Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali kama ufuta, alizeti, mahindi, mtama, uele na viazi vitamu yanapatikana Kiwangwa. Bei ni TZS250,000/= kwa ekari. Unaweza kupata kiasi chochote unachohitaji. Pia unaweza ukapata mashamba yanayofaa kwa kilimo cha nanasi ingawa hayo bei inakuwa juu zaidi. Interested? nipm nikuelekeze

Reply With Quote
Follow Us Here