Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uwakala m-pesa umesitishwa?

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Nahitaji kuanza kufanya hiyo biashara ila kuna mtu kanipa story za juu juu kwamba voda wamesitisha kusajili mawakala wapya,mwenye taarifa zaidi naomba anijuze tafadhali


    2. #2
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Ninavyojua mimi Vodacom imesitisha kuwasajili mawakala WAKUBWA.
      Kumbuka kuna mawakala wakubwa na mawakala wadogo ambao ndio wengi.
      waweza kujisajili kama wakala mdogo na mambo yakaenda vizuri tuu.
      Afterall tusubiri wadau wengine kama wana la kusema tofauti na mimi.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    3. #3
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      okey thanx me nataka kuwa wakala mdogo,labda tusubirie wadau wengine pengine wanainfo tofauti Ndibalema

    4. #4
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Hata wakala wadogo wamesitisha, mi niliomba tangu january hadi leo hakuna kitu, hata tigopesa nao wamesitisha
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    5. #5
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Tigopesa wameanza kusajili mito


    6. #6
      FIDIVIN's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Posts : 186
      Rep Power : 487
      Likes Received
      39
      Likes Given
      20

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      tigo nilienda jana wamesitisha, voda sina uhakika

    7. #7
      ketwas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 199
      Rep Power : 469
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      mbona mimi nimepata best,niliomba mwezi uliopita jana nimepewa

    8. #8
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      mmh pananipa utata hapa,wengine mnasema wamesitisha wengine mnasema mmepata

    9. #9
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 580
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default

      Lazima utakuwa ulikata kitu kidogo.
      Quote By ketwas View Post
      mbona mimi nimepata best,niliomba mwezi uliopita jana nimepewa

    10. #10
      ketwas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 199
      Rep Power : 469
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      sijatoa hata kitu kidogo best yangu

    11. #11
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,516
      Rep Power : 24928
      Likes Received
      2230
      Likes Given
      1827

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Quote By ketwas View Post
      sijatoa hata kitu kidogo best yangu
      Labda avatar ilimsaidia tehe tehe tehe,


    12. #12
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By ketwas View Post
      sijatoa hata kitu kidogo best yangu
      duh basi unazali

    13. #13
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,062
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5013
      Likes Given
      5763

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      cku hz kujuana kwingi,kama hujulikani ama hutoi pesa hupati ng'o!

    14. #14
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By charminglady View Post
      cku hz kujuana kwingi,kama hujulikani ama hutoi pesa hupati ng'o!
      mamaaa,kumbe

    15. #15
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      Jamani hatimaye nimepata,ila shughuli yake c ndogo

    16. #16
      funny's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 356
      Likes Received
      3
      Likes Given
      51

      Default

      Quote By Mkare_wenu View Post
      Jamani hatimaye nimepata,ila shughuli yake c ndogo
      naomba taratibu zake ulizotumia ilikupata m pesa na tigo pesa. nahitaji huu uwakala na mimi

    17. #17
      Mkare_wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 872
      Rep Power : 593
      Likes Received
      120
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By funny View Post
      naomba taratibu zake ulizotumia ilikupata m pesa na tigo pesa. nahitaji huu uwakala na mimi
      uwe na Tin number,Leseni ya biashara,Kitambulisho,Passport (kwa tigo),then mtaji wa milion 1.
      funny likes this.

    18. #18
      Prince Hope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 456
      Rep Power : 439
      Likes Received
      73
      Likes Given
      26

      Default Re: Uwakala m-pesa umesitishwa?

      bora wamesitisha angalau waboreshe huduma zao. kwa mfano jana tumeshindwa kuchangia M4C LIVE!

    19. #19
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Ndibalema View Post
      Ninavyojua mimi Vodacom imesitisha kuwasajili mawakala WAKUBWA.
      Kumbuka kuna mawakala wakubwa na mawakala wadogo ambao ndio wengi.
      waweza kujisajili kama wakala mdogo na mambo yakaenda vizuri tuu.
      Afterall tusubiri wadau wengine kama wana la kusema tofauti na mimi.
      sahihi kabisa

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...