Nahitaji kuanza kufanya hiyo biashara ila kuna mtu kanipa story za juu juu kwamba voda wamesitisha kusajili mawakala wapya,mwenye taarifa zaidi naomba anijuze tafadhali
Nahitaji kuanza kufanya hiyo biashara ila kuna mtu kanipa story za juu juu kwamba voda wamesitisha kusajili mawakala wapya,mwenye taarifa zaidi naomba anijuze tafadhali
Ninavyojua mimi Vodacom imesitisha kuwasajili mawakala WAKUBWA.
Kumbuka kuna mawakala wakubwa na mawakala wadogo ambao ndio wengi.
waweza kujisajili kama wakala mdogo na mambo yakaenda vizuri tuu.
Afterall tusubiri wadau wengine kama wana la kusema tofauti na mimi.
"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"
okey thanx me nataka kuwa wakala mdogo,labda tusubirie wadau wengine pengine wanainfo tofauti Ndibalema
Hata wakala wadogo wamesitisha, mi niliomba tangu january hadi leo hakuna kitu, hata tigopesa nao wamesitisha
Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!
Tigopesa wameanza kusajili mito
tigo nilienda jana wamesitisha, voda sina uhakika
mbona mimi nimepata best,niliomba mwezi uliopita jana nimepewa
mmh pananipa utata hapa,wengine mnasema wamesitisha wengine mnasema mmepata
sijatoa hata kitu kidogo best yangu
cku hz kujuana kwingi,kama hujulikani ama hutoi pesa hupati ng'o!
Jamani hatimaye nimepata,ila shughuli yake c ndogo
bora wamesitisha angalau waboreshe huduma zao. kwa mfano jana tumeshindwa kuchangia M4C LIVE!
Follow Us Here