana nilitembelea banda la Tanzania Investment Bank katika maonyesho ya Nane Nane hapa Dodoma na nikakutana na watengenezaji wa boat za kisasa za uvuvi (SONGORO MARINE BOAT YARD) ambao wanapatikana Mjini Mwanza.

      http://www.jamiiforums.com/attachmen...id=60973&stc=1
      http://www.jamiiforums.com/attachmen...id=60974&stc=1

      Hawa jamaa wamefanya makubaliano na benki ya TIB kwamba mvuvi (mfanyabiashara) anaweza kupata boat ya uvuvi kutoka kwao kwa mkopo ambapo mvuvi atatakiwa kulipia asilimia 20% ya gharama na benki watamlipia asilimia 80% iliyobaki kwa mkopo. Boat inaweza kugharimu kiasi cha Tsh. 68,000,000/= inategemea na ukubwa, hivyo basi mvuvi au mfanyabiashara anatakiwa kulipa kiasi cha Tsh. 12,000,000/= na kiasi kinachobaki kulipwa na benki; dhamana itakuwa ni hiyo boat (hakuna dhamana nyingine).

      Huyu jamaa wa kutengeneza hizi boat aliyekuwa ananipa maelezo alisema kwamba kwa biashara ya uvuvi ndani ya mwaka mmoja utakuwa umerudisha pesa yako, kama kuna mwanajamii ambaye anafanya biashara ya uvuvi anaweza kutusaidia huu upembuzi yakinifu juu ya hiyo return.

    6. #5
      Chimbuvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 2,981
      Rep Power : 9119
      Likes Received
      1473
      Likes Given
      932

      Default Re: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      Thanx 4 information ,nipo rock city,songoro marine najua kiwanda chao kilipo,kuna matajiri wawili nawafahamu ambao mmoja ana meli ya kubeba watu mwingine ni meli ya mizigo ntajaribu kuwaulizia,,but hadi kupata bank loan c mpaka statement ya bank ya mwaka iwe imepitisha kiasi cha kutosha ama?

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Chimbuvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 2,981
      Rep Power : 9119
      Likes Received
      1473
      Likes Given
      932

      Default Re: Fursa - mkopo wa boat ya uvuvi kutoka tib.

      Nimerudi sasa mwaweza niuliza maswali,kwanza ni lazima ujue ni meli ya aina gani unayoitaka,,1:ya mizigo 2:ya abiria..kwa hiyo inategemea na route na soko unalotarget

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...